Ila kabudi huyu mdingi anajua kujipendekeza na kujikombakomba
Kusema nchi hii ni masikini, hadi waka kaa kikao na banner kubwa kwamba matajiri wanakutana. Mwenye picha naiomba
Imagine tulinyimwa hadi kunyer'Kaa na mavi yako nyumbani'
Alisikika mwehu mmoja hivi, then siku hiyo ndipo alipoanguka na kufa,wakatuficha mpaka walipochoka
Yule mzee alikuwa chizi kabisaImagine tulinyimwa hadi kunyer
Nisimsikie mtu anasema "vyuma vimekaza"MARUFUKU KUHOJI HOJI FEDHA ZIMETUMIKAJE, HATA BUNGE HALIKUTHUBUTU KUHOJI CHOCHOTE, ILIKUWA NI LAZIMA USIFU NA UTUKUZE HATA PROF ASAD ALIPOHOJI 1.5TRIL AMBAZO ALIKUWA HAZIONI ALIFUKUZWA KAZI MARA MOJA NI VYEMA SASA WAZO LA NAPE LA KUHOJI MATRILION LIKAFANYIWA KAZI, ITAPENDEZA PROF AKARUDISHWA AU KUSAIDIA KWA MKATABA, YAANI TRIL 1.3 IMEKUWA NONGWA, NA TUMEONA ZILIPOKWENDA.