Real Estate Projects
Member
- Sep 6, 2013
- 15
- 1
Tumeanza na Mungu na tutamaliza na Mungu,
Hivi Mh Nasari, hata kama Mh Sugu angemvunja huyo policcm meno yote ya mbele, si kwamba Mh Sugu alikuwa kwenye eneo la kinga ya kibunge? Naomba muongozo
kwa hiyo unataka kuniambia mbunge anaweza kumpiga mtu mpaka akafa bungeni na yet akawa ana kinga ya kibunge?