Tulipoambiwa watumishi hewa...

Tulipoambiwa watumishi hewa...

Magari ya siku hizi ni computer controlled, inatakiwa awe na uelewa wa kusomea na kuelewa maelekezo kwenye dashboard. Sasa darasa la saba la miaka hii si anafanya miujiza?

Hata jikoni siku hizi kama haujuwi kusoma na kuelewa Kingereza ni kasheshe.

Nawashauri walioishia darasa la saba wote wakipata fursa waende hata shule za watu wazima wakajiendeleze na masomo.
We, Mungu anakuona. Ujue waliajiriwa kwa sifa ya darasa la saba Na ndo kilikuwa kigezo, iwaje Leo umtimue kama mbwa? Aibu saana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magari ya siku hizi ni computer controlled, inatakiwa awe na uelewa wa kusomea na kuelewa maelekezo kwenye dashboard. Sasa darasa la saba la miaka hii si anafanya miujiza?

Hata jikoni siku hizi kama haujuwi kusoma na kuelewa Kingereza ni kasheshe.

Nawashauri walioishia darasa la saba wote wakipata fursa waende hata shule za watu wazima wakajiendeleze na masomo.
M.pumbavu sana wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ngoja ngoja utakuta mwana si wako!! WALIPEWA FURSA YA KUJIENDELEZA WAKAIDHARAU ACHENI TU WAPUMZIKE ILA WAPEWE CHAO
 
View attachment 557322 Hii nitafsirieni wa darasa la saba, or in this matter hata wa form IV za karibuni:
Hawaitaji hata kusoma hiyo ili kuendesha hayo magari. Tafuta madereva malori uone wanavyopiga hizo HIGH na LOW kisha waulize wamesoma hicho kibao? Elimu yao je? Au nenda pale AZAM buguruni, utaelewa ninachozungumza na ndio hao hao wanaoenda na vyombo hivyo nje ya mipaka ya hii ardhi na kurudi salama salimini.
 
Sio siri anajichumia DHAMBI KUBWA kwa Mwenyezi Mungu.

Nilienda wilaya moja majuzi na kumkuta Mzee aliyekuwa dereva wa Halmashauri amefukuzwa kazi na binti yake aliyekuwa masjala naye pia akatumbuliwa wakati kazi yake ilikuwa ni kuwajuza tu watumishi yalipo mafail yao na kuwaletea baas.

Yule mzee alikaribia kulia mbele yangu.
Hii dhambi atakutana nayo kwenye uchaguzi 2020

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kufanya maamuzi yahusuyo mamia ya familia kwenye MKOA inahitaji kusoma na kuandika tu??? Ndicho unachojaribu kutueleza???

Kwamba kusugua choo na floor, kuendesha gari hizo unazosema COMPUTER CONTROLLED kuna hitaji elimu ya watu wazima?

Tatizo la elimu ndogo ni kujifanyisha mambo kinyume na kusudio. Mfano mzuri ni hizo alama za kuuliza tatu tatu, zina maana gani hizo? Ni shule uliyosomea ilikufundisha hivyo?

Ndiyo maana vyoo havitakati, utakuta ceramic imechubuka ukiuliza imefanyika nini hii, anakwambia nilikuwa naisugua itakate na steel wire! Tatizo ameshindwa kusoma simple instructions za dawa za kusafishia vyoo.
 
Hawaitaji hata kusoma hiyo ili kuendesha hayo magari. Tafuta madereva malori uone wanavyopiga hizo HIGH na LOW kisha waulize wamesoma hicho kibao? Elimu yao je? Au nenda pale AZAM buguruni, utaelewa ninachozungumza na ndio hao hao wanaoenda na vyombo hivyo nje ya mipaka ya hii ardhi na kurudi salama salimini.


Hapo ndipo nnaelewa kwanini Watanzania hatuendelei. Jitu zima linahaha kujisifia kutokusoma.
 
Ndiyo maana vyoo havitakati, utakuta ceramic imechubuka ukiuliza imefanyika nini hii, anakwambia nilikuwa naisugua itakate na steel wire! Tatizo ameshindwa kusoma simple instructions za dawa za kusafishia vyoo.

Tuko wengi
 
Nenda kaajiriwe na wahindi kama hujasoma. Serikalini NO.

