Tumheshimu Rais wetu Kikwete

Tumheshimu Rais wetu Kikwete

Umesema kweli mkuu.Mara nyingi hata kama mtu kakosea (hata kama sio rais) njia bora ya kumkosoa ni kwa kutumia busara. Hapo ndipo anapoweza kuiona hoja yako na hata kuitafakari na ikibidi kuchukua hatua.Lakini mtu unapotumia lugha za matusi, dhihaka na kejeli; si tu kwamba unakuwa unajidhalilisha, kumdhalilisha kiongozi wako hivyo kulidhalilisha taifa lako lakini pia unasababisha hoja yako ambayo inakuwa imejificha ndani ya lugha chafu uliyoitumia kuyeyuka kama barafu.
kama vile bibi kiroboto na naibu wake ******* wanavyo jaribu kuwaonyesha wabunge wa upinzani hawafai? ni jambo la kukera na kuuzi, na hasa pale wanapo kataa kujiuzulu hili hali wanaelewa kwamba hawajui kazi
 
Sidhani kama ni jambo la busara sana kumvunjia heshima rais JK hadharan na kumwita majina ya ajabu

Kila mamlaka iliyowekwa imewekwa kwa makusudi ya Mungu hivyo kutoitii ni km kutomtii Mungu.

Rais Kikwete kama kiongozi mkuu wa nchi anahitaji heshima yetu hata kama haturidhiki na utendaji kazi wake.

Zipo njia nyingi za kumfikishia ujumbe but not going beyond na kumwita dhaifu!

Mbona Nyerere aliheshimika bila wananchi kuombwa kufanya hivyo?kila mtu ana hukumiwa kwa kazi zake bana,Hakuna Mtu yeyote nchi hii atakaye muheshimu Kikwete kwa lolote lile
uwezo wake ni mdogo sana hafai kuwa kiongozi wa nchi,aliiba kura 2015 za kumuwezesha kuwa Rais,binafsi sio kwamba simpi heshima peke yake,bali natamani siku moja afariki aondoke duniani kwani anatupotezea muda bure
 
Sidhani kama ni jambo la busara sana kumvunjia heshima rais JK hadharan na kumwita majina ya ajabu

Kila mamlaka iliyowekwa imewekwa kwa makusudi ya Mungu hivyo kutoitii ni km kutomtii Mungu.

Rais Kikwete kama kiongozi mkuu wa nchi anahitaji heshima yetu hata kama haturidhiki na utendaji kazi wake.

Zipo njia nyingi za kumfikishia ujumbe but not going beyond na kumwita dhaifu!

mwenyewe mbele ya jamii unajiita bikira wewe, halafu unatetea heshima ya mwingne badala uanze kujiheshimu wewe kwanza.
 
attachment.php
Sidhani kama ni jambo la busara sana kumvunjia heshima rais JK hadharan na kumwita majina ya ajabu

Kila mamlaka iliyowekwa imewekwa kwa makusudi ya Mungu hivyo kutoitii ni km kutomtii Mungu.

Rais Kikwete kama kiongozi mkuu wa nchi anahitaji heshima yetu hata kama haturidhiki na utendaji kazi wake.

Zipo njia nyingi za kumfikishia ujumbe but not going beyond na kumwita dhaifu!
 
Sidhani kama ni jambo la busara sana kumvunjia heshima rais JK hadharan na kumwita majina ya ajabu

Kila mamlaka iliyowekwa imewekwa kwa makusudi ya Mungu hivyo kutoitii ni km kutomtii Mungu.

Rais Kikwete kama kiongozi mkuu wa nchi anahitaji heshima yetu hata kama haturidhiki na utendaji kazi wake.

Zipo njia nyingi za kumfikishia ujumbe but not going beyond na kumwita dhaifu!

Sorry, umesema wewe ni bikira mimi? ya wapi?
 
Last edited by a moderator:
Sidhani kama ni jambo la busara sana kumvunjia heshima rais JK hadharan na kumwita majina ya ajabu

Kila mamlaka iliyowekwa imewekwa kwa makusudi ya Mungu hivyo kutoitii ni km kutomtii Mungu.

Rais Kikwete kama kiongozi mkuu wa nchi anahitaji heshima yetu hata kama haturidhiki na utendaji kazi wake.

Zipo njia nyingi za kumfikishia ujumbe but not going beyond na kumwita dhaifu

kama kweli kaitwa hivyo basi ni kweli....lkn DHAIFU sio tusi,ni sifa,yaani tabia
 
kama vile bibi kiroboto na
naibu wake ******* wanavyo jaribu kuwaonyesha wabunge wa upinzani
hawafai? ni jambo la kukera na kuuzi, na hasa pale wanapo kataa
kujiuzulu hili hali wanaelewa kwamba hawajui kazi

hahaaaaaaa eti ******* !!! Kumbe kuna faida ya kusoma comments btn lines.
 
Wanajamvi huyu mtu aliyeleta hii hoja katumwa kupma upepo baada ya kuona watanzania wamechefuka na uongoz dhaifu unaochochea mauaji ya wakrsto nchini na uchumi mbovu angalien tarehe aliyojiunga JF ni 15 february 2013
 
Heshima ya mtu inatokana na matendo yake. Ikiwa kama raisi aliwahi kusema anawajua wala rushwa, wauza madawa ya kulevya, wezi wa mali za uma, na hakuwachukulia hatua yoyote unata aheshimiwe kwa lipi.????? We umeshakula ugali wako umshiba kalale usubirie hapo kesho tena. Mawazo yako yaliyojaa ujinga yasikufanye tuendelee kuamsha hasira zetu. Jibu hili swali hapo we mchumia tumbo "ikitokea leo hii kikwete amegombea utampa kura yako"? Kabla hujatoa majibu, assess miaka nane ya utawala wake kisha linganisha na ule utawala wa benny.
 
"Kila mamlaka iliyowekwa imewekwa kwa makusudi ya Mungu hivyo kutoitii ni km kutomtii Mungu".
Ina maana mpaka mda huu umelala??????????????????
 
Kuna msemo unasema"waliokupandisha ndio hao hao watakaokushusha'' na bahati nzuri mkuu wetu misemo hii anaijua sana
 
Sidhani kama ni jambo la busara sana kumvunjia heshima rais JK hadharan na kumwita majina ya ajabu

Kila mamlaka iliyowekwa imewekwa kwa makusudi ya Mungu hivyo kutoitii ni km kutomtii Mungu.

Rais Kikwete kama kiongozi mkuu wa nchi anahitaji heshima yetu hata kama haturidhiki na utendaji kazi wake.

Zipo njia nyingi za kumfikishia ujumbe but not going beyond na kumwita dhaifu!

Hakemei vijana wake kumwita Rais wa mioyoni mwetu Dr.Slaa majina ya ajabu....mara Babu, mara Mzinzi, mara Mkanda
Sasa yeye kapigwa moja la Mr.Dhaifu amenyong'onyeeeeeeeea
 
Ukishajua mambo ya kikubwa hata wewe utamwita dhaifu,bikira itakutesa sana isipotolewa
 
>>..Zipo njia nyingi za kumfikishia ujumbe but not going beyond na kumwita dhaifu!<<
Aliyemwita dhaifu si JF, ila ni John Mnyika, tena bungeni na Mnyika hakufuta kauli yake. Ungeanza na huyo kwanza.
 
sisi tumechagua njia unayoikataa kumfikishia ujumbe sababu ni njia mojawapo,wewe na familia yako tafuteni njia yenu.ussitulazimishe kuyaita masaburi jina jingine wakati yana jina lake la asili.
 
Back
Top Bottom