Kv-london
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 2,813
- 4,789
Habar wapendwa humu JF
Bila kupoteza muda katika pulukushani za maisha kuwa magumu kuna wakati unaona the only solutions ni kuchukua mkopo katika taasisi za fedha mbalimbali ili kufungua ofisi nyingine itakayokuingizia kipato zaidi.
Ila cha kushangaza sasa unakuta tunaangukia pua na maisha kuwa tete zaidi ya hapo nyuma ilivyokuwa.
Mfano ni mimi; 2013 nilikopa 5 milions kwenye benki ya NMB kwa muda wa miaka 4 ambapo nilipanga kufungua biashra zangu mjini ili sister angu ndio azisimamie huko town basi nikaongea nae akanipa michongo yake ya biashara za mahindi zinavyomlipa anatoa mahindi Dodoma anapeleka Dar.
Akaniambia mimi nitakuwa napata laki 300000 kila atakapouza mzigo at the same time my capital remains costant. Mimi nikachukulia kama biashara ndio hivyo basi nitatengeneza pesa ndefu ndani ya muda mfupi sababu ndani ya mwezi anaenda kufunga Mzigo Mara 3.
Nikamtumia 4.5 milions kwa akaunti na ile laki tano kama kawa nikaitia kibiriti na Toto's za mjini nkajua after 1 week ntaanza kupokea pesa zangu za faida. Hapo salary nlikuwa napokea 190000 net baada ya makato yote.
Kumbe nae sister ndio kawa tycoon wa mjini anazitumbua pesa tu na vibwana vyake mpaka na kuja kumpigia sim vipi mbona kimya hunitumii ile pesa yani amelewa haezi hata kuongea.
Nikampigia kesho yake eti akaniambia aliibiwa pesa yote na hapo alipo amebakiwa na laki 3 tu na ndio anataka alipe kodi ili asifukuzwe kwenye chumba alichopanga. Nilikaaa chini bado nusu nilie ila nikajikaza kiume namshukuru Mungu nlikuwa sina mke wala mtoto.
Maisha yakawa magumu zaidi loan board walipoanza kunikata nikawa sasa kutoka 190000 nkawa napokea salary 135000 na madeni yalikuwa yameniandama sana sikuona raha ya kufanya kazi sababu nlishidwa kumsaidia mtu yeyote nyumbani sio baba wala mama wala ndugu yeyote.
Mungu sio wewe wala mimi; mwaka huu deni likaisha na namshukuru Mungu naishi maisha ya furaha na mwaka huu nitaenda nyumban kuwasalimia since 2012 sijawahi kwenda kabisa.
Kwa wale mliochukua mikopo jamani kuweni makini na yale mtakayoenda kufanya msije mkachanyikiwa mkatamani kujinyonga kama mimi.
Bila kupoteza muda katika pulukushani za maisha kuwa magumu kuna wakati unaona the only solutions ni kuchukua mkopo katika taasisi za fedha mbalimbali ili kufungua ofisi nyingine itakayokuingizia kipato zaidi.
Ila cha kushangaza sasa unakuta tunaangukia pua na maisha kuwa tete zaidi ya hapo nyuma ilivyokuwa.
Mfano ni mimi; 2013 nilikopa 5 milions kwenye benki ya NMB kwa muda wa miaka 4 ambapo nilipanga kufungua biashra zangu mjini ili sister angu ndio azisimamie huko town basi nikaongea nae akanipa michongo yake ya biashara za mahindi zinavyomlipa anatoa mahindi Dodoma anapeleka Dar.
Akaniambia mimi nitakuwa napata laki 300000 kila atakapouza mzigo at the same time my capital remains costant. Mimi nikachukulia kama biashara ndio hivyo basi nitatengeneza pesa ndefu ndani ya muda mfupi sababu ndani ya mwezi anaenda kufunga Mzigo Mara 3.
Nikamtumia 4.5 milions kwa akaunti na ile laki tano kama kawa nikaitia kibiriti na Toto's za mjini nkajua after 1 week ntaanza kupokea pesa zangu za faida. Hapo salary nlikuwa napokea 190000 net baada ya makato yote.
Kumbe nae sister ndio kawa tycoon wa mjini anazitumbua pesa tu na vibwana vyake mpaka na kuja kumpigia sim vipi mbona kimya hunitumii ile pesa yani amelewa haezi hata kuongea.
Nikampigia kesho yake eti akaniambia aliibiwa pesa yote na hapo alipo amebakiwa na laki 3 tu na ndio anataka alipe kodi ili asifukuzwe kwenye chumba alichopanga. Nilikaaa chini bado nusu nilie ila nikajikaza kiume namshukuru Mungu nlikuwa sina mke wala mtoto.
Maisha yakawa magumu zaidi loan board walipoanza kunikata nikawa sasa kutoka 190000 nkawa napokea salary 135000 na madeni yalikuwa yameniandama sana sikuona raha ya kufanya kazi sababu nlishidwa kumsaidia mtu yeyote nyumbani sio baba wala mama wala ndugu yeyote.
Mungu sio wewe wala mimi; mwaka huu deni likaisha na namshukuru Mungu naishi maisha ya furaha na mwaka huu nitaenda nyumban kuwasalimia since 2012 sijawahi kwenda kabisa.
Kwa wale mliochukua mikopo jamani kuweni makini na yale mtakayoenda kufanya msije mkachanyikiwa mkatamani kujinyonga kama mimi.