Tumeripoti polisi na Mhe. Sugu

Tumeripoti polisi na Mhe. Sugu

Akiahirisha bunge jioni hii Ndugai ameonesha kuwa kwa kitendo alichofanya Sugu hakina kinga na kqa sababu hiyo sheria itachukua mkondo wake. Alishangiliwa sana na wapambe wake. Mary Nagu amemsifia sana kwakuendesha bunge kishujaa na kwa ufanisi mkubwa.

WASITULETEE UPUUZI WAO HAWA MAGAMBA.
 
asikari kuingia bungeni si kosa?
muongozo....
 
Baada ya Mwenyekiti na KUB Mbowe kusikia kuwa Sugu anatafutwa na polisi, jioni hii tumeamua kuripoti makao makuu ya polisi mkoa wa Dodoma ili kuondoa sintofahamu iliyokuwepo.

Tumeripoti na Mhe. Mbowe, Lissu, Sugu, Mnyika na Mimi mwenyewe.

Kwa hatua ya sasa Sugu anaandika maelezo kwa RCO akisaidiwa na wakili Tundu Lissu.

Tutawajulisha kitakachojiri
pa1 kamanda
 
Safi sana Dogo Janja. Jaribu kukaa naye umueleze kuna tofauti kubwa kati ya kuwa baa na bungeni. mambo ya kijinga haya ya kutumia nguvu za mwili awaachie wala msuba wengine. Pale ni sheria na taratibu tuu ndiyo zinafuatwa. Ni akili ya mlevi tu ndiyo inaweza kufikiri kwamba naibu spika kwa mamlaka yake katoa amri kwa wanausalama wa bunge kumtoa nje KUB halafu eti yeye anaweza kutengua amri hiyo kwa kutumia misuli yake. SHAME ON YOU SUGU!:bored:

hapo kama sikosei utakuwa unakunywa CHANG'AA, siyo akili yako!
 
Hivi Sugu alikurupuka tu kama kichaa akamtandika huyo poliCCM bila sababu??
 
wateja wakuu ndio hao wabunge wa magamba na mawazir si ndio wanaokesha hapo billicanas mpaka asubuhi by dr.slaa
Hayo madawa yenu tumieni wenywe tu wala msimsingizie mtu sugu alianza bangi yuko shule ya msingi unatarajia nini.
 
km uhuni anaoufanya mbowe wa kutumia vibaya nafasi ya kiongozi wa upinzani bungeni kuongoza uhuni, vurugu, kupiga askari na kutukana badala ya kujenga hoja

Hoja hujengwa baada ya kupewa nafasi,,,,je alipewa nafasi ya kujenga hoja?
 
Siwapendi ccm hadi Mungu hapendi , Sugu da day will come everything gonna makes sense ...
 
Hongereni na poleni sana makamanda, mpaka bungeni polis wanawafuatilia! Siku nyingine mtandikeni huyo naibu spika, watanzania tumechoka kuongozwa na spika kwa maslahi ya ccm badala ya taifa!
 
Chadema eti kila mtu mhuni sijui watu wa aina gani hawa.
 
Tatizo watanzania tumekosa kujitambua, na siku zote penye haki ya kufanya changes katika nchi yatubidi tuungane pamoja, kazi waifanyayo vyama vya siasa kuibadili nchi ni kubwa mno, hebu tuwape sapoti na si kuwatukana matusi tu, huu ni muda wa kuondoa mfumo wa chama kimoja!
 
Back
Top Bottom