Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,997
- 7,552
Miaka ya 2005 wizi wa kutumia silaha za jadi ulikithiri sana Dodoma. Katika kijiji tulichokuwa tunaishi. Pale nyumbani tulikuwa na duka kubwa hivyo siku hiyo jamaa walipanga kuja kuvunja na kuiba.
Mida ya sa 5 usiku duka limefungwa, tumeingia kulala, tukasikia jamaa wanafoka nje huku wananoa mapanga, kuchungulia dirishani, tunaona njemba kama 6 hivi, zina mapanga, mmoja ana gobole.
Walikuwa na nondo fulani hivi kwaajili ya kuvunja mlango, sisi tulikuwa na silaha baridi inaitwa upinde na mishale ya kutosha, hivyo tukawajibukuwa atakayegusa kufuli ya fremu tutamtifua, yule jamaa mwenye gobole akapiga moja hewani.
Kaka yangu akaniambia gobole huwa na risasi moja tu hivyo kwakuwa sisi tuna mshale tutoke nje, tukachungulia kwa dirishani tukajiridhisha kuwa mlangoni hakuna mtu, wote wamesimama dukani, na baada ya risasi ile moja, walianza kuvunja makufuli ya fremu.
Nikamtanguliza bro, akafungua mlango fasta akapiga mshale mmoja ukaenda kugonga kwenye frem, jamaa kumbe waoga waka anza kukimbia, nasisi tukawaunganishia huku tunapiga kelele.
Raia wengine wakaunga, kumbe nao walikuwa wanangoja wakuanzisha, basi mwizi mmoja akaanguka kwenye ka mtaro alishindwa kuruka, tukamkamata yeye, pia lile gobole walilitupa na ile nondo ya kuvunjia kufuli. Na mapanga 3 waliyatelekeza.
Yule jamaa tumemshika, balozi wa mtaa akatoa wazo kuwa aingiliwe kinyume na maumbile😂 ila kaka akasema hiyo ni adhabu ndogo, tukambeba mpaka kwenye ka pori fulani, tukatafuta mifuko ile ya plastic.
Tukamvua nguo zote, tukamlaza juu ya gogo tukafunga kamba mikono na miguu yake tukaiunga na lile gogo, jamaa analia kwa huruma, anatukumbusha amri inayosemac Usiue.
Sasa ile mifuko ya plastic tukaiwasha moto, si unajua ikiungua inaangusha vitone vya uji uji wamoto, ndo tukawa tunamdondoshea mgongoni anajaribu kutikisika lakini wapi, alilia, alijikojolea, alitubu, akatutajia majina ya wenzake, akatutajia jirani yetu aliyewapa ramani.
Balozi akatuma vijana kumchukua yule jirani akaletwa akiwa amepigwa mapanga na wale vijana hivyo yeye hatukumwongezea adhabu.
Baada ya hasira kupungua tukawaacha porini tukasepa, yule jirani yu hai mpaka leo, alichofanya ni kuhama kijiji, yule mwizi alikufa baada ya mwezi na siku kadhaa maana hakwenda hospitali alijiuguza tu kwake.
Tangu sikuile hatukupata usumbufu, polisi walikuja kesho yake wakachukua maelezo na vielelezo, badae mjumbe akateta nao wakaondoka mazima.
Sema mjumbe alikuwa anakopa sana dukani😭
Mida ya sa 5 usiku duka limefungwa, tumeingia kulala, tukasikia jamaa wanafoka nje huku wananoa mapanga, kuchungulia dirishani, tunaona njemba kama 6 hivi, zina mapanga, mmoja ana gobole.
Walikuwa na nondo fulani hivi kwaajili ya kuvunja mlango, sisi tulikuwa na silaha baridi inaitwa upinde na mishale ya kutosha, hivyo tukawajibukuwa atakayegusa kufuli ya fremu tutamtifua, yule jamaa mwenye gobole akapiga moja hewani.
Kaka yangu akaniambia gobole huwa na risasi moja tu hivyo kwakuwa sisi tuna mshale tutoke nje, tukachungulia kwa dirishani tukajiridhisha kuwa mlangoni hakuna mtu, wote wamesimama dukani, na baada ya risasi ile moja, walianza kuvunja makufuli ya fremu.
Nikamtanguliza bro, akafungua mlango fasta akapiga mshale mmoja ukaenda kugonga kwenye frem, jamaa kumbe waoga waka anza kukimbia, nasisi tukawaunganishia huku tunapiga kelele.
Raia wengine wakaunga, kumbe nao walikuwa wanangoja wakuanzisha, basi mwizi mmoja akaanguka kwenye ka mtaro alishindwa kuruka, tukamkamata yeye, pia lile gobole walilitupa na ile nondo ya kuvunjia kufuli. Na mapanga 3 waliyatelekeza.
Yule jamaa tumemshika, balozi wa mtaa akatoa wazo kuwa aingiliwe kinyume na maumbile😂 ila kaka akasema hiyo ni adhabu ndogo, tukambeba mpaka kwenye ka pori fulani, tukatafuta mifuko ile ya plastic.
Tukamvua nguo zote, tukamlaza juu ya gogo tukafunga kamba mikono na miguu yake tukaiunga na lile gogo, jamaa analia kwa huruma, anatukumbusha amri inayosemac Usiue.
Sasa ile mifuko ya plastic tukaiwasha moto, si unajua ikiungua inaangusha vitone vya uji uji wamoto, ndo tukawa tunamdondoshea mgongoni anajaribu kutikisika lakini wapi, alilia, alijikojolea, alitubu, akatutajia majina ya wenzake, akatutajia jirani yetu aliyewapa ramani.
Balozi akatuma vijana kumchukua yule jirani akaletwa akiwa amepigwa mapanga na wale vijana hivyo yeye hatukumwongezea adhabu.
Baada ya hasira kupungua tukawaacha porini tukasepa, yule jirani yu hai mpaka leo, alichofanya ni kuhama kijiji, yule mwizi alikufa baada ya mwezi na siku kadhaa maana hakwenda hospitali alijiuguza tu kwake.
Tangu sikuile hatukupata usumbufu, polisi walikuja kesho yake wakachukua maelezo na vielelezo, badae mjumbe akateta nao wakaondoka mazima.
Sema mjumbe alikuwa anakopa sana dukani😭