Wajinga wanadanganyana. Ni uhuni mkubwa kuvunja vifaa vya bunge na ni uhuni mkubwa kwa mbunge kupiga askari
ni wapuuzi tu ndo wanatetea uonevu na ukandanizaji wa serikali kwa wapinzani we cannot take it any more remember to every action there is equal reaction, sugu alikua anajitahidi kujikwamua kutoka mikononi mwa mabaradhuli mbwa wa chukua chako mapema so akawa ameshika mike na ikachomoka bahati mbaya but that is not a proper way to treat MPs at all, na for ur record hakuna askari amepigwa isipokua alitaka kupigwa, follow the news propely, na angepigwa ni sawa maana askari ndo wamekosa adabu kwa wabunge na raia pia, yy ndo alianza kumpiga sugu, kwanza sugu alichelewa kureact angemchapa mapema tu, na ndugai hatapata ubunge tena maana hata wananchi wake waneshamdharau vya kutosha