Mwache Kikwete na genge lake wavune walichopanda. Ameingia Ikulu kupitia dirishani. Hastahili kuheshimiwa kwa tikitaka zake!
Sidhani kama ni jambo la busara sana kumvunjia heshima rais JK hadharan na kumwita majina ya ajabu
Kila mamlaka iliyowekwa imewekwa kwa makusudi ya Mungu hivyo kutoitii ni km kutomtii Mungu.
Rais Kikwete kama kiongozi mkuu wa nchi anahitaji heshima yetu hata kama haturidhiki na utendaji kazi wake.
Zipo njia nyingi za kumfikishia ujumbe but not going beyond na kumwita dhaifu!
......
sidhani kama ni jambo la busara sana kumvunjia heshima rais jk hadharan na kumwita majina ya ajabu
kila mamlaka iliyowekwa imewekwa kwa makusudi ya mungu hivyo kutoitii ni km kutomtii mungu.
Rais kikwete kama kiongozi mkuu wa nchi anahitaji heshima yetu hata kama haturidhiki na utendaji kazi wake.
Zipo njia nyingi za kumfikishia ujumbe but not going beyond na kumwita dhaifu!
.......
Kifaransa Noblesse Oblige. Kiswahili Ukubwa gunia la lawama.
Ndiyo maana Kiranga kwa kujua anajiheshimu hataki hata ukatibu kata.
Akitaka kuheshimiwa ajiheshimu.
Watu ambao hawana uwezo kama yeye waliojiheshimu hawajataka kuji expose kwa kutaka ofisi za umma.
Waswahili wamesema "Mtaka nyingi nasaba, hupata mingi misiba".
Kutaka urais wa nchi ni kutaka nasaba na kila mwananchi, vivyo msiba wa kila mwananchi ni msiba wako.
Kwa hivyo, si kazi kukuta rais akipewa majina lukuki, hususan kama wananchi wake wana vijimambo na mambo lukuki.
Kukataa hili ni kama nyumba kukataa kiwanja ilichojengwa juu yake!
.......
Wanao mkashifu wengi wao wale wanaotaka kuingia msituni wakishindwa uchaguzi 2015.
Ila jamani watu wamempa majina mengi sana duh! Ni kama vile anapata ubatizo mpya kila mwezi!
kujiuzuru ndio jambo pekee la kulinda heshima yake otherwise alinde heshima ya waliomweka hapo magogoni kwa kuwasikiliza vilio vya wapiga kura wake.Sidhani kama ni jambo la busara sana kumvunjia heshima rais JK hadharan na kumwita majina ya ajabu
Kila mamlaka iliyowekwa imewekwa kwa makusudi ya Mungu hivyo kutoitii ni km kutomtii Mungu.
Rais Kikwete kama kiongozi mkuu wa nchi anahitaji heshima yetu hata kama haturidhiki na utendaji kazi wake.
Zipo njia nyingi za kumfikishia ujumbe but not going beyond na kumwita dhaifu!
Sidhani kama ni jambo la busara sana kumvunjia heshima rais JK hadharan na kumwita majina ya ajabu
Kila mamlaka iliyowekwa imewekwa kwa makusudi ya Mungu hivyo kutoitii ni km kutomtii Mungu.
Rais Kikwete kama kiongozi mkuu wa nchi anahitaji heshima yetu hata kama haturidhiki na utendaji kazi wake.
Zipo njia nyingi za kumfikishia ujumbe but not going beyond na kumwita dhaifu!
ampe hekima maana imemwishia angekuwa nayo hata kidogo angeweza kukemea haya tunayoyaona.maya be amwezeshe kufanya maamuzi magimi ya kuachia ngazi.ee mungu baba umbariki raisi wetu mapepo yaondoke asianguke tena jukwaani umzidishie nguvu na upendo na huu uzaifu aliouonyesha umtoke baba babaaaa .............tunakulilia........shabarabarakalawakakatalalwwwww........
Sidhani kama ni jambo la busara sana kumvunjia heshima rais JK hadharan na kumwita majina ya ajabu
Kila mamlaka iliyowekwa imewekwa kwa makusudi ya Mungu hivyo kutoitii ni km kutomtii Mungu.
Rais Kikwete kama kiongozi mkuu wa nchi anahitaji heshima yetu hata kama haturidhiki na utendaji kazi wake.
Zipo njia nyingi za kumfikishia ujumbe but not going beyond na kumwita dhaifu!
Mi nadhani JK hana washauri makini, may be there is a force behind him.
Sidhani kama ni jambo la busara sana kumvunjia heshima rais JK hadharan na kumwita majina ya ajabu
Kila mamlaka iliyowekwa imewekwa kwa makusudi ya Mungu hivyo kutoitii ni km kutomtii Mungu.
Rais Kikwete kama kiongozi mkuu wa nchi anahitaji heshima yetu hata kama haturidhiki na utendaji kazi wake.
Zipo njia nyingi za kumfikishia ujumbe but not going beyond na kumwita dhaifu!
Hivi kumbe huitwa dhaifu!? nilikuwa sijaipata hiyo, leo wewe ndio umenifundisha!Sidhani kama ni jambo la busara sana kumvunjia heshima rais JK hadharan na kumwita majina ya ajabu
Kila mamlaka iliyowekwa imewekwa kwa makusudi ya Mungu hivyo kutoitii ni km kutomtii Mungu.
Rais Kikwete kama kiongozi mkuu wa nchi anahitaji heshima yetu hata kama haturidhiki na utendaji kazi wake.
Zipo njia nyingi za kumfikishia ujumbe but not going beyond na kumwita dhaifu!