Tulia Ackson na Mwenyekiti wa CCM Mbeya Waendesha Kampeni Chafu za Ubunge Mbeya Mjini

Utaweweseka sana mwaka huu baada ya kuona wanambeya kwa ujumla wao wakiendelea kumshukuru Dkt Tulia kwa uchapa kazi wake.na namna alivyowasadia wanambeya kupata maendeleo katika kila eneo. ngoja mkeka wa lami njia nne kutoka igawa mkoani Mbeya mpaka Tunduma mkoani Songwe wenye urefu wa 237.9 utandikwe ndio akili yako na yule muhuni na tapeli wa kisiasa Sugu akili itawakaa sawa.

Mbeya kamwe na katu haijikuongizwa tena na muhuni Sugu.wala wana Mbeya hawapo tayari kumuondoa Dkt Tulia katika ubunge pale Mbeya mjini.

Mbeya mjini ni Dkt Tulia na dkt Tulia ndio Mbeya yenyewe.

Hakuna wa kumkwamisha Dkt Tulia na Wana CCM na CCM nzima imeamua kiwa Fomu ya ubunge ni moja tu kwa ajili yake Dada wa Taifa na msomi Nguli wa sheria kuwahi kutokea nyanda za juu kusini na fahari ya wana mbeya na nyanda za juu kusini
Uwe na adabu, kuwahita viongozi wahuni, matapeli ni kujidalilisha mwenyewe na chama chako, hauna tofauti na wale wamama wenye domo chafu mtaani.
 
Uwe na adabu, kuwahita viongozi wahuni, matapeli ni kujidalilisha mwenyewe na chama chako, hauna tofauti na wale wamama wenye domo chafu mtaani.
Sugu ni muhuni aliyekuwa anafanya vitu vya kihuni bungeni kwa kuonyesha vidole vinavyoashiria matusi. Muhuni ni muhuni tu hata akivaa suti anabakia kuwa muhuni tu.
 
Utaweweseka sana mwaka huu baada ya kuona wanambeya kwa ujumla wao wakiendelea kumshukuru Dkt Tulia kwa uchapa kazi wake.na namna alivyowasadia wanambeya kupata maendeleo katika kila eneo. ngoja mkeka wa lami njia nne kutoka igawa mkoani Mbeya mpaka Tunduma mkoani Songwe wenye urefu wa 237.9 utandikwe ndio akili yako na yule muhuni na tapeli wa kisiasa Sugu akili itawakaa sawa.

Mbeya kamwe na katu haijikuongizwa tena na muhuni Sugu.wala wana Mbeya hawapo tayari kumuondoa Dkt Tulia katika ubunge pale Mbeya mjini.

Mbeya mjini ni Dkt Tulia na dkt Tulia ndio Mbeya yenyewe.

Hakuna wa kumkwamisha Dkt Tulia na Wana CCM na CCM nzima imeamua kiwa Fomu ya ubunge ni moja tu kwa ajili yake Dada wa Taifa na msomi Nguli wa sheria kuwahi kutokea nyanda za juu kusini na fahari ya wana mbeya na nyanda za juu kusini
Wewe pimbi unatumia makalio kufikiri. Hakuna mtu anamtaka huyo kigagula zaidi ya wapambe wake.


View: https://youtu.be/n5QM3aIWIRU?si=csbtmFnirbLLzl0d
 
Kwani Kuna tatizo gani mkuu hilo swala liko ndani ya chama mimi sioni shida akizungumza hivyo.
Nipe kifungu cha katiba ta CCM kinachosema hivyo. Au weka ushahidi ni lini wana CCM Mbeya Mjini walikubaliana hivyo.

Hapa naona siasa za ukabila tu zikitamalaki. Mwenyekiti wa sasa wa CCM Mbeya na Mbunge wa Mbeya Mjini ni kabila moja.
 
Sugu ndio amechokwa kama dekio. Dkt Tulia Anaendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya wana mbeya na kubembelezwa na wanambeya ili wamchangie pesa ya kuchukulia Fomu ya ubunge.

Kila mwana Mbeya ameona namna alivyogusa maisha ya watu.amejengea watu nyumba.ametio maelfu ya bima za afya bure kabisa kwa wanambeya,mfano mwaka huu akiwa bima za afya bure kabisa elfu sita wakati mwaka jana alitoa elfu tatu.

