Tume yaahirisha uandikishaji Arusha

NI KWELI ZOEZI LIMESIMAMISHWA ILA aya nyie mnaojua zaidi tuambieni tatizo la kusimamisha uandikishwaji ni ninI??? MNAONEKANA KUJUA ZAIDI


Ana rambo huyo mkuu. Litakupwerepweta bure! Achana naye kabisa

quote_icon.png
By Kitumbo

Unapata faida gani kuandika jokes kama hizi na hali leo sio April 1?



 
Taarifa zinasema uandikishwaji wapi gakura umesitishwa Tanzania nzima kuanzia kesho.

Taarifa hizo zimedika jioni hii hapa arusha,na sababu zilizotolewa ni kuwa.

WINO
CARD
RIBON

VIMESAHAULIKA CHINA.

Hwajasema zoezi hilo litaanza lini tena.


NENDENI KWENYE VITUO VYENU MKAJIANDIKISHE IZO NI DANGANYA TOTO WANAARUSHA ZOEZI LIKO PALE PALE. Msidanganywe na wahuni wachache wa CCM
 
BVR inatumia vitu hivyo, na pia mkoani mara ilikua waanze kesho ila mpaka jion hii baadhi ya vifaa vilikua havijafika kwa baadhi ya maeneo,japo na semina wameishapewa,hii imepelekea waandikishaji kuahirisha kwenda huku vituoni kwa siku ya leo hadi kesho.
Source:Mwananchi aliyeko huko.
Japo sijasikia hilo tangazo la usitishwaji nchi nzima.
 
Arusha hata kama ni usiku tutajiandikisha kwa hasira huo wino wamesahau waende kuchukua na chopa
 
Weka ukweli wako wewe maana hata mimi nimesikia matangazo no research no right to speak chunguzeni ndio mpinge kwa ushahidi

mleta hoja ana hoja ya msingi naniya ukweli mtupu

wewe itakuwa njaa inakusumbua ndo mana hao ukawa wamekutuma uweke huo uongo wako kwa lengo la kuchafua hali ya hewa, ushindwe na ulegee mwehu wewe!
 
haya mambo ya kuigaiga bila kutafakari ni hatari sana , kwa mfano ikithibitika kwamba jambo hili ni kweli , kwanini wote mliompinga na kumtukana mleta uzi msile ban ya miezi mitatu ?
 
Mara, arusha, moshi etc si ndio tanzania nzima subiria taarifa kutoka mikoa mingine



bvr inatumia vitu hivyo, na pia mkoani mara ilikua waanze kesho ila mpaka jion hii baadhi ya vifaa vilikua havijafika kwa baadhi ya maeneo,japo na semina wameishapewa,hii imepelekea waandikishaji kuahirisha kwenda huku vituoni kwa siku ya leo hadi kesho.
Source:mwananchi aliyeko huko.
Japo sijasikia hilo tangazo la usitishwaji nchi nzima.
 
Tunataka kauli ya UKAWA juu ya mwenendo wa BVR. Wananchi wanatakiwa waandikishwe kwa udi na uvumba.
 
Yaani hapa nahis nina vibration mwilini mwangu kama itakuwa ukweli kwa maana hapa nina upako ujuwe wa kupiga kuraa!!.
 
Wote mnaobisha nbabisha kise.nge sen.ge tu,leteni mnachokijua nyie sio mnaropokwa tu..kwani aiwezekani,hvi nchi hii kuna kitu hakiwezekani.?watu wanaiba billion 260 na hakuna anaeuliza itakuwa kusahau ribbon china.!
 
Mkuu hapa niko moshi gari linatangaza, arusha linatangaza, mara linatangaza ngoja taarifa za mikoa mingine watameza matapishi yao mleta hoja yuko sawa kabisa i wish ninge reccord niweke clips



haya mambo ya kuigaiga bila kutafakari ni hatari sana , kwa mfano ikithibitika kwamba jambo hili ni kweli , kwanini wote mliompinga na kumtukana mleta uzi msile ban ya miezi mitatu ?
 
Mara, arusha, moshi etc si ndio tanzania nzima subiria taarifa kutoka mikoa mingine

Kweli japokua ingekua vema kama pia wengi wetu tungesikia ama kuona taarifa toka kwa kiongozi mmojawapo anaehusika na zoez zima....kama Mh.Jaji Lubuva.
 
Wakurugenzi ambao ndio watendaji wakuu wa manispaa ndio wanatangaza na pia wana mamlaka hiyo binafsi nawaamini


kweli japokua ingekua vema kama pia wengi wetu tungesikia ama kuona taarifa toka kwa kiongozi mmojawapo anaehusika na zoez zima....kama mh.jaji lubuva.
 
Ni kweli kuwa uandikishaji ktk mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Mara na Manyara umeahirishwa hadi tar. 15/6/2015. Source hotmix ya EATV. Mara waandikishaji wametangulia vituoni na taarifa ya kuahirishwa ikafuatia. Nadhani kesho watarudi makwao kwani usambazaji wa vifaa umesitishwa saa nne usiku huu! Operators na maafisa waandikishaji wamemaliza semina leo jioni na kukabidhiwa baadhi ya vitendea kazi. Sababu kubwa inatajwa kuwa ni kutokufika kwa baadhi ya vifaa kama kadi origional za kutengeneza vitambulisho.
 
Back
Top Bottom