joseph_mbeya
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 251
- 585
Karibu sana mkuu
Mkeka wa Tukuyu ni Moja ya mikeka imara ndani ya mipaka ya Tanzania.
View attachment 2886204
View attachment 2886205We jamaa Bufa kumbe unaishi Tukuyu, alafu unajifanya kuwa wewe ni diaspora kwenye thread nyingi.
Karibu sana Lushoto, moja Kati ya maeneo mazuri ya kuishi japokuwa mzunguko wa hela sio mkubwa.Mada safi shukraani mtoa mada ila Tia nyama zaidi, maana Nami nilibahatika kufika Lushoto last December yooooo it knick my socks out, Tukuyu nilifika huko miaka mingi iliyopita,kwenye michezo ya vyuo vya ualimu kanda ya nyanda za juu,kwa sasa utanifanya mkuu nifanye detour kule, ahsante sana
😂🤣🤣acha uongo"Ukiona naenda kwenye mgomba uniangusaage"
Kweli😍😂🤣🤣acha uongo
Inategemea unataka ukubwa gn ila Bei imechaviwanja huko bei gani
Asante Sana MkuuKaribu sana Lushoto, moja Kati ya maeneo mazuri ya kuishi japokuwa mzunguko wa hela sio mkubwa.
Kama umeishi kule hvNi migomba ,na miti ya marachichi mwanzo mwisho,magimbi,kahawa,chai na mazaga zaga kibao It is ever green .Lakini kwa mtu aliyezoea maisha ya maokoto kule hawezi ishi licha ya kwamba ni cheap katika mambo ya chakula.
Kununua fijo namalori namatukutkuKutukuyu kusouth
God blessed much our land TanzaniaSiku moja nitamiliki makazi ya kuishi kwenye milima ya Tukuyu.
InshaAllah. Ameen.
I love Tukuyu, Moshi milimani, Morogoro Milimani, Muleba, Kamachumu, Karagwe, Singida kule kwenye lile Ziwa, Lindi, Lushoto, njia ya airport Arusha, Misitu ya Kisesa Mwanza, Milima ya mawe ya Capri Point na Isamilo Mwanza, Visiwa vya Ukerewe, kuelekea mashamba ya maua Arusha.
Tanganyika imebarikiwa kwa mandhari Nzuri sana MaashaAllah.
.
OgopaaaaNi hatari sana
UtotoMbeya is the most blessed land in Tanzania 🇹🇿
Yes mkuu Lushoto ipo safi,wale wabunge 3 ningetaka kuwachapa bakora, why hawaitengenezi ila barabara ya Mombo to Mlalo?,why wasijenge cable cars ili kuvutia utalii na kutoa ajira kwa vijana?,Capetown umaarufu wao ni utalii, na wanajivunia table mountain na ile cable car yao, sasa Lushoto kuna matable mountains ⛰️ kibao, jenga cable cars, zinakutoa milimani kule hadi mombo, watalii waukesha kwa miavuli etc etc, jenga view points nzuri zenye hiking tracks, hizi zote ni opportunities kwa wilaya na vijana kujiajiri wenyewe, aliyetuloga ni nani?Karibu sana Lushoto, moja Kati ya maeneo mazuri ya kuishi japokuwa mzunguko wa hela sio mkubwa.