Tume yaahirisha uandikishaji Arusha

Tume yaahirisha uandikishaji Arusha

kuna balozi mmoja wa ccm amefika nyumbani kwangu akaniambia wao ndio wanaotakiwa kuandikisha watu wao maana kila balosi anafahamu watu wake, yaani watu wasisumbuke kwenda kujiandikisha wataandikishwa na mabalozi wao
 
ukweli ni kwamba BVR zimegoma kuingiza chaji ikumbukwe hivi nizile zilioletwa mpya...
 
Huyo mtoa taarifa akili zake zimepungua, taarifa yake ni ya uongo na yeye sio msemaji wa NEc, wewe nenda utahudumiwa na kama kuna tataizo wao nec watatoa taarifa na sio mijitu ilotumwa kuja kudanganya watu, na wewe Emma kwenu sio Arusha sasa iweje udanganye watu humu ndani kuwa wewe umejiandaa kwenda kutimiza wajibu wako au ndo wale wale wachumia matumbo mnaoganga njaa kwa vijicent vya Ukawa?! Hahahaha utatumika sana mwaka huu kama mfagio wa chooni

mbona ymeaubika...
 
Ivi kwani ile Sheria ya mtandao watu kama hawa haiwahusu ??
 
Ni kweli kuwa uandikishaji ktk mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Mara na Manyara umeahirishwa hadi tar. 15/6/2015. Source hotmix ya EATV. Mara waandikishaji wametangulia vituoni na taarifa ya kuahirishwa ikafuatia. Nadhani kesho watarudi makwao kwani usambazaji wa vifaa umesitishwa saa nne usiku huu! Operators na maafisa waandikishaji wamemaliza semina leo jioni na kukabidhiwa baadhi ya vitendea kazi. Sababu kubwa inatajwa kuwa ni kutokufika kwa baadhi ya vifaa kama kadi origional za kutengeneza vitambulisho.

So card fake ndiyo zimewahi kabla ya original?
Waendelee kuandikisha usiku na hizo fake
 
haya mambo ya kuigaiga bila kutafakari ni hatari sana , kwa mfano ikithibitika kwamba jambo hili ni kweli , kwanini wote mliompinga na kumtukana mleta uzi msile ban ya miezi mitatu ?

cc Ephata Nanyaro
 
Wana Jf, nimepokea simu kwa kiongozi wa kitongoji changu kwamba Mkurugenzi amewaambia zoezi la kuandikisha wapiga kura Arusha limeahirishwa na vifaa vimechukuliwa hadi itakapo tangazwa twna. Kama ni kqwli hii ni dharau kwa Wana wa Arusha, kuna tukio kuwa safari na baada ya kuona tangazo la Tume kwenye vyombo vya habari tukarudi Arusha kujiandikisha. Naomba mqenye taarifa sahihi aziweke hapa.

Wadau;
Endapo hilo ni Tangazo la kweli toka kwa Tume, naomba kukumbushia tena 'nyuzi' kadhaa mbazo tulishawasilisha hapa jamvini kuhusi hii tume na jinsi inavyochezea akili za wananchi na hasa maeneo ambayo Tume na CCM wanajua kuna wananchi wengi wenye itikadi inayolenga tofauti na wao...hii nukuu chini na 'link' yake ni kati ya nyuzi zinazotoa mwanga zaidi kuhusu tume inakotupeleka ikiwa ni pamoja na kuyumbisha wananchi kwa malengo yao ya siri...!

"
Tumekuwa kulizungumza jambo hili mara kwa mara kuwa Tume hii ya Uchaguzi ni kundi la 'utekelezaji' wa mipango iliyokwishaandaliwa 'gizani' kuilinda CCM, na zipo ishara nyingi ambazo Mkiti wa Tume amekuwa akupatwa na 'makengeza' ya majibu na 'kutetemeka' kila anapoulizwa maswali machache kati ya yanayoonekana dhahiri ila anapatwa na kigugumizi. Kadhalika tumeliongelea suala la 'Usiri wa Tume', kushindwa kueleza wananchi na Vyama kwa uwazi, Ratiba Kamili ya uandikishaji, na hadi hivi karibuni walipotangaza, wamekuwa wakiendelea kuandikisha kiuficho na kwa maeneo yale 'waliyokwishayandaa' ktk agenda zao sirini, na inapokaribia baadhi ya maeneo yenye itikadi pinzani na CCM, huwa aidha 'mashine zinachelewa' kufanya kazi au 'zinaharibika' na hata wakiandikisha, mara nyingine wafanyakazi wa Tume hukimbilia 'kumaliza kazi mapema' na kufunga vituo hata kama bado watu wengi wapo ktk misururu na hushindwa kujiandikisha. Tumepata taarifa za malalamiko mengi toka maeneo mbalimbali na hivi karibuni tena huko Mkoani Kagera!"

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...chuaji-bvr-tume-iwajibishwe.html#post12940266
 
Kila kitu kwao ni sawa tu! Bado Mj rais nae anamuangalia tu huyu mwenyekiti alite shindwa kazi. No hurry in Tanzania


....Ni kweli imefungasha virago Arusha



BVR registration postponed in three regions EU calls for conducive environment for the media

By The guardian reporter

10th June 2015

sisti.png

NEC acting election director Dr Sisti Cariah

The National Electoral Commission (NEC) has postponed the registration of voters through the Biometric Voters Registration (BVR) for a week in four regions citing lack of resources wrought by administrative changes.

Addressing the media yesterday in Dar es Salaam, NEC acting election director Dr Sisti Cariah said the affected regions are Arusha, Manyara, Kilimanjaro and Mara.

According to him, the registration in the said regions was supposed to commence on June 9 this year but instead it will start on June 16.

