MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 9,662
- 13,858
Hawa ndio tunawataka kwenye sheria yetu ileee
Unapata faida gani kuandika jokes kama hizi na hali leo sio April 1?
BAVICHWA mmekosa cha kuandika humu JF sasa mnakunywa viroba halafu unaandika ili mradi mfalme wenu aone post yako ukunje kahela ka kula! Hovyooo!
Huyu Nayee......Taarifa zinasema uandikishwaji wapi gakura umesitishwa Tanzania nzima kuanzia kesho.Taarifa hizo zimedika jioni hii hapa arusha,na sababu zilizotolewa ni kuwa.WINOCARDRIBONVIMESAHAULIKA CHINA.Hwajasema zoezi hilo litaanza lini tena.
Uandikishaji Arusha kesho hatokuwepo.?ukweli ni kwamba BVR zimegoma kuingiza chaji ikumbukwe hivi nizile zilioletwa mpya...
Huyo mtoa taarifa akili zake zimepungua, taarifa yake ni ya uongo na yeye sio msemaji wa NEc, wewe nenda utahudumiwa na kama kuna tataizo wao nec watatoa taarifa na sio mijitu ilotumwa kuja kudanganya watu, na wewe Emma kwenu sio Arusha sasa iweje udanganye watu humu ndani kuwa wewe umejiandaa kwenda kutimiza wajibu wako au ndo wale wale wachumia matumbo mnaoganga njaa kwa vijicent vya Ukawa?! Hahahaha utatumika sana mwaka huu kama mfagio wa chooniMimi nimeshajiandaa kesho lazima nkajiandike kutimiza wajibu wangu.
Acha kuskiza maneno ya watu wewe, taarifa hiyo sio ya kweli, imepikwa hiyo stationery haziwezi kuachwa china, huo ni uzushiKuna tetesi stationary zimesahaulika China siyo Dar. Maana ingekuwa Dar si kuna chopa na uaafiri mwingine?! Kazi sensitive kuqapa wastaafu ni janga.
Unastahili kupigwa ban ya mwaka kwa uongo huu. Kwani unadhani bado tupo kwenye enzi za ribbon na wino? Sasa hivi ni BVR. Kama hujui kitu kaa kimya
Is this serious?
Huo uandikishwaji wa BVR imeonekana kuwa feki.Taarifa zinasema uandikishwaji wapi gakura umesitishwa Tanzania nzima kuanzia kesho.
Taarifa hizo zimedika jioni hii hapa arusha,na sababu zilizotolewa ni kuwa.
WINO
CARD
RIBON
VIMESAHAULIKA CHINA.
Hwajasema zoezi hilo litaanza lini tena.
Mkuu Tiba uko sahihi. Kwanza wangeifuta kama ni ya uongo na pili mleta mada apigwe ban hadi uchaguzi uishe.Hivi JF kuna moderators siku hizi? Huyu mamsubirisha nini kumpiga ban ya mwaka mzima? Hawa ndio wanashusha hadhi ya JF.
Tiba
ficha ujinga wako kwa hiyo wewe ni mke wangu ambaye unajua mimi sipo arusha .mimi naishi arusha nafanya kazi arusha nimejiari mahousigirl watatu kama wewe usimdharau mtu usiyemjua .taarifa za kuarishwa kwa zoezi la uandikishaji limelipata diwani nanyaro sababu ni wino umeisha kwenye computer hii aibu kwa tume ya uchaguzi wa ccm .hata wakija usiku tutajiandikisha kwa wingi sanaHuyo mtoa taarifa akili zake zimepungua, taarifa yake ni ya uongo na yeye sio msemaji wa NEc, wewe nenda utahudumiwa na kama kuna tataizo wao nec watatoa taarifa na sio mijitu ilotumwa kuja kudanganya watu, na wewe Emma kwenu sio Arusha sasa iweje udanganye watu humu ndani kuwa wewe umejiandaa kwenda kutimiza wajibu wako au ndo wale wale wachumia matumbo mnaoganga njaa kwa vijicent vya Ukawa?! Hahahaha utatumika sana mwaka huu kama mfagio wa chooni