Tunataka serikali ya wasomi.
Mama najua unakula kwa mgongo wa ccm lkn kwa hili umechemka.
Mbona kuna watu wana masters lkn hawajui kutumia computer wala hawajui kuendesha gari?
Kuna watu hawajafika hata darasa la 7 lkn wanatumia smartphone vizuri kuliko hata aliyemaliza chuo.
"wanasiasa kigezo chao ni kujua kusoma na kuandika tu'' ndivyo mnavyowadanganya watanzania.
Siku zote huwa nawaambia ccm. Hiki ni kizazi kingine na siyo cha mwaka 1947 ambacho unaweza kukidandanya.
PAMOJA NA KUJUA KIINGEREZA UNAJUA KUPIKA BURGER?
Hapo ulipo kwenye computer unajua ms word, na kuingia net tu.
Kuinstall window, na mambo mengine ya ufundi hujui.
KUJUA KIINGEREZA HAIMANIISHI UTAWEZA KUFANYA KILA KITU
 
Kuna ndugu yangu umri umesogea,alibakiza miaka 2 astaafu.alikuwa dereva wa shirika kubwa la uma,ametumbuliwa cheti feki cha form 4.anaishi kimara nyumba yake imepigwa X ikiambatana na neno "bomoa"yaani hata kwenda kumsalimia ili kumpa pole naogopa.yaani hali sio hali.
 
Umenena ndugu hakika inauma yani dereva wa mkuu wa mkoa awe na cheti cha form four alafu bosi wake ambae ni mkuu wa mkoa au wa wilaya ajue kusoma na kuandika tu duuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Inasikitisha.
Kwanini?
Kwasababu waliambiwa wale wote walioajiriwa kuanzia 2004 kwenda mbele wakiwa na elimu ya darasa la saba, wahakikishe wanajiendeleza angalau wafike form four.
Wapo waliojiendeleza-hawa wanaendelea na ajira zao, wapo walioghushi vyeti-hawana kazi, wapo waliopuuzia-hawana kazi.

2.Inafurahisha.
Kwanini?
Kwasababu vijana waliokuwa wakibezwa kwa kuzunguka na bahasha zenye vyeti halali kwenye maofisi wakiomba kazi na kuambulia kebehi na dharau, sasa watapata nafasi na kuchapa kazi. Watu waliojiita magodi faza, marefarii n.k hawana chao.
 
Mama najua unakula kwa mgongo wa ccm lkn kwa hili umechemka.
Mbona kuna watu wana masters lkn hawajui kutumia computer wala hawajui kuendesha gari?
Kuna watu hawajafika hata darasa la 7 lkn wanatumia smartphone vizuri kuliko hata aliyemaliza chuo.
"wanasiasa kigezo chao ni kujua kusoma na kuandika tu'' ndivyo mnavyowadanganya watanzania.
Siku zote huwa nawaambia ccm. Hiki ni kizazi kingine na siyo cha mwaka 1947 ambacho unaweza kukidandanya.
PAMOJA NA KUJUA KIINGEREZA UNAJUA KUPIKA BURGER?
Hapo ulipo kwenye computer unajua ms word, na kuingia net tu.
Kuinstall window, na mambo mengine ya ufundi hujui.
KUJUA KIINGEREZA HAIMANIISHI UTAWEZA KUFANYA KILA KITU

Hao unaosema ukiwafundisha wanaelewa, kasheshe hao wasiotaka kujiendeleza na wamebaki kujiendekeza.

Someni, wacheni kulalamika.
 
Magari ya siku hizi ni computer controlled, inatakiwa awe na uelewa wa kusomea na kuelewa maelekezo kwenye dashboard. Sasa darasa la saba la miaka hii si anafanya miujiza?

Hata jikoni siku hizi kama haujuwi kusoma na kuelewa Kingereza ni kasheshe.

Nawashauri walioishia darasa la saba wote wakipata fursa waende hata shule za watu wazima wakajiendeleze na masomo.
Kwa taarifa hayo siyo magari ya kurushia mabomu syria au iraq.hiyo nafasi ya kujiendeleza iko kwenye mkataba wao wa ajira??wehu tuu ndio watakaungana kumuombea.Mungu atamchoma,iko siku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Uongozi Wa Bashite Hata Kama Angekua Hana Chet Cha Lasaba Me Ningemchagua Hata Kama Anagombea Uraisi Yule Ana Kipaji Swala La Waliotolewa Vyet Ni Wao Kutokujiendeleza Kama Wangejiendeleza Wasinge Kutwa Na Hilo Janga Jpm Lakini Zab 23;1
Ni kweli ungemchagua,kwa sababu wewe ni mjinga mwandamizi.mimi na elimu yangu nimchague bashiteee??kwa lipi hasa??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom