Tume ya Utumishi wa Umma huwa inafanya uangalizi (auditing) ya public service kila baada ya kida gani? Je kelele katika jamii zinawaita?

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
12,003
20,662
Tanzania tuna Tume ya Utumishi wa Umma. Wakati wa Mzee Ben, Tume hii ilikithiri kwa umahiri.

Nadhani Tume hii pia ifufuliwe ili ijibu hoja za uwajibikaji, badala ya kujificha maofisini. Mi mara ngapi wanafanya audit ya public service kila idara? Pengine makelele haya yanayotokea katika utumishi wa umma, hawa ndio wangempa taarifa Rais na Jamii kwa ujumla

Tuwe kama Mkapa, tujenge taasisi, majitu ya hovyo yakiona taasisi mbovu, yanapitia humohumo ili yaonekane ni ya maana
 
Kwa mujibu wa standing order ni baada ya miaka saba. Hata hivyo kile ni kichaka cha kufichia maovu ya ccm.
Magufuli ndo alikuja kuharibu kabisa mana aliwaokota vijana makada wa chama.chake kutoka lumumba na kuwajaza kwenye utumishi wa umma
Kubwa zaidi ya yote kwenye utumishi wa umma hakuna objectives wala indicators. Na pia hakuna reports
Nunategemea nn hapo
 
Back
Top Bottom