He explained that the postponement was due to administrative changes in wards, villages, and streets as will be identified by Regional Administration and Local Government.

“The adjournment of the process in the four regions follows the ongoing changes of administrative boundaries across the country,” he noted.
He pointed out that there are about 130 wards that have been increased countrywide.

Nonetheless, he said registration is progressing well with five regions complete, these are, Njombe, Lindi, Mtwara, Ruvuma and Iringa.

He explained that the commission expected to register 518,230 in Lindi but 529,224 showed up, that is 10, 000 more than the expected amount.

Also, only 783,296 were expected to up for registration in Ruvuma but 826,779 people came and while only 524,390 were expected in Iringa, 526,006 came for registration.

“The number shows that we went beyond our expectations...this is a good indicator which shows that the exercise is going well,” said the acting election director of NEC.

Dr Kariah assured the public that the registration will be completed in all regions sometime in July as scheduled.

He said on June 16 they will move to Tanga and Morogoro and for Dar es Salaam and Coast regions, registration will start on July 2.
He said NEC has identified about 152 people who registered twice and they will be taken to court.

“Our automatic finger printing system allowed us to know those people who have double registrations,” he said and warned the public that the act is against the law.

In Arusha, The Guardian’s Lusekelo Philemon reports that NEC suspended the Biometric voters Registration (BVR) yesterday to June 15 citing regions to be affected to include Arusha and Manyara.
Addressing a press conference here, BVR coordinator in Arusha, Richard Kwikega, said the suspension was caused by lack of working facilities including ink and papers.


“We are waiting for those facilities which are yet to arrive here...it wouldn’t be wise to start the exercise on June 9 as planned when we don’t have enough facilities,” the official said.

Responding, Arusha Urban MP, Godbless Lema (Chadema), heaped his blame on NEC chairman, retired Justice Damian Lubuva, for his failure to fulfill his promises.

“As Chadema we are wondering why NEC is trying to play with democracy and what I am seeing is sabotage to opposition parties,” the MP said.

“We won’t accept this to continue...I urge NEC chairman to be careful with this important exercise,” the outspoken MP said.


“The information which I have is that the suspension of the exercise was caused by an increase of six new more wards of Moshono, Olasiti, Terrat, Sombetini and Elerai,” he said.

In contrast, on Monday, Arusha City Council Director, Juma Idd confirmed that everything was ready for the BVR to kick-start as well as ensuring that all facilities arrived in Arusha.

Meanwhile Correspondent Crispin Gerald reports that, the European Union has called upon the National Electoral Commission to ensure transparency in the ongoing registration of voters through Biometric Voter Registration.

The EU said transparency is vital to clear doubts which have emerged over the process and reminded NEC to observe the recommendations given by election observers in the 2010 general election.

Briefing journalists yesterday in Dar es Salaam of the European Year for Development 2015 scheduled for June 14th this year, the EU Ambassador to Tanzania and EAC Filiberto Sebregondi said that the registration through BVR is very crucial and it will help the Commission to keep voters records in electronic systems.

“Lack of transparency in the registration process will cause complaints by people who will not be registered and thus be denied their right to vote,” Sebregondi said.

He said civic education is crucial as the country heads towards the general election citing that disbursing of civic education is necessary for any country which observes the principles of good governance to make citizens aware of what is going on in the country.

“The government of Tanzania is supposed to create conducive environment for the media to allow it to provide more education to citizenry on the BVR,” he added.
“Through the media, the citizenry will be able to identify the most qualified candidate for the presidential post and thus allow them to make an informed decision,” he said.

According to the ambassador, the EU election observers who monitored the 2010 general election recommended the formation of an independent electoral commission.

“Despite the fact that both recommendations by observers reflect the same demands of majority Tanzanians nothing has been done to improve the situation,” the ambassador said.

He called upon Tanzanians to safeguard the prevailing peace and avoid acts which may result into breach of peace.

He cited Tanzania’s longstanding partnership with the EU and it is recognition for its well functioning democracy.

CC: Tized, Mr Rocky, Fixed Point, lyinga, NATA, Chakaza, Elly B, Ablessed, Michelle, everlenk, KikulachoChako, Emma, EMT, Daudi Mchambuzi, Arushaone, MziziMkavu, Ablessed, afrodenzi, Heaven on Earth, Power to the People, Jasusi, Eiyer, idawa, nguruvi, Mentor, Sikonge, Dingswayo, MANI, tpaul, Bramo, Bulesi Bulldog, Sangarara, MTAZAMO, Erythrocyte, Mag3, Mimibaba, zumbemkuu, Crashwise, amkawewe, Idimi, Ogah, Chakaza, mshana jr, JokaKuu, MWALLA, genekai, PRINCE CROWN, Tuko, Shark, lynxeffect22, samaki2011, MoudyBoka, adolay, Elli, nyabhingi, Janjaweed, S.N.Jilala, MEANDU, Tabby, Candid Scope, Honolulu, August, dyuteromaikota, BONGOLALA, Gefu, Bigirita, Kozo Okamoto, Shark, mirisho pm, Camp 05, Ngoami, Kamakabuzi, jerrytz

 
Wana Jf, nimepokea simu kwa kiongozi wa kitongoji changu kwamba Mkurugenzi amewaambia zoezi la kuandikisha wapiga kura Arusha limeahirishwa na vifaa vimechukuliwa hadi itakapo tangazwa twna. Kama ni kqwli hii ni dharau kwa Wana wa Arusha, kuna tukio kuwa safari na baada ya kuona tangazo la Tume kwenye vyombo vya habari tukarudi Arusha kujiandikisha. Naomba mqenye taarifa sahihi aziweke hapa.


....aiseeh magamba yamekamatwa mwaka huu Mara, Kilimanjaro, Manyara na Arusha ....cho!!!!
 
Back
Top Bottom