Trainee
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 2,216
- 2,818
Nimejikuta nacheka tu yaani tumefanana mpaka kiasi cha pesa (cha kupokea baada ya makato) kasoro matumizi ya huo mkopo tu na pia mimi ndo kwanza makato yanaanza nna miaka saba mbele (bora wewe umemaliza)...
Mimi ilikuwa nipate kauwanja home centre lakini sijui hela imetumikaje mpaka leo siamini; tena huo mkopo uliniletea majanga mpaka nikafungua uzi hapa nakumbuka!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ilikuwa nipate kauwanja home centre lakini sijui hela imetumikaje mpaka leo siamini; tena huo mkopo uliniletea majanga mpaka nikafungua uzi hapa nakumbuka!
Sent using Jamii Forums mobile app