Tumpe sumu paka wa jirani?

Tumpe sumu paka wa jirani?

Kuliko kumuua bora mpotezeni kimtindo kimya kimya pasipo mwenyeji wake kufahamu hilo.
 
Nenda kamtelekeze sehemu kama feri -hospital au karibu na hotel's. ...apate kuishi katika mazingira hayo '' ni sehemu rafiki kabisa kwao atakuwa anajipatia cha kula cha bure. ..kuliko kutaka kumpatia hukumu nzito kiasi hicho
Nabebanaje na mpaka ? Jirani akinikamata je?
 
Nenda kamtelekeze sehemu kama feri -hospital au karibu na hotel's. ...apate kuishi katika mazingira hayo '' ni sehemu rafiki kabisa kwao atakuwa anajipatia cha kula cha bure. ..kuliko kutaka kumpatia hukumu nzito kiasi hicho
Hapa mkuu ndo atamjua paka vizuri,

Wakati anarejea nyumbani kutoka huko alikomtelekeza anaweza kumkuta yeye kashafika nyumbani masaa mawili kabla yake.
 
Nyumbani tuna paka jike.
Kwa vile tuna watoto wadogo na wanapenda kumchezea tukaona isiwe mbaya tumgharamie kumpeleka vet clinic kwa check up,kumkata kucha ,madawa etc
Tatizo ni kwamba anashiriki kimwili na paka wa jirani ambae yeye Hana matuzo kwaiyo anamuweka paka wetu kwenye risk hence watoto!
Je tumpe sumu afe?
Mkuu acha wivu, sasa asipopigwa mbu.pu na paka wa jirani je nyie mnao uwezo wa kumtimizia haja zake za mwili?



 
Back
Top Bottom