Kule kwenye thread ya Mzee nimejibu na hapa najibu tena!
Kazi ya tume ni kukusanya maoni, hoja ya msingi sio dini za wajumbe wa hiyo tume bali competences zao!. Upatikanaji wa katiba nzuri, utategemea maoni tunayoyatoa na uwezo wa mkusanyaji kuya compile na sio dini yake!.
Natishwa na "the motive behind" wa hii karata ya udini kwenye tume ya katiba na sasa kuinganisha na suala la IOC na Mahakama ya Kadhi!. Mimi ni Mkisto tena Mkatoliki die hard!, kwenye suala la matumizi ya "protection", nimetofautiana na msimamo wa kanisa langu, vivyo hivyo sina tatizo na Tanzania kujiunga OIC au kuwepo kwa Mahakama ya Kadhi, kwani mahakama hiyo ilikuwepo enzi za mkoloni, mahakama hiyo ipo Zanzibar, Kenya na Uganda!.
Hivyo kitakachoingizwa kwenye katiba mpya hakitokani na wajumbe wengi ni wa imani gani, bali Watanzania waliowengi wanataka nini. Hata kama wajumbe wote 28 wa tume hiyo wangekuwa Wakristu, halamu maoni ya asilimia 30% ya Watanzania wakaitaka mahakama ya kadhi, mahakama hiyo itakuwepo!. Sambamba na suala la uwepo wa muungano, hata kama Wanzanzibari asilimia 99% hawaitaki na asilimia 0.1% tuu ndio wanautaka, muungano utaendelea!.
Kinachohitajika sasa more than anything else ni elimu kwa umma kuhusu zoezi hili!.
Please stop this "udini" nonsense!
Pasco
Hoja yasngu hapa siyo kuongelea ubaguzi wa kidini wala nini ila ni kutazama malengo ya kiudini yaliyojificha humu ndani.nafikirei hapa mahakama ya kadhi nchini tanzania inanukia.
tazama team hii hapa chini
angalizo-mimi nimetazama majina yao kuwapanga kidini.
Hata mtei kaandika hivi "Mfano wa pili ni kwamba, licha ya kwamba Tanzania siyo nchi inayozingatia dini katika maamuzi yake ya kisiasa, ni lazima tukubali kuwa madhehebu ya dini yana influence katika mchakato na hatimaye maamuzi. Nikihesabu Waislamu katika hii Tume kwa kuzingatia majina naona zaidi ya theluthi mbili ni Wao. Wengine ni Wakristo au watu wasiokuwa na dini yoyote."
wakiristo wapo 11
Waislam wapo 23
WALIOTEUA
1.Rais Kikwete -Mwislam
2.Rais Shein---Mwislam
1. Mhe. Jaji Joseph Sinde WARIOBA - Mwenyekiti-Mkiristo
2. Mhe. Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino RAMADHANI - Makamu Mwenyekiti -Mwislam
WAJUMBE KUTOKA TANZANIA - BARA
1. Prof. Mwesiga L. BAREGU--Mkiristo
2. Nd. Riziki Shahari MNGWALI--Mwislam
3. Dr. Edmund Adrian Sengodo MVUNGI--Mkiristo
4. Nd. Richard Shadrack LYIMO--Mkiristo
5. Nd. John J. NKOLO--Mkiristo
6. Alhaj Said EL- MAAMRY--Mwislam
7. Nd. Jesca Sydney MKUCHU--Mkiristo
8. Prof. Palamagamba J. KABUDI--Mkiristo
9. Nd. Humphrey POLEPOLE--Mkiristo
10. Nd. Yahya MSULWA--Mwislam
11. Nd. Esther P. MKWIZU--Mkiristo
12. Nd. Maria Malingumu KASHONDA--Mkiristo
13. Mhe. Al-Shaymaa J. KWEGYIR (Mb)--Mwislam
14. Nd. Mwantumu Jasmine MALALE--Mwislam
15. Nd. Joseph BUTIKU-Mkiristo