Amejenga kwa pesa zake mwenyewe mabweni ya wanafunzi kama alivyofanya pale katika sekondari ya Samora.

Amegawa vitabu kwa shule zote za jiji la mbeya.

Wakati wa ubunge wa sugu yeye alikuwa anafanya Vitendo vya kihuni huni tu bungeni kama vile kuonyesha vidole vinavyoashiria matusi akiwa bungeni. Sugu alikuwa ni vuta bangi sana.hakuna mwana Mbeya wakumpa tena ubunge muhuni kama sugu.
Mbuga ipo porini,ukiona Mtu anatumia fedha zake kufanya maendeleo hafai. Ni vile hufikir kuwa anazipata wap hizo fedha
 
Sikuwahi kumsikia Profesa Mwandosya akifanya haya. Nakumbuka Mwandosya alifuatwa agombee, alipokubali wazee walikaa na vyama vyote na kuwaambia maoni yao kwamba kwa mahitaji ya jimbo lao, wameamua badala ya watu kuchukua form badala yake wao wametafuta mtu wanayeina atafaa, wakawatajia mtu huyo wakawauliza je mnamkunali au tkubaliane apite bila kupingea au utaratibu uendelee kama kawaida?
Wagombea kutoka vyama vyote wakaona huyu mtu atawafaa kwa maslahi ya Jimbo, wakavishirikisha vyama vyao, na wote wakakubaliana kutochukua form na hivyo Mwandosya kwa vipindi vyote alipita bila kupungwa, lakini hatukuwahi kushuhudia kampeni kama hizi na za Akina Majaliwa.
Hawa Mwenyekiti wa Mkoa na Mbunge wa CCM watatuharibia Mbeya yetu. Ni virusi tu kwenye siasa za mkoa.

Upinzani lazima uchukue jimbo la Mbeya
 
Huu ushenzi siyo wa kuuvumilia. Huyu Betina hajawahi kushinda uchaguzi wowote Tanzania. Aliteuliwa JK kugombea u-Naibu Spika ambao basically ukiteuliwa CCM unakuwa Spika tu kwa vile hata 2015 wabunge wa CCM walikuwa majority

Uchaguzi wa 2020 aliwekwa na Magufuli kama walivyowekwa akina Prof Kabudi Kilosa au Josephat Gwajima Kawe

Huyu Mbunge wa Mbeya hajaleta maendeleo yeyote zaidi ya kuemdesha biashara yake ya Bajaj jijini Mbeya kupitia Tulia Trust.

Mbeya pamoja na barabara finyu na udogo wa Jiji linaladiriwa kuwa na Bajaj 8,000.

Wajinga wenye kufikiri mwisho wa pua wanadhani hayo ndiyo maendeleo.
Hapa utapambana sana na wakina ChoiceVariable na Lucas Mwashambwa
 
Sugu ndio amechokwa kama dekio. Dkt Tulia Anaendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya wana mbeya na kubembelezwa na wanambeya ili wamchangie pesa ya kuchukulia Fomu ya ubunge.

Kila mwana Mbeya ameona namna alivyogusa maisha ya watu.amejengea watu nyumba.ametio maelfu ya bima za afya bure kabisa kwa wanambeya,mfano mwaka huu akiwa bima za afya bure kabisa elfu sita wakati mwaka jana alitoa elfu tatu.

Amejenga kwa pesa zake mwenyewe mabweni ya wanafunzi kama alivyofanya pale katika sekondari ya Samora.

Amegawa vitabu kwa shule zote za jiji la mbeya.

Wakati wa ubunge wa sugu yeye alikuwa anafanya Vitendo vya kihuni huni tu bungeni kama vile kuonyesha vidole vinavyoashiria matusi akiwa bungeni. Sugu alikuwa ni vuta bangi sana.hakuna mwana Mbeya wakumpa tena ubunge muhuni kama sugu.
"Kwa pesa zake mwenyewe". Unawazimu wewe!
 
