Tukuyu, Rungwe Mbeya wilaya ya kipekee sijaona Tanzania

Mada safi shukraani mtoa mada ila Tia nyama zaidi, maana Nami nilibahatika kufika Lushoto last December yooooo it knick my socks out, Tukuyu nilifika huko miaka mingi iliyopita,kwenye michezo ya vyuo vya ualimu kanda ya nyanda za juu,kwa sasa utanifanya mkuu nifanye detour kule, ahsante sana
Karibu sana Lushoto, moja Kati ya maeneo mazuri ya kuishi japokuwa mzunguko wa hela sio mkubwa.
 
Kukaja kununu

Japo sipendi kukaa. Home tukuyu ila nikikumbuka mambo ya misosi

Parachichi na chai

Kitimoto na ndizi

Mbatata + majimbi na maziwa

Nahuzunika sana
IMG_20231029_135944_138.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Siku moja nitamiliki makazi ya kuishi kwenye milima ya Tukuyu.

InshaAllah. Ameen.



I love Tukuyu, Moshi milimani, Morogoro Milimani, Muleba, Kamachumu, Karagwe, Singida kule kwenye lile Ziwa, Lindi, Lushoto, njia ya airport Arusha, Misitu ya Kisesa Mwanza, Milima ya mawe ya Capri Point na Isamilo Mwanza, Visiwa vya Ukerewe, kuelekea mashamba ya maua Arusha.

Tanganyika imebarikiwa kwa mandhari Nzuri sana MaashaAllah.

.
 
Siku moja nitamiliki makazi ya kuishi kwenye milima ya Tukuyu.

InshaAllah. Ameen.



I love Tukuyu, Moshi milimani, Morogoro Milimani, Muleba, Kamachumu, Karagwe, Singida kule kwenye lile Ziwa, Lindi, Lushoto, njia ya airport Arusha, Misitu ya Kisesa Mwanza, Milima ya mawe ya Capri Point na Isamilo Mwanza, Visiwa vya Ukerewe, kuelekea mashamba ya maua Arusha.

Tanganyika imebarikiwa kwa mandhari Nzuri sana MaashaAllah.

.
God blessed much our land Tanzania
 
Karibu sana Lushoto, moja Kati ya maeneo mazuri ya kuishi japokuwa mzunguko wa hela sio mkubwa.
Yes mkuu Lushoto ipo safi,wale wabunge 3 ningetaka kuwachapa bakora, why hawaitengenezi ila barabara ya Mombo to Mlalo?,why wasijenge cable cars ili kuvutia utalii na kutoa ajira kwa vijana?,Capetown umaarufu wao ni utalii, na wanajivunia table mountain na ile cable car yao, sasa Lushoto kuna matable mountains ⛰️ kibao, jenga cable cars, zinakutoa milimani kule hadi mombo, watalii waukesha kwa miavuli etc etc, jenga view points nzuri zenye hiking tracks, hizi zote ni opportunities kwa wilaya na vijana kujiajiri wenyewe, aliyetuloga ni nani?
 
Back
Top Bottom