View attachment 268021
Habari zenu ndugu zangu,
Mimi naomba kuanzia leo na kuendelea tuungane kuwakemea wanawake wanao vaanguo fupi kwani mimi naona kitendo hiki hakina maadili kabisa tena wengine utawaona watu wazima lakini nguo wazovaa sio za maadili kabisa.
Hii sio vizuri kabisa najua wapo watu watasema kama mimi mshamba lakini sio kweli kwanini tunaiga vitu ambavyo havina maadili hata kidogo?
Naomba ungana na mimi katika hili
Wewe hujui unachosema, kama anataka maadili hubiri habari njema sio kukemea watu haisaidii, mchepuko sio dili ipo kila tv channel na watu hawaachi michepuko ndo uanze kuhangaika na vimini, hujui moyo Wa mwanadamu naona