Magazine Fire
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 1,365
- 1,462
Maps. RIP.
Mwalimu hivi ni hongera ama ongera?Du!..mwanafunzi wangu una bidii sana ya masomo sasa unatarajia kupata degree ongera
Ahaaa pa1 sana kakaNakujua we jamaa mi nlikua azimio
Ahsante sanaDu!..mwanafunzi wangu una bidii sana ya masomo sasa unatarajia kupata degree ongera
Ahaaa ngoja nikajiungeeIngia Face Book kuna group linaitwa Wa Luhira jiunge. Ni la watu waliosoma Box 2, Songea Boys! Mie nilikuwa hapo 1982/84 A-Level!
Npo kaka hukukumbe dogo upo humu?
Sanaa kaka2008/10 Enzi za Nyamvi na Duwe
Uhuru 2 hapo
Sanaaa kakaila bado Kuna degree nyingine hata hujaianza,degree ya kitaa,kwahyo lazma uwe na masters ndo maisha yanyoke
Nakumbuka pola na mayao
Yupooo nlimkuta paleeeMwl.wangu Deo na miwani yake.....
Daaaa kitamboO level 98-2001,jubilei ya miaka 50. Headmaster mzee Kusilawe
hiki kizazi kiache tu kilivyoKweli tumekuwa watu wazima, Boys nimepita enzi za mbawa, miaka ya 1990's. Ina maana hawa waleta uzi walikuwa hawajazaliwa. Ni ile boys ya kuingiza kijana mmoja Top ten au kuongoza masomo kama Geography. Sikuhizi vijana wanafeli sana.
I seeI know you
Box 2Box 2.
Ungemkuta Nyamvi usingeipenda mkuu maana ilikua siku ya kukaguliwa usafi.Hakuna kitu nlichokua nakipenda kama jumatatu pale Box 2
Kusikiliza speeches za Mwal. Mkuu John Sweke,anajua kupangilia nini anapaswa kuongea,kutenda kwa wakati,na mda muafaka
Mungu akupe maisha marefu popote ulipo Mwl.JOHN SWEKE
With regard
Hatari sana....mambo ya
Mama mpenzi
Soft
Shadufu
Milango 9
kusaga mashine
Kuchunga (Bull)
Kulima bustan
Kula maembe milimani (Mletele)