Tulichokunywa na kula Ikulu Chamwino

Tulichokunywa na kula Ikulu Chamwino

kunywa sawa mlikunywa hayo majuisi ya azam mbona hujatuambia mlikula nini au mlisongewa ugali wa mtama na lilende du!
 
Nimeamini vyeo vinatafutwa aisee..huyu jamaa alivyopania hiki cheo akiambiwa hata amtoe kafara mtoto wake atakubali...
 
kama nikweli asisahau kupunguza gharama za umeme aanze na ukokotozi wa capacity charges zilizo anzisha issue ya escrow

We ni mburura...Richmond ndo inagharim TANESCO na si Escrow
 
Hakuna jipya hizo mbwebwe tuuu.
Hawa magamba they r so stpd! Tena na zaidi
Wanabana 200000 lkn wanatumia pesa kubwa ktk matumizi mengine, sijui lini waatacha unafiki
 
Wenzako wanaotafuta kuteuliwa uwaziri wako kwa waganga sasa hivi wanachanjwa chale viunoni we unashinda jf,,
 
Huyu jamaa ni mkubwa wa umri tu akili zero.na juzi alikuja na hoja ya Magufuli kutumia barabara,mambo ya kitoto tu

Ila ugomvi wako na HR ilikua habari muhimu hapa jamvini...kisa kuchukuliwa demu wako ukaanzisha UZI hapa ...kweli ukiwa NYUMBU akili unazipa lilizo
 
Hii nchi mi nitakuja nihame tu,imejaa watu wenye akili sizizotoshea kwenye kijiko cha chai.

Marekani ikisema buy Amerikan wanaongelea, nunua vipuri vya Marekani, nunua Magari ya Marekani, nunua silaha za Marekani, nunua Treni na meli za Marekani.Vitu vikubwa ~ refer materialistic concept.Vitu vyenye mashiko, vitu vinavyoingiza fedha nyingi yenye impact kwenye uchumi.

Sasa huku Tanzania kuna mtu anaitwa Manyerere anazungumzia buy Tanzanian akimaanisha nunua sharubati, nunua juice , nunua bla bla blaaaa, ....... amesikia mtu akijamba apata matumaini ya kupata gesi.

Manyerere, You are thinking in a right direction but THINK BIG.
 
  • Thanks
Reactions: itv
Manyerere Jackton

Malighafi za kuzalisha hiyo juisi na mabox yanatoka wapi?ila inaonekana ulienda kufatilia mnuso zaidi
 
Last edited by a moderator:
okwIBOBANISUNZU
Ila ugomvi wako na HR ilikua habari muhimu hapa jamvini...kisa kuchukuliwa demu wako ukaanzisha UZI hapa ...kweli ukiwa NYUMBU akili unazipa lilizo
 
Last edited by a moderator:
Bado hajabana vizuri ingepaswa kila mtu aje na maandazi yake kutoka kwake, kwani mishahara si mnalipwa?
 
Hii nchi mi nitakuja nihame tu,imejaa watu wenye akili sizizotoshea kwenye kijiko cha chai.

Marekani ikisema buy Amerikan wanaongelea, nunua vipuri vya Marekani, nunua Magari ya Marekani, nunua silaha za Marekani, nunua Treni na meli za Marekani.Vitu vikubwa ~ refer materialistic concept.Vitu vyenye mashiko, vitu vinavyoingiza fedha nyingi yenye impact kwenye uchumi.

Sasa huku Tanzania kuna mtu anaitwa Manyerere anazungumzia buy Tanzanian akimaanisha nunua sharubati, nunua juice , nunua bla bla blaaaa, ....... amesikia mtu akijamba apata matumaini ya kupata gesi.

Manyerere, You are thinking in a right direction but THINK BIG.

Juice ya elfu mbili ya azam,meza ya mchina,glass ya ulaya,simu ya milioni mbili,vxv8,kalamu na karatasi za nje ya nchi
 
Back
Top Bottom