Tumeripoti polisi na Mhe. Sugu

Tumeripoti polisi na Mhe. Sugu

Ninachoona ni mambo ya club kuhamia bungeni, hizi ndio athari za kuchagua wabunge watu wasio na sifa, hekima na busara. kupigana sio sifa ni ishara ya ushamba.

Kuna maneno kuwa baadhi ya wacheza mpira hawawezi kuingia uwanjani bila kuvuta bangi, kwa mwenendo wa bunge la sasa inawezekana kuna baadhi ya wabunge hawawezi kuingia bungeni bila kuvuta bangi, maana kwa akili ya kawaida mambo wanayoyafanya hayawezi kufanywa na mtu anayejiheshimu.
 
Baada ya Mwenyekiti na KUB Mbowe kusikia kuwa Sugu anatafutwa na polisi, jioni hii tumeamua kuripoti makao makuu ya polisi mkoa wa Dodoma ili kuondoa sintofahamu iliyokuwepo.

Tumeripoti na Mhe. Mbowe, Lissu, Sugu, Mnyika na Mimi mwenyewe.

Kwa hatua ya sasa Sugu anaandika maelezo kwa RCO akisaidiwa na wakili Tundu Lissu.

Tutawajulisha kitakachojiri

Ni saa tatu kasoro usiku, bado tuko polisi tangu saa kumi na moja kasoro.

Wapuuzi nyie hamna mambo ya kufanya zaid ya kushabikia fujo na aibu ztokeazo bungeni?ebu jiulizen n kina nan wamewatuma hapo na kwann sio kuleta itikad zenu zisizo na maslah ktk taifa hili.
 
Mmejitolea sana kwa ukombozi wa hii nchi...hongereni makamanda...
 
Baada ya Mwenyekiti na KUB Mbowe kusikia kuwa Sugu anatafutwa na polisi, jioni hii tumeamua kuripoti makao makuu ya polisi mkoa wa Dodoma ili kuondoa sintofahamu iliyokuwepo.

Tumeripoti na Mhe. Mbowe, Lissu, Sugu, Mnyika na Mimi mwenyewe.

Kwa hatua ya sasa Sugu anaandika maelezo kwa RCO akisaidiwa na wakili Tundu Lissu.

Tutawajulisha kitakachojiri

Ni saa tatu kasoro usiku, bado tuko polisi tangu saa kumi na moja kasoro.

nassari, mengine yapigeni kimya kimya, si kila asomaye anawatakia mema
 
Wapuuzi nyie hamna mambo ya kufanya zaid ya kushabikia fujo na aibu ztokeazo bungeni?ebu jiulizen n kina nan wamewatuma hapo na kwann sio kuleta itikad zenu zisizo na maslah ktk taifa hili.

Mimi nawashangaa sana na hizi account zenu za 2013 ambazo zina reply topic za chadema tu. Hivi kama kweli unaakili timamu na hujaruka hata darasa moja wala hujawahi kuugua kichaa, kati ya askari waliokuwa wakipigana na askari na wabunge waliokuwa wakishangilia vurugu nani aliekuwa akishabikia fujo na aibu zilizotokea bungeni kama unavyodai. kama huna jubu basi mpuuzi namba moja na ambae hana la kufanya ni wewe na ukoo wako wote unaoshindwa kukufunza hekima na adabu ya kifikra
 
We Joshua, tupe updates...mbona kimya sana....tunasubiri kufahamu what is going on over there...!!!!
 
Ninachoona ni mambo ya club kuhamia bungeni, hizi ndio athari za kuchagua wabunge watu wasio na sifa, hekima na busara. kupigana sio sifa ni ishara ya ushamba.

Kuna maneno kuwa baadhi ya wacheza mpira hawawezi kuingia uwanjani bila kuvuta bangi, kwa mwenendo wa bunge la sasa inawezekana kuna baadhi ya wabunge hawawezi kuingia bungeni bila kuvuta bangi, maana kwa akili ya kawaida mambo wanayoyafanya hayawezi kufanywa na mtu anayejiheshimu.

Huo ni mtazamo wako.....hauendani uhalisia.Kama uliangalia bunge unaweza ukajua nani alivuta bangi.
 
