Tumheshimu Rais wetu Kikwete

Tumheshimu Rais wetu Kikwete

Sidhani kama ni jambo la busara sana kumvunjia heshima rais JK hadharan na kumwita majina ya ajabu

Kila mamlaka iliyowekwa imewekwa kwa makusudi ya Mungu hivyo kutoitii ni km kutomtii Mungu.

Rais Kikwete kama kiongozi mkuu wa nchi anahitaji heshima yetu hata kama haturidhiki na utendaji kazi wake.

Zipo njia nyingi za kumfikishia ujumbe but not going beyond na kumwita dhaifu!

napata mchemsho kidogo
 
Umesema kweli mkuu.Mara nyingi hata kama mtu kakosea (hata kama sio rais) njia bora ya kumkosoa ni kwa kutumia busara. Hapo ndipo anapoweza kuiona hoja yako na hata kuitafakari na ikibidi kuchukua hatua.Lakini mtu unapotumia lugha za matusi, dhihaka na kejeli; si tu kwamba unakuwa unajidhalilisha, kumdhalilisha kiongozi wako hivyo kulidhalilisha taifa lako lakini pia unasababisha hoja yako ambayo inakuwa imejificha ndani ya lugha chafu uliyoitumia kuyeyuka kama barafu.
kama anakosolewa kistaarabu na yeye hajifunzi,unadhani ni njia gani mbadala ya kuitumia zaidi ya hii?
 
Sidhani kama ni jambo la busara sana kumvunjia heshima rais JK hadharan na kumwita majina ya ajabu

Kila mamlaka iliyowekwa imewekwa kwa makusudi ya Mungu hivyo kutoitii ni km kutomtii Mungu.

Rais Kikwete kama kiongozi mkuu wa nchi anahitaji heshima yetu hata kama haturidhiki na utendaji kazi wake.

Zipo njia nyingi za kumfikishia ujumbe but not going beyond na kumwita dhaifu!

Kweli kabisa.
 
Katika mjina yote ila hili la Mr Fastjet kiboko!! Sielewi ni kumchoka au ndiyo watu wa mtandao kutaka kufurahisha nasfi zao!!!
 
Katika mjina yote ila hili la Mr Fastjet kiboko!! Sielewi ni kumchoka au ndiyo watu wa mtandao kutaka kufurahisha nasfi zao!!!

Kisaikolojia mtu yoyote ambaye hashughulishi ubongo wake, ni rahisi sana kukata tamaa ya maisha na hilo likitokea matokeo yake ni kuwashambulia wengine ili aendelee kujiona yu miongoni mwa binadamu.
 
kama anakosolewa kistaarabu na yeye hajifunzi,unadhani ni njia gani mbadala ya kuitumia zaidi ya hii?

Inategemeana na aina ya ukosoaji. Nadhani aina ukosoaji unaofanywa dhidi ya Jk na Serikali yake umejaa unafiki, majungu, uchu wa madaraka na chuki binafsi, hata kama angekuwa rais yupi asingefanyia kazi upuuzi kama huo.
 
Sidhani kama ni jambo la busara sana kumvunjia heshima rais JK hadharan na kumwita majina ya ajabu

Kila mamlaka iliyowekwa imewekwa kwa makusudi ya Mungu hivyo kutoitii ni km kutomtii Mungu.

Rais Kikwete kama kiongozi mkuu wa nchi anahitaji heshima yetu hata kama haturidhiki na utendaji kazi wake.

Zipo njia nyingi za kumfikishia ujumbe but not going beyond na kumwita dhaifu!

Hizi ndizo gharama za kuwapa watu uhuru. Mbona haya hayakuwepo enzi za MKAPA? hivi vimtandao vya kishenzi ambavyo kazi yake ni kuongelea watu visingekuwepo.
 
unaunga mkono hoja ya kugegedana au, manake si unaona user name ya mtoa hoja!!!!

Matusi ya nini sasa? Inakuwa tabu sana ku-interact na less minded kama wewe, mtu analeta mada wewe unaanzisha matusi umelelewa kwenye madanguro nini?
 
Hizi ndizo gharama za kuwapa watu uhuru. Mbona haya hayakuwepo enzi za MKAPA? hivi vimtandao vya kishenzi ambavyo kazi yake ni kuongelea watu visingekuwepo.
Is too late huwezi kuzuia mvuwa, huu upepo wa mabadiliko huwezi kuuzuia kwa kukaa nyuma ya keyboard na kuwekewa bando kuanza kutetea upuuzi.

Kwanza sina muda wakujadili lolote na mtu dhaifu kama wewe, wacha nikajadili mada za watoto zetu kuferi vibaya chini ya utawala wa CCM.
 
Ila jamani watu wamempa majina mengi sana duh! Ni kama vile anapata ubatizo mpya kila mwezi!
 
Sidhani kama ni jambo la busara sana kumvunjia heshima rais JK hadharan na kumwita majina ya ajabu

Kila mamlaka iliyowekwa imewekwa kwa makusudi ya Mungu hivyo kutoitii ni km kutomtii Mungu.

Rais Kikwete kama kiongozi mkuu wa nchi anahitaji heshima yetu hata kama haturidhiki na utendaji kazi wake.

Zipo njia nyingi za kumfikishia ujumbe but not going beyond na kumwita dhaifu!



Huu ni ujinga na ufinyu wa mawazo. Hii ni karne ya 21 na tuna uhuru wa kuongea. Rais kawekwa madarakani na baadhi ya watanzania, sasa kama hatekelezi majukumu ya wananchi kama afanyavyo hivi Kikwete yaani watu wakae tu na kumsifia kuwa ni raisi wetu? Fanya mambo kama afanyayo Kagame uone jinsi utakavyosifiwa si bla bla bla tu, watanzania tumemchoka huyu mtu na ndiyo maana anatukanwa hata na vifaranga vya kuku. Mbona alikuwa hatukanwi katika mwaka wake wa kwanza? Kaanza kupondwa na kutukanwa baada ya kazi zake kuzorota. Huyu ni rais tu na wala si Mungu, asitukanwe ili iweje? Anatukanwa Obama sembuse haka kajamaa? Wewe kama una njaa zako, sifia tu CCM na raisi wako kadri utakavyo ila usitulazimishe kumuheshimu mtu asiyetekeleza majukumu/matakwa ya wananchi wake.
 
Sultan Mangungu of Burger-heart is incompetent and a joke of a president, You have to wonder how did he penetrated the 'sieves' of leadership at his own pathetic abilities of a leader. Sasa this joke of a person has blindful of disciples ambao nao ni jokers vilevile, this very thread is a direct remainder of that/
 
Back
Top Bottom