Shelisheli
Senior Member
- May 13, 2011
- 178
- 27
Wewe Ms.. umeona matokeo ya form four? Matokeo ya udhaifu wa huyo mume wenu. Rais akiwa dhaifu kila idara ya serikali inakuwa hivyo hivyo. Hivi taifa la kesho litakuwaje? Acheni ujuha, a spade is a spade!Mkuu Mjenga nitakujibu baadaye nini awafanyie maana hawataki kuona hata kusikia.......labda awaoe ndio waridhike.