WAJUMBE KUTOKA TANZANIA - ZANZIBAR
1. Dkt. Salim Ahmed SALIM--Mwislam
2. Nd. Fatma Said ALI=-Mwislam
3. Nd. Omar Sheha MUSSA--Mwislam
4. Mhe. Raya Suleiman HAMAD--Mwislam
5. Nd. Awadh Ali SAID--Mwislam
6. Nd. Ussi Khamis HAJI--Mwislam
7. Nd. Salma MAOULIDI--Mwislam
8. Nd. Nassor Khamis MOHAMMED--Mwislam
9. Nd. Simai Mohamed SAID--Mwislam
10. Nd. Muhammed Yussuf MSHAMBA--Mwislam
11. Nd. Kibibi Mwinyi HASSAN--Mwislam
12. Nd. Suleiman Omar ALI--Mwislam
13. Nd. Salama Kombo AHMED--Mwislam
14. Nd. Abubakar Mohammed ALI--Mwislam
15. Nd. Ally Abdullah Ally SALEH--Mwislam
UONGOZI WA SEKRETARIETI
1. Nd. Assaa Ahmad RASHID - Katibu --Mwislam
2. Nd. Casmir Sumba KYUKI - Naibu Katibu --Mwislam
Hivi hii tume imeteuliwa kutengeneza kitabu cha dini au katiba? Waacheni wafanye kazi tuliyowatuma msiwatishie nyau!!
anasali wapi?
Hivi kumbe kigezo cha kujua mtu ni Muislamu au Mkristo ni jina?
Jaji augustino ramadhani ni mkristo pure kama ulikuwa hujui!
kwa hiyo inshort mwenyekiti na msaidizi wake ni wagala hatari sana kwa taifa!
Umendika mengi lakini mie takujibu yale ya muhimu..
Vyovyote utakavyosema lakini Zanzibar itabaki ni nchi huru, umetoa mifano dhaifu ya asilimia ili kujengo hoja yako lakini hamna kitu.
Udogo wa Zanzibar haifanyi kutokuwa nchi, Vatican City ina wakazi 800 na ina ukubwa wa eneo acres 110 ni nchi sembuse Zanzibar.
tena tunasali naye pale Anglicana St. Albano (posta).
hakika jaji Ramadhan ni Mkristo kweli.
Licha ya kwamba J.K. kajitahidi kuwa na vigogo kweli kweli, na Katiba ya sasa imezingatiwa ktk kuandaa m'badala wake, muundo wa hii Tume umedhihirisha kwamba demokrasia ya kweli ni ndoto kwa Watanzania wa leo. Kama tunanuia kwa dhati kuwa na Demokrasis ya kweli, itabidi Watanzania wanaoamini kwamba hilo ni muhimu, waendelee na juhudi za kuandaa hata Mabadiliko kwa Katiba Mpya ijayo.
Kwa mfano ni jambo la kichekesho kwamba Tanzania Bara ambayo ina Watu takriban 42 milioni iwakilishe na wajumbe sawa na Tanzania Zanzibar ambayo ina watu wasiozidi 1.5 milioni. Mfano wa pili ni kwamba, licha ya kwamba Tanzania siyo nchi inayozingatia dini katika maamuzi yake ya kisiasa, ni lazima tukubali kuwa madhehebu ya dini yana influence katika mchakato na hatimaye maamuzi. Nikihesabu Waislamu katika hii Tume kwa kuzingatia majina naona zaidi ya theluthi mbili ni Wao. Wengine ni Wakristo au watu wasiokuwa na dini yoyote.
Hata kama ni lazima tujali Muungano wa Jamhuri yetu, hatuwezi kupuuza ukweli kuwa sasa kuna matatizo ya umilikaji wa raslimali maliasili (e.g. gas), na kuna wananchi wamediriki hata kwenda Umoja wa Mataifa kudai Zanzibar ijiondoe.
Haya ni mambo mazito na nimeona ni vema niyataje sasa, siyo tu yajadiliwe na Tume, bali ikiwa ni lazima, basi mjadala uendelee hata baada ya Tume kutoa taarifa na Bunge Maalum kupitisha Katiba Mpya.
