Tumeripoti polisi na Mhe. Sugu

Tumeripoti polisi na Mhe. Sugu

Tumeanza na Mungu na tutamaliza na Mungu,
Hivi Mh Nasari, hata kama Mh Sugu angemvunja huyo policcm meno yote ya mbele, si kwamba Mh Sugu alikuwa kwenye eneo la kinga ya kibunge? Naomba muongozo

kwa hiyo unataka kuniambia mbunge anaweza kumpiga mtu mpaka akafa bungeni na yet akawa ana kinga ya kibunge?
 
John Komba,Mkamia,Mwigulu,Lusinde,na wengine wengi ndio wanavuta bangi kabla ya kuingia bungeni kwani matusi yao hamyasikii
 
Wewe umesahau kuwa rais kikwete alimnadi lowasa kuwa ni jembe?au Alisha sahau kuwa ndie aliye asisi Richmond?
 
pamoja na yote,ukweli ni kwamba kitendo mlichokifanya jana kimewatia doa.kama hamuamin tafuteni maoni ya wanaCHADEMA wote msikie wanachofikiri kuusu tukio la jana.
 
Baada ya Mwenyekiti na KUB Mbowe kusikia kuwa Sugu anatafutwa na polisi, jioni hii tumeamua kuripoti makao makuu ya polisi mkoa wa Dodoma ili kuondoa sintofahamu iliyokuwepo.

Tumeripoti na Mhe. Mbowe, Lissu, Sugu, Mnyika na Mimi mwenyewe.

Kwa hatua ya sasa Sugu anaandika maelezo kwa RCO akisaidiwa na wakili Tundu Lissu.

Tutawajulisha kitakachojiri

Ni saa tatu kasoro usiku, bado tuko polisi tangu saa kumi na moja kasoro.

Dogo janja leta mrejesho
 
Wenye Akili Tumekuelewa! Umetukumbusha Tulivyoanza, Tulipo na Tunapokwenda na Tufanye Nini! Usishangae wale waliofukia kwenye matope akili zao wakaanza kuandika ujinga. Naamini Tutashinda. Kama Kamanda G. J. Lema asemavyo, "Heri Vita inayopigania Haki kuliko Amani inayodhalilisha Utu wa Mwanadamu". Mapambano yataendelea, Mwishowe Tutashinda.
 
mambo mengine polisi mnaudhi mno na tena kupindukia.

Ya nini utendaji kazi kwa #kiubaguzi kila uchao??????

Ya nin utendaji kazi kwa misingi ya kuegemea kwe itikadi za kisiasa??????

#mnakera mno polisi mara nyingi.

"sasa nyie ya bungeni yanawahusu nin????????"

nyie ni sehemu ya serikali sasa ya nini kuingilia mhimili mwingine wa dola??????

Kha mambo mengine mnasababisha mpaka watu wanakuwa na hisia mbaya nyingi juu yenu kwa sababu ya kuendekeza utendaji usiyo kuwa wa kiufanisi??????
 
Kwa utaratibu huu wa bunge kuendeshwa kama kikundi cha mtu mmoja nahisi unaelekea ukomo wake si muda mrefu ......pamoja.makamanda
 
Safi sana Dogo Janja. Jaribu kukaa naye umueleze kuna tofauti kubwa kati ya kuwa baa na bungeni. mambo ya kijinga haya ya kutumia nguvu za mwili awaachie wala msuba wengine. Pale ni sheria na taratibu tuu ndiyo zinafuatwa. Ni akili ya mlevi tu ndiyo inaweza kufikiri kwamba naibu spika kwa mamlaka yake katoa amri kwa wanausalama wa bunge kumtoa nje KUB halafu eti yeye anaweza kutengua amri hiyo kwa kutumia misuli yake. SHAME ON YOU SUGU!:bored:

Sugu anawachoresha sana wenzake!ni zigo la nnya ni basi tu anavumiliwa
 
pamoja na yote,ukweli ni kwamba kitendo mlichokifanya jana kimewatia doa.kama hamuamin tafuteni maoni ya wanaCHADEMA wote msikie wanachofikiri kuusu tukio la jana.

nilifikiri ulishafanya hiyo research. sasa umejuaje hicho ulichoandika?
 
Chadema imegawanyika katika makundi makuu mawili bungeni,la kwanza ni la Mbowe humu utamkuta punguani Tundu Lissu,mpenda sifa za kijinga Lema,bongo lala Sugu,mropokaji Msigwa na muongo alievuka mipaka Mnyika na ukifuatilia kwa undani hili kundi kabla kuingia bungeni hawakuwa na shughuli halali za kuwaingizia kipato cha kila siku walikuwa wahuni tu wa mtaani.Kundi la pili ni la wasomi,wenye kujitambua,wajenga hoja na kujiheshimu hapa utamkua Zitto,mh Arfi,Shibuda,Halima Mdee,Lucy Owenya na wengine wachache.. Hii ndio safu ya Chadema bungeni na majukwaani.
 
Wajinga wanadanganyana. Ni uhuni mkubwa kuvunja vifaa vya bunge na ni uhuni mkubwa kwa mbunge kupiga askari
Thats right, kiongozi mzur lazima awe na busara na hekma hata kama ameonewa hapo hatuna viongozi ni vurugu tupu.
 
Baada ya Mwenyekiti na KUB Mbowe kusikia kuwa Sugu anatafutwa na polisi, jioni hii tumeamua kuripoti makao makuu ya polisi mkoa wa Dodoma ili kuondoa sintofahamu iliyokuwepo.

