Tumeripoti polisi na Mhe. Sugu

Tumeripoti polisi na Mhe. Sugu

Ndauwo poleni sana, yani ninahasira na hao magamba, safari hii nikikutana na Ndugai haki tena nampa ngumi ya Uso potelea mbali acha wanipe kesi nyingine!
hahahahaaaaa.....unaishi naye karibu nini! Umenifurahisha mkuu wangu.
 
Lakin kiongoz wa bunge kuwapa amri dhalimu ya kumtoa KUB na kumpiga mh mbunge ni hekima sana
Hakika kuishabikia CCM lazima uwe na akili za tenende
 
Safi sana Dogo Janja. Jaribu kukaa naye umueleze kuna tofauti kubwa kati ya kuwa baa na bungeni. mambo ya kijinga haya ya kutumia nguvu za mwili awaachie wala msuba wengine. Pale ni sheria na taratibu tuu ndiyo zinafuatwa. Ni akili ya mlevi tu ndiyo inaweza kufikiri kwamba naibu spika kwa mamlaka yake katoa amri kwa wanausalama wa bunge kumtoa nje KUB halafu eti yeye anaweza kutengua amri hiyo kwa kutumia misuli yake. SHAME ON YOU SUGU!:bored:

Njaa ibakie tumboni ikihamia kwenye ubongo ni hatari sana..
 
wewe CHAMVIGA ni mzigo.
hii sifa ya mh ana stahili lusinde? wewe mbona umeacha kazi zako unakuja jf? hivi kweli huruma ya wana jf inaweza kuwa na mchango gani kwenye swala hilo? kuna kosa gani kutupa taarifa?

Hawa watafuta upopurality kwa kutengeneza matukio ya kijinga na mwisho kuja kuleta ujinga wao hapa ili watu wadhanie wanatendewa dhulma na viongozi wa ccm kumbe ni mipango tu.
 
Last edited by a moderator:
Cheap tanzania politicians in jf. hamna cha maana mnachowafanyia watz zaidi ya mipasho kama hii. wenzenu wanadiscuss serious issues nyie mnaleta siasa za katika mitandao ya kijamii za kina MBWA KACHOKA,JINAMIZI,BLACKY

Makalio ni kwaajili ya kukalia na kichwa ni kwaajili ya kufukiri.....Ni hatari pale mtu atakapo tumia viuongo hivi kinyume chake....
 
Uzuri ni kuwa, tz kuna utawala wa sheria japo si kwa asilimia 100, kama sio hivyo, sugu angefanyiwa kitu mbaya. Anyway, ndugai si mtu mwema. Kwa nn yeye tu?
 
sii rahisi sana kwa serikali kuona inachopanda kwa sasa, mnapozidi kuonesha uonevu kwa watu wasiokuwa na hatia mnazidi kuwapa watu maumivu

na kitakachofuata ni yale yaliyotokea arusha wakati wa uchaguzi wa madiwani.

Kwa sasa ni watu wengi hawana kazi, hawana uhakika wa kula, hawajui hatima ya watoto wao kuhusu elimu.

Kuna vijana wengi wamehitimu vyuo vikuu hawana ajira.

Na haya makundi yakiwaona baadhi ya watu waliopewa madaraka, wao na familiya zao wakiishi kama wako mbinguni.

Lakini pia wakiona wale wachache wanojaribu kuwazungumzia matatizo yao wakinyanyaswa na vyombo vya dola.

Haya yote wanayaona. Baadhi ya viongozi wachache wanaojiona wameshafika wataigharimu serikali 2015
 
Kama haki haitolewi kwa usawa, hupiganiwa . Naibu spika ni mpuuzi sana afundishwe ustaarabu. Hiyo maiki atalipa ndugai.
 
Akiahirisha bunge jioni hii Ndugai ameonesha kuwa kwa kitendo alichofanya Sugu hakina kinga na kqa sababu hiyo sheria itachukua mkondo wake. Alishangiliwa sana na wapambe wake. Mary Nagu amemsifia sana kwakuendesha bunge kishujaa na kwa ufanisi mkubwa.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums


Kinga kwa Wabunge wa CCm tu
 
Hivi Dr. SLaa wakati anapiga kampeni Mbeya na kusema kwamba Sugu atakuwa Waziri wa Afya iwapo atashinda Urais alikuwa hamjui Sugu vizuri au alikuwa anawalaghai watu wa mbeya kama kawaida yake?
 
Ile movie ya sugu nimeipenda sana viva cdm, viva sugu, viva nguvu ya umma,, aluta contunie
 
Wajinga ndiyo waliwao haka kakundi baada ya kukaa na kutengeneza bajeti ya jinsi ya kuchota hela ya chama kwa kisingizio cha kumtetea Sugu Mahakamani ndiyo wameenda kuripoti Polisi.

LISU MSANII WA KIMATAIFA
 
Back
Top Bottom