Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,079
- 3,610
Ngapi huko wakuu?
Acha upumbavu.Kwani lazima umtukane katoa hoja ungemjibu kwa hoja tu ustaarabu hauuzwi
Hawa hapa wameshaanza kutoa ripoti zenye kutofautiana.Yaani wewe msukule wa ccm una akili kuliko time ya Uchaguzi wa Kenya. Hivi kwenye Uchaguzi kunahitajika usiri ili watu waibe kura. Kwa wenzetu wametuvua nguo kuona walikofika katika kiwango Cha democracy. Katika Uchaguzi huu.
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Eti natamani. Xenge kweliNatamani siku yatufike hapa kinuke tuyachinje kwa mafungu, nayachukia mamboga mboga kuliko hata shetani. Siku kikinuka I swear nitatoa nyogo yangu
Umeleta mada ya kipuuzi kweli kweli, unataka wawe mazuzu kama matanzania, bure kabisa!!
Mama ako ananisumbuambona una hasira sana!!!
shida ni chakula ama kazi??
Mama ako ananisumbua
Labda huko twitter umekopiwa kutoka kwanguKwanza umecopy hii habari twitter,pili kwa akili yako ilivyo ndogo bila kuichambua ukaileta huku uchukue point lakini umeandika utumbo.
Kenya ni mfano wa kuigwa katika hili hata kama kuna dosari ndogo ndogo zitatokea.