Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Mwaka jana Desemba niliwatembelea ndugu zangu jirani, katika mazungumzo waliniambia kwa Kinyankole ila nitasema kwa Kiswahili 'Vijana wengi wa huku kwetu wanafanya mapenzi na wake zao kila siku walau kwa dakika nne ili kupunguza hatari ya kupata ugonjwa wa saratani', na wamekuwa wakifanya kampeni kuhamasishana kufanya hivyo.
Suala hilo liliniingia hivyo nilivyorudi Tanzania nimeweka mkakati wa kuchakatana na mwenza wangu kila siku ili niwe sehemu salama. Situmii nguvu sana maana kuchakatana kila siku si jambo dogo.
Wakuu hivi inawezekana ikawa kweli au ndio namaliza nguvu zangu bure.
Suala hilo liliniingia hivyo nilivyorudi Tanzania nimeweka mkakati wa kuchakatana na mwenza wangu kila siku ili niwe sehemu salama. Situmii nguvu sana maana kuchakatana kila siku si jambo dogo.
Wakuu hivi inawezekana ikawa kweli au ndio namaliza nguvu zangu bure.