Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 657
- 1,736
Hivi karibuni nilikuwa Zanzibar, baada ya shughuli zangu nilikwenda bandari lakini nikawa nimechelewa boat.
Nikalazimika kupanda ile ya saa 3 usiku. Tulifika Dar saa 9 usiku ila cha ajabu tukaambiwa kushuka ni saa 12 asubuhi.
Hii iliniacha na maswali sana kama kuna kusafiri usiku kwa nini tusishuke maana kwa Dar saa 9 usiku ni kama kumekucha tu.
Kama issue ni bandari basi uwekwe utaratibu ila kwa sasa ni kusumbuana aisee.
Yaani haya mambo ni viashiria vya umasikini wa nchi.
Nikalazimika kupanda ile ya saa 3 usiku. Tulifika Dar saa 9 usiku ila cha ajabu tukaambiwa kushuka ni saa 12 asubuhi.
Hii iliniacha na maswali sana kama kuna kusafiri usiku kwa nini tusishuke maana kwa Dar saa 9 usiku ni kama kumekucha tu.
Kama issue ni bandari basi uwekwe utaratibu ila kwa sasa ni kusumbuana aisee.
Yaani haya mambo ni viashiria vya umasikini wa nchi.