Kuna watu wajinga wajingz wakisema Sugu analindwa na Uhuru na Haki ya Bunge, wajitokeze kumsaidia huyu baunsa akiwa mikononi mwa Polisi
Mkuu salama!
Hivi kunawajinga zaid ya Kikwete, kigwangala na wengineo ndani ya ccm?
Kikwete majina ya wauza unga ninayo anafanya nini namajina hayo...???
Kikwete majina ya wezi wa EPA ninayo lakini warudishe....... Wezi wa fedha za umma!!! mbona wezi wa kuku wanafungwa?
Kikwete siku 90 tutajivua magamba ndo kwanza yamekwamia kifuani.....hivi ni miaka mingapi imepita.....
Hebu tusaidie kati ya mbilinyi na hao jamaa ujinga upi unafadhali na kwanini??