Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,198
- 7,537
Evelyn Salt ni wewe! abatoba!Hii haiwezi kutokea kwa huyu raisi dhaifu, ye mwenyewe hana hata chembe busara ana maneno ya dharau na mipasho tu aheshimiwe kwa kuwa anavaa suti au?????
Evelyn Salt ni wewe! abatoba!Hii haiwezi kutokea kwa huyu raisi dhaifu, ye mwenyewe hana hata chembe busara ana maneno ya dharau na mipasho tu aheshimiwe kwa kuwa anavaa suti au?????
kama vile bibi kiroboto na naibu wake ******* wanavyo jaribu kuwaonyesha wabunge wa upinzani hawafai? ni jambo la kukera na kuuzi, na hasa pale wanapo kataa kujiuzulu hili hali wanaelewa kwamba hawajui kaziUmesema kweli mkuu.Mara nyingi hata kama mtu kakosea (hata kama sio rais) njia bora ya kumkosoa ni kwa kutumia busara. Hapo ndipo anapoweza kuiona hoja yako na hata kuitafakari na ikibidi kuchukua hatua.Lakini mtu unapotumia lugha za matusi, dhihaka na kejeli; si tu kwamba unakuwa unajidhalilisha, kumdhalilisha kiongozi wako hivyo kulidhalilisha taifa lako lakini pia unasababisha hoja yako ambayo inakuwa imejificha ndani ya lugha chafu uliyoitumia kuyeyuka kama barafu.
Sidhani kama ni jambo la busara sana kumvunjia heshima rais JK hadharan na kumwita majina ya ajabu
Kila mamlaka iliyowekwa imewekwa kwa makusudi ya Mungu hivyo kutoitii ni km kutomtii Mungu.
Rais Kikwete kama kiongozi mkuu wa nchi anahitaji heshima yetu hata kama haturidhiki na utendaji kazi wake.
Zipo njia nyingi za kumfikishia ujumbe but not going beyond na kumwita dhaifu!
Sidhani kama ni jambo la busara sana kumvunjia heshima rais JK hadharan na kumwita majina ya ajabu
Kila mamlaka iliyowekwa imewekwa kwa makusudi ya Mungu hivyo kutoitii ni km kutomtii Mungu.
Rais Kikwete kama kiongozi mkuu wa nchi anahitaji heshima yetu hata kama haturidhiki na utendaji kazi wake.
Zipo njia nyingi za kumfikishia ujumbe but not going beyond na kumwita dhaifu!
Sidhani kama ni jambo la busara sana kumvunjia heshima rais JK hadharan na kumwita majina ya ajabu
Kila mamlaka iliyowekwa imewekwa kwa makusudi ya Mungu hivyo kutoitii ni km kutomtii Mungu.
Rais Kikwete kama kiongozi mkuu wa nchi anahitaji heshima yetu hata kama haturidhiki na utendaji kazi wake.
Zipo njia nyingi za kumfikishia ujumbe but not going beyond na kumwita dhaifu!
Sidhani kama ni jambo la busara sana kumvunjia heshima rais JK hadharan na kumwita majina ya ajabu
Kila mamlaka iliyowekwa imewekwa kwa makusudi ya Mungu hivyo kutoitii ni km kutomtii Mungu.
Rais Kikwete kama kiongozi mkuu wa nchi anahitaji heshima yetu hata kama haturidhiki na utendaji kazi wake.
Zipo njia nyingi za kumfikishia ujumbe but not going beyond na kumwita dhaifu!
Sidhani kama ni jambo la busara sana kumvunjia heshima rais JK hadharan na kumwita majina ya ajabu
Kila mamlaka iliyowekwa imewekwa kwa makusudi ya Mungu hivyo kutoitii ni km kutomtii Mungu.
Rais Kikwete kama kiongozi mkuu wa nchi anahitaji heshima yetu hata kama haturidhiki na utendaji kazi wake.
Zipo njia nyingi za kumfikishia ujumbe but not going beyond na kumwita dhaifu
kama kweli kaitwa hivyo basi ni kweli....lkn DHAIFU sio tusi,ni sifa,yaani tabia
kama vile bibi kiroboto na
naibu wake ******* wanavyo jaribu kuwaonyesha wabunge wa upinzani
hawafai? ni jambo la kukera na kuuzi, na hasa pale wanapo kataa
kujiuzulu hili hali wanaelewa kwamba hawajui kazi
The force behind him is a woman by the name of mama mwanaasha. Right cute beiby?Mi nadhani JK hana washauri makini, may be there is a force behind him.
Sidhani kama ni jambo la busara sana kumvunjia heshima rais JK hadharan na kumwita majina ya ajabu
Kila mamlaka iliyowekwa imewekwa kwa makusudi ya Mungu hivyo kutoitii ni km kutomtii Mungu.
Rais Kikwete kama kiongozi mkuu wa nchi anahitaji heshima yetu hata kama haturidhiki na utendaji kazi wake.
Zipo njia nyingi za kumfikishia ujumbe but not going beyond na kumwita dhaifu!
Aliyemwita dhaifu si JF, ila ni John Mnyika, tena bungeni na Mnyika hakufuta kauli yake. Ungeanza na huyo kwanza.>>..Zipo njia nyingi za kumfikishia ujumbe but not going beyond na kumwita dhaifu!<<