Mtali
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 3,958
- 3,336
Sidhani kama ni jambo la busara sana kumvunjia heshima rais JK hadharan na kumwita majina ya ajabu<br />
<br />
Kila mamlaka iliyowekwa imewekwa kwa makusudi ya Mungu hivyo kutoitii ni km kutomtii Mungu.<br />
<br />
Rais Kikwete kama kiongozi mkuu wa nchi anahitaji heshima yetu hata kama haturidhiki na utendaji kazi wake.<br />
<br />
Zipo njia nyingi za kumfikishia ujumbe but not going beyond na kumwita dhaifu!
Siku zote jina hutokana na matendo ya mtu. Sasa kwa matukio kama haya yafuatayo kiuanguka Jangwani mara mbili, kuanguka Mwanza, Kushindwa kuwawajibisha watendaji wake, kuwatoroka walinzi na kuingia mitaani kusaka ving'amuzi, kupenda ving'amuzi vya wenzie, kutorosha wanyama hai, safari za nje ya nchi zisizo na tija, kupenda ngoma kuliko kazi n.k. Kwa hizi sifa chache jina lipi linalo mfaa?