Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,270
- 40,082
ha ha ha ha atakuwa anajoto zuriHakuna kabisa mkuu nampongeza kwa hilo. Sema anapenda tu chini huyu paka
ha ha ha ha atakuwa anajoto zuriHakuna kabisa mkuu nampongeza kwa hilo. Sema anapenda tu chini huyu paka
ha ha ha sasa usipoolewa na ile kazi muhimu ataifanya naniNa ndo siwezi kuwa na mwanaume wa hivyo bora nisiolewe kabisa
Nan anataka kuoa mtu Kama ww gume gumeNa ndo siwezi kuwa na mwanaume wa hivyo bora nisiolewe kabisa
Basi ndo mkiona wake zenu hawawaheshimu mtulie hivyo msilete ubabe maana mmeyataka wenyewe mnajifanya hamjui kwamba haki sawa imetokana na baadhi ya wanaume kunyanyasa wake zao kwa sababu wanajua wake zao wanategemea wao kwa kila kitu na hawana pa kwendaSasa Kati ya wanaume na wanawake nan anataka haki Sawa??
Kwa sababu mnataka haki Sawa Basi tunawaachia na majukumu yetu tuliyo kuwa tunafanya ili tufanye wote!!
Sasa hapo siwez kukuhudumia kama mwanzo kwa sababu ushaingilia nafas yng
Kila mtu apambane na hali yake
Mbona Mtanyooka tuu tulieni
Hamuoni na wanaume nao wanataka kuolewa kama ninyi
Kuvaa heren, kusuka raster
Mbona kitaeleweka tuu
Halafu Mlivo wengi hivi wanaume halisi tutabaki wachache Sana tukiendelea kuwatafuna wale wanawake wanaojielewa
Kwangu siyo hitaji la msingi hiloha ha ha sasa usipoolewa na ile kazi muhimu ataifanya nani
Mbona tunabaguabana hivyo .hahahhna hili ni fundisho hata kwa sisi binadamu mwanamke mwenye matunzo hatakiwi kuwa kwenye mahusiano na mwanaume wa hovyo hovyo
ha ha ha usipoitekeleza hilo unaweza kuugua ule ugonjwa wa kuongea mwenyewe mwenyeweKwangu siyo hitaji la msingi hilo
Siyo kila mwanaume anastahili kupewa thamani wewe mimi kuliko kuolewa na mwanaume kama wewe usiyejua majukumu yako ni bora nikaolewe na mnyama porini maana nikiolewa na wewe ni sawa na nimeolewa na mwanamke mwenzangu tuNan anataka kuoa mtu Kama ww gume gume
Usiye jua dhaman ya mwanaume?
Hahahaha mimi nazingua tu ila nashangaa kuna watu wamepanicMbona tunabaguabana hivyo .hahahh
Hizo ni hadithi za abunuwasi tuha ha ha usipoitekeleza hilo unaweza kuugua ule ugonjwa wa kuongea mwenyewe mwenyewe
Pambaneni na hali zenu Nipo hapa Denmark nakula maisha tuu Pumbavu kabsaaSiyo kila mwanaume anastahili kupewa thamani wewe mimi kuliko kuolewa na mwanaume kama wewe usiyejua majukumu yako ni bora nikaolewe na mnyama porini maana nikiolewa na wewe ni sawa na nimeolewa na mwanamke mwenzangu tu
Eti sijui thamani ya mwanaume na msipobadilika mtaendelea kutuona wanawake wabaya mnaumizwa sana na huu mfumo ndo maana mnalalamika mngekuwa hamuumizwi msingekuwa mnalalamika kama hamuumizwi si mpige kimya muendelee kufanya yenu?
ha ha ha ha ukweli unaujua kwa sababu naona ulishaanza kuongea mwenyewe mwenyeweHizo ni hadithi za abunuwasi tu
Hahahaha mbona umepanic mkuu huu mchezo hauhitaji hasira sasa kama uko Denmark ya wanaume wa Dar yanakuhusu nini? Pambana huko upate mwanamke wa kizungu ili muitekeleze hiyo 50/50 vizuri pesa mtafute wote na kazi za ndani mfanye wote shubaaamitPambaneni na hali zenu Nipo hapa Denmark nakula maisha tuu Pumbavu kabsaa
Sikat stress za kipumbavu kama zako
Nlizaliwa pekee yangu ntakufa pekee yang
Mavi yenu!!!!
Nianze kuongea mwenyewe kwa sababu ya nini? Kukosa chini? Hahahaha binadamu akitaka lake bwana atalazimisha liwe hata ni kama ni uongo atajipa moyo kuwa ni ukweliha ha ha ha ukweli unaujua kwa sababu naona ulishaanza kuongea mwenyewe mwenyewe
ha ha hahaNianze kuongea mwenyewe kwa sababu ya nini? Kukosa chini? Hahahaha binadamu akitaka lake bwana atalazimisha liwe hata ni kama ni uongo atajipa moyo kuwa ni ukweli
Sina muda wa kuoa headache MimiHahahaha mbona umepanic mkuu huu mchezo hauhitaji hasira sasa kama uko Denmark ya wanaume wa Dar yanakuhusu nini? Pambana huko upate mwanamke wa kizungu ili muitekeleze hiyo 50/50 vizuri pesa mtafute wote na kazi za ndani mfanye wote shubaaamit
Sina muda wa kuoa headache Mimi
Nmesoma kwa shida Sana nakula maisha yangu taratibu huku ughaibuni
Sikat stress za wajinga nliowakuta ulimwenguni kila mtu apambane na hali yake
Nmekata na Bima ya mazishi kabsaa sitaki kusumbua kiumbe wa mtu
Hela ya kugharamia mazishi yangu, Usafir kila kitu kipo clear hadi ya kukulipa ww uje unichukue huku ipo
Bado Nipo kijana kabsaa 33yrs Ndiyo maisha nimechagua hayo
Tena Nipo Happy kabsaa
Kila la kher wasalimie tz!!!
na hili ni fundisho hata kwa sisi binadamu mwanamke mwenye matunzo hatakiwi kuwa kwenye mahusiano na mwanaume wa hovyo hovyo
Sema nikutumie ticket uje hapa Copenhagen capital city of DenmarkSasa kumbe wewe mwenyewe ndoa hauiwezi ndo maana umeikimbia hahahaha kweli nimeamini kuoa siyo kwa ajili ya kila mtu ni kwa ajili ya wanaume tu na siyo wavulana kama wewe
Endelea kula hizo bata uchwara zako na ulimbukeni wako huo eti kuishi Denmark unaona ni kitu cha ajabu kwa Tanzania hadi unajitangaza wakati kuna watanzania Passport zao zimechafuka kwa Visa za kila nchi duniani na hawapigi makelele