Ninachoona ni mambo ya club kuhamia bungeni, hizi ndio athari za kuchagua wabunge watu wasio na sifa, hekima na busara. kupigana sio sifa ni ishara ya ushamba.

Kuna maneno kuwa baadhi ya wacheza mpira hawawezi kuingia uwanjani bila kuvuta bangi, kwa mwenendo wa bunge la sasa inawezekana kuna baadhi ya wabunge hawawezi kuingia bungeni bila kuvuta bangi, maana kwa akili ya kawaida mambo wanayoyafanya hayawezi kufanywa na mtu anayejiheshimu.

Huo ni mtazamo wako.....hauendani na uhalisia.Kama uliangalia bunge unaweza ukajua nani alivuta bangi.
 
Baada ya Mwenyekiti na KUB Mbowe kusikia kuwa Sugu anatafutwa na polisi, jioni hii tumeamua kuripoti makao makuu ya polisi mkoa wa Dodoma ili kuondoa sintofahamu iliyokuwepo.

Tumeripoti na Mhe. Mbowe, Lissu, Sugu, Mnyika na Mimi mwenyewe.

Kwa hatua ya sasa Sugu anaandika maelezo kwa RCO akisaidiwa na wakili Tundu Lissu.

Tutawajulisha kitakachojiri

Ni saa tatu kasoro usiku, bado tuko polisi tangu saa kumi na moja kasoro.


Tatizo la jeshi letu la polisi limekuwa likitumika kwa maslahi ya chama cha mapinduzi,tumeona wanavyochukua hatua kwa haraka pale Chadema walipozidisha muda ktk mkutano wa hadhara wananchi walipokuwa wakitoa maoni yao kuhusu uundwaji wa katiba mpya lakini hao hao polisi wamekuwa wazito kuwakamata viongozi wengi wa ccm waliokwapua fedha za uma/viongozi wa ccm wanaojihusisha na madawa ya kulevya kimsingi jeshi limepoteza maana kabisa..
 
Safi sana wakikuanza wamalizeni
Sijui kwanini Sugu hakumtia yule mgambo wa bunge magumi double double

Shenzi sana yule mgambo
 
Safi sana Dogo Janja. Jaribu kukaa naye umueleze kuna tofauti kubwa kati ya kuwa baa na bungeni. mambo ya kijinga haya ya kutumia nguvu za mwili awaachie wala msuba wengine. Pale ni sheria na taratibu tuu ndiyo zinafuatwa. Ni akili ya mlevi tu ndiyo inaweza kufikiri kwamba naibu spika kwa mamlaka yake katoa amri kwa wanausalama wa bunge kumtoa nje KUB halafu eti yeye anaweza kutengua amri hiyo kwa kutumia misuli yake. SHAME ON YOU SUGU!:bored:

Uso ukiwa na nyama ya k unapata matatizo ya kupenda kuguswa guswa usoni.
 
Nasari na wahuni wenzako, mnapaswa kushughulikiwa na dola. Wajinga sana nyie, hii nchi ni yetu sote sio mnakula kodi zetu halafu mnafanya utoto bungeni

mjinga mamayo...aagh hv nyie majitu ya ccm mkoje mme logwa na nani wasengelenyuma nyie,nyambaaf
 
Wapuuzi nyie hamna mambo ya kufanya zaid ya kushabikia fujo na aibu ztokeazo bungeni?ebu jiulizen n kina nan wamewatuma hapo na kwann sio kuleta itikad zenu zisizo na maslah ktk taifa hili.


Tunakushukuru tumekusikia kwa kutuita wapuuzi sisi wananchi tuliowachagua Wabunge wetu watuwakilishe Bungeni,una lingine la kuchangia zaidi ya kutukana?
 
Wapuuzi nyie hamna mambo ya kufanya zaid ya kushabikia fujo na aibu ztokeazo bungeni?ebu jiulizen n kina nan wamewatuma hapo na kwann sio kuleta itikad zenu zisizo na maslah ktk taifa hili.
Jiheshim we pimbi,huna mchango na uwepo wake pale,anafanya tunachotaka na sio unachotaka wewe bhahau,huo uchichiman aliokufundisha Mwigulu usi2letee nyambaf...
 
Back
Top Bottom