"Kwa pesa zake mwenyewe". Unawazimu wewe!
Ndio ni za kwako kwa moyo wake wa kujitolea na kusaidiwa na wadau wa maendeleo ambao wanakoshwa na uchapa kazi wake. Tofauti na yule muhuni ambaye alishindwa kuongoza jimbo mpaka alipofurushwa na wana Mbeya.
 
Sikiliza wewe chizi.ni dada wa Taifa kwa kutumia ushawishi wake ndio ulifanikisha upatikanaji na kutengwa pesa kwa ajili ya barabara hiyo.lengo likiwa ni kupanua barabara ,kupunguza na kumaliza ajali hususani eneo la mlima iwambi kutokea mbalizi ,kuondoa foleni hasa maeneo ya mjini yaani kuanzia mbalizi ,iwambi,iyunga,nzovwe,Kandege,mafiati, Mwanjelwa,kabwe,soweto,mama John,sai mpaka uyole huko.

Ni nguvu na ujenzi wa hoja wa dkt Tulia pamoja na kushirikiana vizuri na serikali ndiko kumewezesha upatikanaji wa barabara hiyo.

Naamini umenielewa vyema japo hunaga akili kichwani mwako.
Wewe chizi, huyo ni dada yako wewe!
 
Tujenge hoja tuseme tutawafanyia nini wananchi tunadi sera zetu bila kubeza viongozii watangulizi, hata wao pia walikua na mchango wao katika kuleta maendelo kwa namna moja au nyingine,
 

Alianza Patrick Mwalunenge, Mwenyekiti wa CCM Mbeya kusema kuwa mwaka 2025 kutakuwa na Fomu Moja tu ya kugombea ubunge jimbo la Mbeya Mjini.

Leo kuna clip ya dak 3 inatembea ikimuonyesha mtu mmoja akihutubia mkutano wa CCM Mbeya huku Spika wa Bunge Tulia Ackson ambaye ndiye Mbunge wa sasa wa Mbeya Mjini. Mtu huyo ameongea yaleyale yaliyotamkwa na Mwenyekiti wa CCM Mbeya.

Ni wazi hizi ni siasa chafu ambazo ziko kinyume na Katiba ya JMT na hazina tija kwa wananchi wa Mbeya.

Kama ni kweli Tulia Ackson ameifanyia Mbeya mambo makubwa kwa nini anaogopa ushindani?
Kwani wewe unataka umtoe Spika Wetu mama connection? Huyo ndio Mbunge Hadi 2030.
 

Alianza Patrick Mwalunenge, Mwenyekiti wa CCM Mbeya kusema kuwa mwaka 2025 kutakuwa na Fomu Moja tu ya kugombea ubunge jimbo la Mbeya Mjini.

Leo kuna clip ya dak 3 inatembea ikimuonyesha mtu mmoja akihutubia mkutano wa CCM Mbeya huku Spika wa Bunge Tulia Ackson ambaye ndiye Mbunge wa sasa wa Mbeya Mjini. Mtu huyo ameongea yaleyale yaliyotamkwa na Mwenyekiti wa CCM Mbeya.

Ni wazi hizi ni siasa chafu ambazo ziko kinyume na Katiba ya JMT na hazina tija kwa wananchi wa Mbeya.

Kama ni kweli Tulia Ackson ameifanyia Mbeya mambo makubwa kwa nini anaogopa ushindani?
Kwa uhalisia hapo ni kwamba hao wanaongea mambo yao ya ndani ya CCM na wala hawajasema chadema msiweke mgombea wenu.
Bali wanangea mambo ya siasa zao vhafu ndani ya chama chao.
 
Mwambieni yule muhuni mwenzenu kuwa asahau kuja kupata tena ubunge Mbeya mjini. Kwa sasa mwenye hati miliki ya jimbo la Mbeya mjini ni dada wa Taifa dkt Tulia Acksoni Mwansasu
Hakuna mtu mwenye hati miliki ya ubunge wowote hapa TANZANIA wewe mpumbavu wa Mbozi. Mbona unadhalilisha Wanyiha wote kwa mabandiko yako??
 
Kwa nini wakili hataki utaratibu wa fomu moja tu ya kugombea ushuke hadi chini kwa wabunge na madiwani?
Msikilize vizuri tena. Wakili anaonya wanaotaka fomu moja kwa Tulia. Anapinga utaratibu huo
 
Back
Top Bottom