Sasa wewe ulitaka nani afanye uteuzi?Hoja yasngu hapa siyo kuongelea ubaguzi wa kidini wala nini ila ni kutazama malengo ya kiudini yaliyojificha humu ndani.nafikirei hapa mahakama ya kadhi nchini tanzania inanukia.
tazama team hii hapa chini
angalizo-mimi nimetazama majina yao kuwapanga kidini.
Hata mtei kaandika hivi "Mfano wa pili ni kwamba, licha ya kwamba Tanzania siyo nchi inayozingatia dini katika maamuzi yake ya kisiasa, ni lazima tukubali kuwa madhehebu ya dini yana influence katika mchakato na hatimaye maamuzi. Nikihesabu Waislamu katika hii Tume kwa kuzingatia majina naona zaidi ya theluthi mbili ni Wao. Wengine ni Wakristo au watu wasiokuwa na dini yoyote."
wakiristo wapo 11
Waislam wapo 23
WALIOTEUA
1.Rais Kikwete -Mwislam
2.Rais Shein---Mwislam
1. Mhe. Jaji Joseph Sinde WARIOBA - Mwenyekiti-Mkiristo
2. Mhe. Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino RAMADHANI - Makamu Mwenyekiti -Mwislam
WAJUMBE KUTOKA TANZANIA - BARA
1. Prof. Mwesiga L. BAREGU--Mkiristo
2. Nd. Riziki Shahari MNGWALI--Mwislam
3. Dr. Edmund Adrian Sengodo MVUNGI--Mkiristo
4. Nd. Richard Shadrack LYIMO--Mkiristo
5. Nd. John J. NKOLO--Mkiristo
6. Alhaj Said EL- MAAMRY--Mwislam
7. Nd. Jesca Sydney MKUCHU--Mkiristo
8. Prof. Palamagamba J. KABUDI--Mkiristo
9. Nd. Humphrey POLEPOLE--Mkiristo
10. Nd. Yahya MSULWA--Mwislam
11. Nd. Esther P. MKWIZU--Mkiristo
12. Nd. Maria Malingumu KASHONDA--Mkiristo
13. Mhe. Al-Shaymaa J. KWEGYIR (Mb)--Mwislam
14. Nd. Mwantumu Jasmine MALALE--Mwislam
15. Nd. Joseph BUTIKU-Mkiristo
WAJUMBE KUTOKA TANZANIA - ZANZIBAR
1. Dkt. Salim Ahmed SALIM--Mwislam
2. Nd. Fatma Said ALI=-Mwislam
3. Nd. Omar Sheha MUSSA--Mwislam
4. Mhe. Raya Suleiman HAMAD--Mwislam
5. Nd. Awadh Ali SAID--Mwislam
6. Nd. Ussi Khamis HAJI--Mwislam
7. Nd. Salma MAOULIDI--Mwislam
8. Nd. Nassor Khamis MOHAMMED--Mwislam
9. Nd. Simai Mohamed SAID--Mwislam
10. Nd. Muhammed Yussuf MSHAMBA--Mwislam
11. Nd. Kibibi Mwinyi HASSAN--Mwislam
12. Nd. Suleiman Omar ALI--Mwislam
13. Nd. Salama Kombo AHMED--Mwislam
14. Nd. Abubakar Mohammed ALI--Mwislam
15. Nd. Ally Abdullah Ally SALEH--Mwislam
UONGOZI WA SEKRETARIETI
1. Nd. Assaa Ahmad RASHID - Katibu --Mwislam
2. Nd. Casmir Sumba KYUKI - Naibu Katibu --Mwislam
Mimi ni Muislam lakini sijaridhika na hii tume kwani etatuletea chukidhidi ya ndugu zetu wa kristu kwani waislam tumependelewa sana kuhusu mahaka ya kadhi nivyema tungeachiwa waislamu wenyewe bila kuihusisha serikali isiyofungamana na dini yoyote ile
udini ni dhambi mbaya sana ...
Mbona tz kuna watu wengi tu ambao hawafungamani na dini yoyote na wapo kimya tu,mimi ni mmoja wapo siamini mafundisho ya kibaguzi yanayotolewa na dini zote ukristo /uislamu.