Tume yaahirisha uandikishaji Arusha

Tume yaahirisha uandikishaji Arusha

Wametangaza kesho Arusha,Kilimanjaro,Mwanza,Simiyu...tafadhalini watu waarusha msicheze mbali ugali robo huo...

Tetty wamaahirisha jioni hii nilipo weka bango hapa. Na mashine wamebeba till further notice kama ni Arusha wameenda vijijini. Ila watabana lakini wataachia
 
Hata Kilimanjaro wilaya ya rombo wameahirisha
 
Tetty wamaahirisha jioni hii nilipo weka bango hapa. Na mashine wamebeba till further notice kama ni Arusha wameenda vijijini. Ila watabana lakini wataachia

Hawa inabidi kuwafuatilia huko huko walikoenda.Wekeni mitego kila eneo.Maana wanachofanya ni kutangaza kwa siri..Hii kitu ilitakiwa isemwe Bungeni...
 
Unapata faida gani kuandika jokes kama hizi na hali leo sio April 1?
 
Unastahili kupigwa ban ya mwaka kwa uongo huu. Kwani unadhani bado tupo kwenye enzi za ribbon na wino? Sasa hivi ni BVR. Kama hujui kitu kaa kimya
 
Taarifa zinasema uandikishwaji wapi gakura umesitishwa Tanzania nzima kuanzia kesho.

Taarifa hizo zimedika jioni hii hapa arusha,na sababu zilizotolewa ni kuwa.

WINO
CARD
RIBON

VIMESAHAULIKA CHINA.

Hwajasema zoezi hilo litaanza lini tena.

Maana yake nn?
 
Hii nchi bila kuingia barabarani hakika hawa watu watatuchezea kama misukule yao pale Lumumba huu ni ujinga mkubwa sana..!!

Madai ya Upinzani kwamba kuna mbinu zinapangwa ili kumuongezea muda Mnikulu zinazidi kupata mashiko. Maana baada ya kuona zoezi la kuandikisha watu linakwenda kwa kasi nzuri na kuonysha mpaka kufikia mwezi wa nane nchi nzima tungekuwa rumeandikishwa wote,Wameona waje na mbinu hii uchwara..!!

Hakika machafuko yananukia nchi hii.!.

BACK TANGANYIKA
 
Hii ndio Tanzania bwana,nchi ya mazumbukoko.
Taarifa zinasema uandikishwaji wapi gakura umesitishwa Tanzania nzima kuanzia kesho.

Taarifa hizo zimedika jioni hii hapa arusha,na sababu zilizotolewa ni kuwa.

WINO
CARD
RIBON

VIMESAHAULIKA CHINA.

Hwajasema zoezi hilo litaanza lini tena.
 
11147155_700164650089263_1101387019820668127_n.jpg
 
ukweli ni kwamba BVR zimegoma kuingiza chaji ikumbukwe hivi nizile zilioletwa mpya...
 
Siyo kweli stationeries ndo hazipo.. zinasubiriwa kutoka Dar zikifika zoezi litaanza mara moja..

Kuna tetesi stationary zimesahaulika China siyo Dar. Maana ingekuwa Dar si kuna chopa na uaafiri mwingine?! Kazi sensitive kuqapa wastaafu ni janga.
 
Taarifa zinasema uandikishwaji wapi gakura umesitishwa Tanzania nzima kuanzia kesho.

Taarifa hizo zimedika jioni hii hapa arusha,na sababu zilizotolewa ni kuwa.

WINO
CARD
RIBON

VIMESAHAULIKA CHINA.

Hwajasema zoezi hilo litaanza lini tena.
Acha uongo wewe mchumia tumbo! Wewe ulikuwepo au wewe ndo msemaji wa NEC? Wao wana msemaji wao na sio wewe, acha kupotosha umma
 
Hii nchi bila kuingia barabarani hakika hawa watu watatuchezea kama misukule yao pale Lumumba huu ni ujinga mkubwa sana..!!

Madai ya Upinzani kwamba kuna mbinu zinapangwa ili kumuongezea muda Mnikulu zinazidi kupata mashiko. Maana baada ya kuona zoezi la kuandikisha watu linakwenda kwa kasi nzuri na kuonysha mpaka kufikia mwezi wa nane nchi nzima tungekuwa rumeandikishwa wote,Wameona waje na mbinu hii uchwara..!!

Hakika machafuko yananukia nchi hii.!.

BACK TANGANYIKA
Epuka kushabikia watu wanaopotosha ukaamini kuwa yasemwayo ni kweli, La hasha huyo mtoa taarifa muongo, zoezi haliwezi kusitishwa kirahisi hvyo!
 
Back
Top Bottom