Tumeripoti na Mhe. Mbowe, Lissu, Sugu, Mnyika na Mimi mwenyewe.

Kwa hatua ya sasa Sugu anaandika maelezo kwa RCO akisaidiwa na wakili Tundu Lissu.

Tutawajulisha kitakachojiri

Ni saa tatu kasoro usiku, bado tuko polisi tangu saa kumi na moja kasoro.

Safi sana makamanda: ****** alijiabisha sana kwa akili zao za hawavumi ila wapo, wanadhani kuja piga kelele CDM kutawasaidia kutoka...

Mbowe alikuwa vey composed ndugai aka act km kibaka hakumsikiliza kakimbilia kuita polisi, km alivyofanya kipindi kile...Polis wakampiga Sugu.....sijui hajui kuw abunge lilipaswa mlinda Mbunge kabla hajajilinda mwenyewe.

CCM ni very low creatures..i call them collection ya "majinga ya nchi hii"....utawala wa JK ni Utawala wa Majinga"

ITS MAJINGA DAYS OUT...

very soon wabunge wa kike wa CCM wanaweza anza habari kuwa mnawatamani ili wapande chat.
 
I like football, manake wakati mwingine mchezaji anaweza omba radhi hata nje ya uwanja sasa siasa watu wazima mnafanya mambo ya kipumbavu mnashindwa kuambiana ukweli matokeo yake mnajiunga mkono. Manake kama Ndugai alikuwa chizi na akapitia nguo zenu mkioga na nyie mkatoka kichele kumtoa nduki sasa woote mnakuwa machizi tena nyie mnamzidi chizi mkuu sababu yeye anabaki na nguo nyie mnakuwa wakweli.

Ifike mahali muache mambo ya kishamba watu wazima timizenu wajibu wenu, chapaneni makonde kwa mambo ya hoja za kweli lakini mipasho kila kukicha mtakuja pata makonde mitaani manake na wananchi washavurugwa kuliko nyinyi. Kwengine duniani wabunge wanazichapa na wabunge wenzao nyie mnapiga askari? Halafu mnaleta mbwembwe za kumshinda askari kwa sheria huyo myonge tu lazima mtamshinda mie ningewakubali kama mngemsubiri Ndugai nje na kumpa vitasa. Afande kwanza anaogopa kupoteza ugali na mahakamani hawezi kuweka mwanasheria, wengine wahuni ndio wakiwakuta kitaa wanawapasua.
 
Chadema imegawanyika katika makundi makuu mawili bungeni,la kwanza ni la Mbowe humu utamkuta punguani Tundu Lissu,mpenda sifa za kijinga Lema,bongo lala Sugu,mropokaji Msigwa na muongo alievuka mipaka Mnyika na ukifuatilia kwa undani hili kundi kabla kuingia bungeni hawakuwa na shughuli halali za kuwaingizia kipato cha kila siku walikuwa wahuni tu wa mtaani.Kundi la pili ni la wasomi,wenye kujitambua,wajenga hoja na kujiheshimu hapa utamkua Zitto,mh Arfi,Shibuda,Halima Mdee,Lucy Owenya na wengine wachache.. Hii ndio safu ya Chadema bungeni na majukwaani.

hao wastaarabu wako ktk logic tunaiita tunatanguliza ~ q , ~P ....Bado Zitto yupo busy kihivyo...mbona sasa Hawavumi ndugai hakujisikia safisha nyota kwao ili atoke kisiasa?

Zitto mwenyewe hawavumi alikuwa kitaka safisha nyota kwa mbowe...sasa hivi yupo mbio down the septic pipe
 
I like football, manake wakati mwingine mchezaji anaweza omba radhi hata nje ya uwanja sasa siasa watu wazima mnafanya mambo ya kipumbavu mnashindwa kuambiana ukweli matokeo yake mnajiunga mkono. Manake kama Ndugai alikuwa chizi na akapitia nguo zenu mkioga na nyie mkatoka kichele kumtoa nduki sasa woote mnakuwa machizi tena nyie mnamzidi chizi mkuu sababu yeye anabaki na nguo nyie mnakuwa wakweli.

Ifike mahali muache mambo ya kishamba watu wazima timizenu wajibu wenu, chapaneni makonde kwa mambo ya hoja za kweli lakini mipasho kila kukicha mtakuja pata makonde mitaani manake na wananchi washavurugwa kuliko nyinyi. Kwengine duniani wabunge wanazichapa na wabunge wenzao nyie mnapiga askari? Halafu mnaleta mbwembwe za kumshinda askari kwa sheria huyo myonge tu lazima mtamshinda mie ningewakubali kama mngemsubiri Ndugai nje na kumpa vitasa. Afande kwanza anaogopa kupoteza ugali na mahakamani hawezi kuweka mwanasheria, wengine wahuni ndio wakiwakuta kitaa wanawapasua.

sasa umesema nini hapa?Hawavumi ndugai kajaribu tafuta kutoka....kaharibu..Askari kapiga boss wake alipofuatwa naye aingie gahrama za kupiga watu hovyo CCM wametuma kuripoti polisi, sasa wao wamekwenda report...ulitaka nini sasa..mbona paragraphy ya juu inapinga na ya chini.

Njie vijana wa stuli ndefu mliofuga Hips mna shida sana ktk kuongea jambo la kweli lazima mumunye maneno.....kwa jinsi mnaotesha hips km very soon hata jinsi zentu mtaanza pata shida sema straightly .

Sasa hutaki watu wakasimamie hii issue ambayo km itafika mahakamani basi aliyepeleka malalamiko akathibitishe mahakamani..
 
Back
Top Bottom