Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,862
Katuletee tahmin zaid tujue wakatoliki wangapi?,waanglikana wangapi?,Ansaar wangapi na Bakwata wangapi ili tuchambue zaidi maana naona huna muda wa kujadili elimu ya wajumbe,uzalendo wao,uzoefu wao ukimaliza pitia kujua wachaga,wahaya,wahehe,waha wapo? Ukimaliza ulizia chadema,CUF na CCM wapo? Sie tutaendelea kujadili hadidu za rejea,integrity yao,sifa zao n.k!
Sengoro mbona unamjibu VIBAYA MUASISI wetu? hayo ni maoni yake jamani na tunashukuru ametoa kilicho moyoni mwake.