Tulipoambiwa watumishi hewa...

Tulipoambiwa watumishi hewa...

Magari ya siku hizi ni computer controlled, inatakiwa awe na uelewa wa kusomea na kuelewa maelekezo kwenye dashboard. Sasa darasa la saba la miaka hii si anafanya miujiza?

Hata jikoni siku hizi kama haujuwi kusoma na kuelewa Kingereza ni kasheshe.

Nawashauri walioishia darasa la saba wote wakipata fursa waende hata shule za watu wazima wakajiendeleze na masomo.
Dereva wa Mbunge, Amalze la 12 Lakini boss wake ajue kusoma na kuandika.
Dada tuache masihara.
Madereva walioajiriwa kabla ya 2004 wataendesha Magari gani?
 
wale form 4 wajiandae kuachia utumishi wa Umma kwenye kipindi cha pili cha Sizonje...
 
Kuna kika namna ya kupunguza MZIGO wa kulipa watumishi hali ni MBAYA na si vinginevyo. Njia pekee ya kubisha hili ni kuboresha maslahi ya wafanyakazi kama alivyoahidi kwenye kampeni. Sio Mbowe kasema juzi na wao wanajibu maneno matupu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi vinapatikana halmashauri ipi hapa nchini?? Watu ambao hata barabara zimetushinda kujenga hizo tehama unazotuonyesha tutazitoa wapi!?
Let's be realistic ur example is irrelevant
ilo gari ukipewa picha yake ya nje unaweza kukuta ni ka corolla saloon hahahaaaaa yeye analeta tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magari ya siku hizi ni computer controlled, inatakiwa awe na uelewa wa kusomea na kuelewa maelekezo kwenye dashboard. Sasa darasa la saba la miaka hii si anafanya miujiza?

Hata jikoni siku hizi kama haujuwi kusoma na kuelewa Kingereza ni kasheshe.

Nawashauri walioishia darasa la saba wote wakipata fursa waende hata shule za watu wazima wakajiendeleze na masomo.

Na wale wachimba mitaro katika mamlaka mbalimbali za maji hapa nchini ambao ni darasa la saba nao wafurumishwe au waachwe hadi waishe wenyewe? Huoni cha msingi ni kuacha kuajiri na sio kutimua walioko tayari kwenye ajira? Kosa lao ni kuwa la 7 au ??
 
We mama unaelewa lakini jamaa anachokisema au unaamua tu kujitoa ufahamu?,sasa hilo gari computer controlled miaka ya nyuma kabla hajatolewa kazini alikuwa analiendeshaje,hawa hawakufoji vyeti,waliajiriwa ilhali mwajiri akijua kuwa wemeishia la saba.ila wewe huoni kama kilichofanyika sio fair,siku zote aliyeshiba hawezi jua adha ya mwenye njaa.unadhani walipenda kuishia la saba?
Huyo mama ana matatizo makubwa.
 
Jamani acheni tu hii issue ni kubwa kuliko mnavyohisi, ila mwenyezi mungu ndiye anajua pakuwaweka hawa watu, una mke, watoto, nyumba umepanga alafu leo unaambiwa kazi huna unaweza kuchanganyikiwa ndio maana wengine wanajinyonga. Tuwaombee tu wenzetu.
 
Uhakiki wa ndoa unanukia, kuna watumishi wana ndoa fake hivyo hutumia hiyo njia kula pesa za serikali kwa kigezo cha ndoa hasa kwenye kuomba likizo
Stay tuned.

Hans Pol
 
Magari ya siku hizi ni computer controlled, inatakiwa awe na uelewa wa kusomea na kuelewa maelekezo kwenye dashboard. Sasa darasa la saba la miaka hii si anafanya miujiza?

Hata jikoni siku hizi kama haujuwi kusoma na kuelewa Kingereza ni kasheshe.

Nawashauri walioishia darasa la saba wote wakipata fursa waende hata shule za watu wazima wakajiendeleze na masomo.
Huna akili, niwie radhi kwa kauli hii but narudia, Huna akili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magari ya siku hizi ni computer controlled, inatakiwa awe na uelewa wa kusomea na kuelewa maelekezo kwenye dashboard. Sasa darasa la saba la miaka hii si anafanya miujiza?


Kuna yule kijana aliyetengeneza gate la kufunguliwa kwa kutumia simu pamoja na mfumo wa usalama aliishia darasa la saba, darasa la saba anaweza kufanya makubwa kuliko msomi wa digrii
 
Magari ya siku hizi ni computer controlled, inatakiwa awe na uelewa wa kusomea na kuelewa maelekezo kwenye dashboard. Sasa darasa la saba la miaka hii si anafanya miujiza?

Hata jikoni siku hizi kama haujuwi kusoma na kuelewa Kingereza ni kasheshe.

Nawashauri walioishia darasa la saba wote wakipata fursa waende hata shule za watu wazima wakajiendeleze na masomo.
Vipi na vyoo vya cku hizi ni computer controlled???
 
Nyie wa darasa la saba mnaolalamika hapa mmeambulia nini?

View attachment 557086
View attachment 557087
Hiyo ni tesla, magari mengi yanayotumiwa na taasisi za serikali yametengenezwa na Toyota, mpaka leo hii dashboard ya gari za Toyota zimebadilika kidogo sana
2017-Toyota-Land-Cruiser-Interior.jpg

Kwa kazi ya udereva, mafunzo ya udereva, daraja la leseni na uzoefu wa kazi ni muhimu zaidi ya kuwa na elimu ya juu.Wangeundiwa taratibu ya kupandisha viwango vya elimu yao huku wakiwa kazini (hasa wale waliodumu kazini kwa miaka mingi) kuliko kuwatimua kwa haraka.
 
Hiyo ni tesla, magari mengi yanayotumiwa na taasisi za serikali yametengenezwa na Toyota, mpaka leo hii dashboard ya gari za Toyota zimebadilika kidogo sana View attachment 557132
Kwa kazi ya udereva, mafunzo ya udereva, daraja la leseni na uzoefu wa kazi ni muhimu zaidi ya kuwa na elimu ya juu.Wangeundiwa taratibu ya kupandisha viwango vya elimu yao huku wakiwa kazini (hasa wale waliodumu kazini kwa miaka mingi) kuliko kuwatimua kwa haraka.
Huelewi kuwa moja ya washirika wa Tesla wamepewa ardhi kubwa sana ya madini ya kuundia battery za hizo gari?

Jisomee: Ahsante Kikwete, utajiri mpya Tanzania
 
Huyo mama ana matatizo makubwa.
Alafu anajifanya anajua uislamu,wakati yuko arogant kuliko maelezo,kutwa kujifanya grammar nazi/police.uislamu unatuhimiza ukarimu,kauli nzuri na huruma,lakini huyu mama hana vyote.
 
Magari ya siku hizi ni computer controlled, inatakiwa awe na uelewa wa kusomea na kuelewa maelekezo kwenye dashboard. Sasa darasa la saba la miaka hii si anafanya miujiza?

Hata jikoni siku hizi kama haujuwi kusoma na kuelewa Kingereza ni kasheshe.

Nawashauri walioishia darasa la saba wote wakipata fursa waende hata shule za watu wazima wakajiendeleze na masomo.
Bora ya gari dereva atakariri kuliko tuliowapa dhamana ya kuendesha hii nchi hawajui kiingereza wala hawana elimu wanafanya tu miujiza ya kibashite bashite ili mradi siku zinaenda! Mwambie mkulu akasome angalau kile cha Diamond mtumbuizaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom