Magari ya siku hizi ni computer controlled, inatakiwa awe na uelewa wa kusomea na kuelewa maelekezo kwenye dashboard. Sasa darasa la saba la miaka hii si anafanya miujiza?
Hata jikoni siku hizi kama haujuwi kusoma na kuelewa Kingereza ni kasheshe.
Nawashauri walioishia darasa la saba wote wakipata fursa waende hata shule za watu wazima wakajiendeleze na masomo.
We unajulikana kwa kua PRo-serikali, hujaanza Leo wala Jana.
Umepania kua blind kwa kilakitu.Nashangaa hata viti maalunu hupati, na Huu ndio muujiza.
Gari LA kompyuta linapita kwenye barabara za kompyuta. Hii ni serikali bado sekta binafsi.
If that is true:-
Na VETA unatoaje cheti wakati dereva hajui kuendesha computer controlled car?.
Na nini nafasi ya kujiendeleza inayopatiwa wafanyakazi?
Gari LA kompyuta sijui dashboard,
Hoja zako ni dhaifu kuliko uchumi mbovu WA Tanzania wa sasa.
Wakati mtaani zimejaa manual vehicles kibao na auto zimebaki kua vimeo vya watu binafsi pekee.
.inahitajika Njaa Kali ikupate ili ufahamu hali halisi. Otherwise nikupoteza muda Ku argue na we we swala hili ambalo ni crucial.
We all know , there's former and informal education. However driving education is still a former education. Na cheti wanatunukiwa na sijui VETA, mambo ya magari sijui ya kompyuta yalipaswa yapelekwe curriculum ya Veta and the like (driving schools)
Cha msingi hawa madereva
Walipaswa kulipwa mafao yao. Kabla hawajambiwa off you go.
Sent using
Jamii Forums mobile app