wamogori
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 888
- 339
Kweli Msamiati umekosa kutumia misamiati ili kupunguza ukali wa maneno? ikiwa kuna watu hayo maneno uliyoyatumia kwao ni ya kawaida hadi kuyaandika hadharani ni dhahiri watu kama hao tukiwapa dhamana ya kutuwakilisha bungeni watakua ni vituko ndani ya bunge kama ambavyo baadhi ya wabunge walivyo sasa.Na huu ndio usenge mnaoleta mpaka bungeni huwa hamtaki kujibu hoja. Jibu swali m@t@ko y@ko "Mimi nawashangaa sana na hizi account zenu za 2013 ambazo zina reply topic za chadema tu. Hivi kama kweli unaakili timamu na hujaruka hata darasa moja wala hujawahi kuugua kichaa, kati ya wabunge wa upinzani waliokuwa wakipigana na askari na wabunge waliokuwa wakishangilia vurugu nani aliekuwa akishabikia fujo na aibu zilizotokea bungeni kama unavyodai?. kama huna jubu basi mpuuzi namba moja na ambae hana la kufanya ni wewe na ukoo wako wote unaoshindwa kukufunza hekima na adabu ya kifikra" Usipojibu wewe ni kichaa kama ndungai wala usihangaike kureply sitakujibu
Last edited by a moderator: