R_Breazy
Senior Member
- Aug 28, 2025
- 160
- 319
Habari za wakati huu
Baada ya kuhitimu chuo 2025, niliweka matumaini mengi sana sababu Kuna watu hadi ndugu walinikazia nimalize ili wapate angalau namna ya kunisaidia, nilipambana nikamaliza yote ni Baada ya kuacha.
Nilitakiwa nimalize 2023, ila mambo yakawa mengi chuo nkatema nkaingia kitaa nako Kwa moto niliona hadi kurudi chuo kumalizia nilipobakiza.
Wakuu Baada ya chuo watu wote wamenikimbia😂😂🙌 nikatuma cv zangu kila mahali sema kazi niliyoapply ya kwanza NILIPATA nkapewa mkataba nisaini nilivyousoma nkaona una vipengele kibao na unagusa moja Kwa moja mshahara, kulipwa Kwa commission na bonus ndo ifike hiyo 500k, nilitemana na Hilo kampuni.
Bado niliendelea kusambaza CV kila Kona huku nilizidi kuwasumbua ndgu na wale jamaa lakini hakuna hata mmoja aliyenisaidia zaid ya pole na kunipa ahadi za kunisaidia bila kutimia🥹
Nilijipa moyo mwisho niliamua kuomba kazi halmashauri Fulani nako nilisubirishwa mpaka Leo sijapata majibu, mambo yalienda vibaya zaidi nilipogombana na mtu wangu(Ajira mpya) nilishikwa na hasira hadi ikapelekea kumpiga☹️☹️(NILIJUA NDO MWISHO ILA TAR 20'S alianza kunicheki na text za moto sana baadhi Nilijibu nyingine sikujibu kabisa, MWISHO aliniomba msamaha na kuomba yaishe😃♥️)
Mpaka hapo amani haikuwepo na hakuna kilichokuwa naksubiri Zaidi ya Mimi kuondoka.
SWALI LIKAJA, "NAONDOKA NAENDA WAPI NA KUFANYA NINI" jibu nilipata hadi sasa nipo dsm Kwa jamaa angu
MUNGU ambariki &amzidishie sana sabu jamaa kajitoa sana for me (NI MSHIKAJI WANGU TULIKUTANA ADVANCE, KAMA YUPO HUMU NA UTABAHATIKA KUSOMA UZI HUU, NISEME TU "ASANTE"
Jamaa angu alinipokea si kunipokea tu Bali hadi nauli alinitumia ili nitoke nilikokuwa make Hakukuwa salama tena KWANGU
Nafika mjini kula, kulala& kuoga juu yake, worse situation hata zile deal nilizokuwa nazkunjia nazo nikawa sipati brother aliyekuwa ananipigia simu anataka nije dar nimsaidie kazi nae alinikunjia akawa haokoti simu yangu..
Ajabu Leo nimepata kibarua na nmeambiwa niripoti kesho, ananipigia simu.
Malipo si mazuri ila advantage iliyopo mwajiri ameomba wiki moja atafute namna ili nikae karibu na ofisi yake, nmekubali ili nimpunguzie uzito jamaa angu, kazi inaendana na profession yangu na advantage iliyopo ofisi inahitaji mwenye profession kama yangu na awe anajua kutumia kompyuta vitu ambavyo KWANGU imekuwa kama kitonga
5k per day nje ya kula na usafiri+makazi bonus KWANGU nimeona heri tu.
Ushauri wangu Kwa graduates Toka nyumbani, nenda kaishi kwenye jamii nyingine usichague kazi na kila ofisi kaombe kazi malipo hata kama ni kidogo ila ni heri kidogo chako kuliko kuishi Kwa matumaini, hii inatupata sana tuliotokea familia zenye uchumi wa chini/kawaida.
Kwa hiki kipindi kifupi nimejifunza mengi sana
Kuhusu
.MAPENZI
.WATU
.MTAA
No matter what usikubali dharau ya mwanamke na mapenzi hupungua kama si kuisha kabisa, kukubali hiyo Hali wakati huyo mtu unamhitaji zaidi si jambo jepesi ila ni heri kukubali 100% kuwa mapenzi yameisha, inahitaji roho ya paka Mimi nilijifanya navumilia ila kadri nilivyovumilia ndivyo alivyozidi kuleta madharau na majibu ya hovyo, mwisho nilishindwa hadi kumuweka makofi. Zaid mara nyingi Circle Yako ina determine character na future ya mtu zaidi kabisa fursa zipo katika midomo na masikio ya watu wengine.
Penzi limerudi Kwa Kasi ya kimbunga
Huu Uzi ilitakiwa niposti Jana, Leo nimeripoti kazini masharti kibao barua kama zote, kweli swala la uaminifu Dsm ni tete, japo ni janga kila mahali Kuna muda nawaza hata angenipokea bila chcht bado ningebaki mwaminifu sana kwake na nikishindwa namuweka wazi huwa sipendi nitoke pahali niache sintofahamu sababu maisha Yana tabia ya kuturudisha Kwa wale tuliowakosea..
Yote 9, kilichonichosha roho na mwili muda wa lunch umefika asubuhi sikupata hata chai kuharakisha nifike mapema nikijua hata nki skip chai Haina mbaya pass NDEFU kawaida KWANGU, mida ya saa 8 macho yakawa mekundu, kiu na njaa nkasubir boss ataagiza msosi kama tulivyokubaliana, ubusy mwingi mara aniagize sjui kitu gani nakaza tu ila mwili nguvu zimepungua kabisa, nikawaza tu ikifika sa 10 na nusu ntapotea nkale zangu nirudi.
Sakumi Baada ya kuhangaika na computer+printer zilikuwa zinasumbua sana nkaset ikakaa sawa, hiyo ni Baada ya Mimi kushindwa hadi akaita fundi wa computer nae kashindwa bla blaah mara internet ila issue ilidunda.
Baada ya kula nikawa Sina kazi ikabidi nirudi tena kucheza na set up, nlipogusa hata sikumbuki ten ila nilivyoprint mashine ziliitika jamaa kafurahi ila MAWAZO yakabaki sehemu moja.
Muda ananielekeza pa kupata chakula alinieleza Leo nakulipia ila kesho na siku zingine utapambana, sikujibu chcht nkaenda kula.
Hapa nimelala natafakari kazi ni kama najitolea nalipwa 5k tulivyoelewana; usafiri na chakula juu yake then Leo amerudi kuniambia siku zijazo ntapambana mwenyewe asee🤤🙌HAPANA hii ni noma, ndiyo Nina shida ila si Kwa style hii wakuu.
Mimi ni mvumilivu sana na nilikubali sababu ndo mwanzo pili ni apply profession yangu ila Kwa style hii ni ngumu kutoboa, SITOBOI
Nawaza hapa nimuibukie nimuulize au nkaushe kwanza kichwa iko less.
MAWAZO yenu ni muhimu kabla sjaenda mjibu vibaya ndiyo Nina shida ila so kihivyo sasa☹️☹️☹️
WA LEO WA KESHO🙌
Age between 23-29 not for the weak!!!
Baada ya kuhitimu chuo 2025, niliweka matumaini mengi sana sababu Kuna watu hadi ndugu walinikazia nimalize ili wapate angalau namna ya kunisaidia, nilipambana nikamaliza yote ni Baada ya kuacha.
Nilitakiwa nimalize 2023, ila mambo yakawa mengi chuo nkatema nkaingia kitaa nako Kwa moto niliona hadi kurudi chuo kumalizia nilipobakiza.
Wakuu Baada ya chuo watu wote wamenikimbia😂😂🙌 nikatuma cv zangu kila mahali sema kazi niliyoapply ya kwanza NILIPATA nkapewa mkataba nisaini nilivyousoma nkaona una vipengele kibao na unagusa moja Kwa moja mshahara, kulipwa Kwa commission na bonus ndo ifike hiyo 500k, nilitemana na Hilo kampuni.
Bado niliendelea kusambaza CV kila Kona huku nilizidi kuwasumbua ndgu na wale jamaa lakini hakuna hata mmoja aliyenisaidia zaid ya pole na kunipa ahadi za kunisaidia bila kutimia🥹
Nilijipa moyo mwisho niliamua kuomba kazi halmashauri Fulani nako nilisubirishwa mpaka Leo sijapata majibu, mambo yalienda vibaya zaidi nilipogombana na mtu wangu(Ajira mpya) nilishikwa na hasira hadi ikapelekea kumpiga☹️☹️(NILIJUA NDO MWISHO ILA TAR 20'S alianza kunicheki na text za moto sana baadhi Nilijibu nyingine sikujibu kabisa, MWISHO aliniomba msamaha na kuomba yaishe😃♥️)
Mpaka hapo amani haikuwepo na hakuna kilichokuwa naksubiri Zaidi ya Mimi kuondoka.
SWALI LIKAJA, "NAONDOKA NAENDA WAPI NA KUFANYA NINI" jibu nilipata hadi sasa nipo dsm Kwa jamaa angu
MUNGU ambariki &amzidishie sana sabu jamaa kajitoa sana for me (NI MSHIKAJI WANGU TULIKUTANA ADVANCE, KAMA YUPO HUMU NA UTABAHATIKA KUSOMA UZI HUU, NISEME TU "ASANTE"
Jamaa angu alinipokea si kunipokea tu Bali hadi nauli alinitumia ili nitoke nilikokuwa make Hakukuwa salama tena KWANGU
Nafika mjini kula, kulala& kuoga juu yake, worse situation hata zile deal nilizokuwa nazkunjia nazo nikawa sipati brother aliyekuwa ananipigia simu anataka nije dar nimsaidie kazi nae alinikunjia akawa haokoti simu yangu..
Ajabu Leo nimepata kibarua na nmeambiwa niripoti kesho, ananipigia simu.
Malipo si mazuri ila advantage iliyopo mwajiri ameomba wiki moja atafute namna ili nikae karibu na ofisi yake, nmekubali ili nimpunguzie uzito jamaa angu, kazi inaendana na profession yangu na advantage iliyopo ofisi inahitaji mwenye profession kama yangu na awe anajua kutumia kompyuta vitu ambavyo KWANGU imekuwa kama kitonga
5k per day nje ya kula na usafiri+makazi bonus KWANGU nimeona heri tu.
Ushauri wangu Kwa graduates Toka nyumbani, nenda kaishi kwenye jamii nyingine usichague kazi na kila ofisi kaombe kazi malipo hata kama ni kidogo ila ni heri kidogo chako kuliko kuishi Kwa matumaini, hii inatupata sana tuliotokea familia zenye uchumi wa chini/kawaida.
Kwa hiki kipindi kifupi nimejifunza mengi sana
Kuhusu
.MAPENZI
.WATU
.MTAA
No matter what usikubali dharau ya mwanamke na mapenzi hupungua kama si kuisha kabisa, kukubali hiyo Hali wakati huyo mtu unamhitaji zaidi si jambo jepesi ila ni heri kukubali 100% kuwa mapenzi yameisha, inahitaji roho ya paka Mimi nilijifanya navumilia ila kadri nilivyovumilia ndivyo alivyozidi kuleta madharau na majibu ya hovyo, mwisho nilishindwa hadi kumuweka makofi. Zaid mara nyingi Circle Yako ina determine character na future ya mtu zaidi kabisa fursa zipo katika midomo na masikio ya watu wengine.
Penzi limerudi Kwa Kasi ya kimbunga
Huu Uzi ilitakiwa niposti Jana, Leo nimeripoti kazini masharti kibao barua kama zote, kweli swala la uaminifu Dsm ni tete, japo ni janga kila mahali Kuna muda nawaza hata angenipokea bila chcht bado ningebaki mwaminifu sana kwake na nikishindwa namuweka wazi huwa sipendi nitoke pahali niache sintofahamu sababu maisha Yana tabia ya kuturudisha Kwa wale tuliowakosea..
Yote 9, kilichonichosha roho na mwili muda wa lunch umefika asubuhi sikupata hata chai kuharakisha nifike mapema nikijua hata nki skip chai Haina mbaya pass NDEFU kawaida KWANGU, mida ya saa 8 macho yakawa mekundu, kiu na njaa nkasubir boss ataagiza msosi kama tulivyokubaliana, ubusy mwingi mara aniagize sjui kitu gani nakaza tu ila mwili nguvu zimepungua kabisa, nikawaza tu ikifika sa 10 na nusu ntapotea nkale zangu nirudi.
Sakumi Baada ya kuhangaika na computer+printer zilikuwa zinasumbua sana nkaset ikakaa sawa, hiyo ni Baada ya Mimi kushindwa hadi akaita fundi wa computer nae kashindwa bla blaah mara internet ila issue ilidunda.
Baada ya kula nikawa Sina kazi ikabidi nirudi tena kucheza na set up, nlipogusa hata sikumbuki ten ila nilivyoprint mashine ziliitika jamaa kafurahi ila MAWAZO yakabaki sehemu moja.
Muda ananielekeza pa kupata chakula alinieleza Leo nakulipia ila kesho na siku zingine utapambana, sikujibu chcht nkaenda kula.
Hapa nimelala natafakari kazi ni kama najitolea nalipwa 5k tulivyoelewana; usafiri na chakula juu yake then Leo amerudi kuniambia siku zijazo ntapambana mwenyewe asee🤤🙌HAPANA hii ni noma, ndiyo Nina shida ila si Kwa style hii wakuu.
Mimi ni mvumilivu sana na nilikubali sababu ndo mwanzo pili ni apply profession yangu ila Kwa style hii ni ngumu kutoboa, SITOBOI
Nawaza hapa nimuibukie nimuulize au nkaushe kwanza kichwa iko less.
MAWAZO yenu ni muhimu kabla sjaenda mjibu vibaya ndiyo Nina shida ila so kihivyo sasa☹️☹️☹️
WA LEO WA KESHO🙌
Age between 23-29 not for the weak!!!