exalioth
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 2,190
- 3,685
Geti kale ni geti kale matunzo ni matunzoKwani kila mwenye matunzo ni geti kali? Na kila geti kali ana matunzo?
Geti kale ni geti kale matunzo ni matunzoKwani kila mwenye matunzo ni geti kali? Na kila geti kali ana matunzo?
Basi sioni kama nilichoandika mimi na ulichoandika wewe vinahusianaGeti kale ni geti kale matunzo ni matunzo
watajijua wenyewe wanaochukulia kila kitu serious mimi simo
Kwahiyo ye amalizie wap hamu zake??? We vp asee au unadhani huyo paka ni jiwe???? Kiumbe mwenzio huyo mwache apigwe mti kama upigwavyo wewe😂😂😂😂Sitaki dume yoyote hapa home
Akimfungia asitoke harafu yeye ndio amtimizie haja zake za mwili? Kila kiumbe kina mahitaji yake mkuu.Ukimuwekea huyo sumu, atakuja mwingine na mwingine je utawaua wote? Mfungie ndani asitoke nje.
Nyumbani tuna paka jike.
Kwa vile tuna watoto wadogo na wanapenda kumchezea tukaona isiwe mbaya tumgharamie kumpeleka vet clinic kwa check up,kumkata kucha ,madawa etc
Tatizo ni kwamba anashiriki kimwili na paka wa jirani ambae yeye Hana matuzo kwaiyo anamuweka paka wetu kwenye risk hence watoto!
Je tumpe sumu afe?
Basi sioni kama nilichoandika mimi na ulichoandika wewe vinahusiana
Ujuaji mwingi kwa nani sasa mimi au wewe ambaye unaongea kwa ufupi badala ya kufafanua hoja yako?Tatizo ujuaji mwingi ndg
Huwa wanarudi nasikia..they know their way back home.Nenda kamtelekeze sehemu kama feri -hospital au karibu na hotel's. ...apate kuishi katika mazingira hayo '' ni sehemu rafiki kabisa kwao atakuwa anajipatia cha kula cha bure. ..kuliko kutaka kumpatia hukumu nzito kiasi hicho
Yeah but strategy ambayo huwa inatumika "ni kuwa beba ndani ya mfuko kama wa sandarusi. ..Kisha una msafirisha na kwenda kumuacha kwenye hiyo location ..Hapo hawezi tena kurejea alipo toka '"" kwa sababu anakuwa hajayaona mazingira alipoyo pitishwa -----Huwa wanarudi nasikia..they know their way back home.
Hahaha, hyo last paragraph imenfuraishaa...Yeah but strategy ambayo huwa inatumika "ni kuwa beba ndani ya mfuko kama wa sandarusi. ..Kisha una msafirisha na kwenda kumuacha kwenye hiyo location ..Hapo hawezi tena kurejea alipo toka '"" kwa sababu anakuwa hajayaona mazingira alipoyo pitishwa -----
Ni ukweli kwamba paka ana uwezo mkubwa sana wa kutunza kumbu kumbu. .. Kuna paka 1 nilikutana nae miezi 4iliyopita Mkoani nilipo kwenda kwenye mission zangu ' kisha nika mzoea zoea mpaka akawa rafiki yangu. ...Baada ya kukaa siku kadhaa kama week hivi nika safiri bila ya kurejea kule mkoani kwa muda wa miezi 4..... Nimeshangaa juzi kati nilipo rejea tena kule mkoani yule paka alivyoniona tu akaanza kuni kimbilia na kujilaza miguuni kwangu '' Yaani hajanisahau hata
kama wamependana waacheni msiingilie mapenzi yao,usikute paka wenu anampenda paka wa jirani pamoja na kukosa kwake matunzo
Hahaha, hyo last paragraph imenfuraishaa...
Kuhusu kuwafungia kune mifuko hyo ya sandarusi , rafikiangu yupo karatu aliniambia wamewahi kuwafunga hvyo hvyo yani hawaoni kitu,wakaenda kutupwa mbali sana porini huko:MARA TATU.
Still they managed to get back.
Mapaka so special yani.
Hahah Hahaha aisekama wamependana waacheni msiingilie mapenzi yao,usikute paka wenu anampenda paka wa jirani pamoja na kukosa kwake matunzo
nimechekaaaJamaa una roho mbaya sana ww, embu pata picha ndo ww wangekunyima kukutana na mwanamke wako au kutaka kukuwekea sumu ungejiskiaje.
Em acha paka wa jilan ajilie vyake.
Acha akuletee wajukuu.