Hermajestyp
New Member
- Sep 28, 2023
- 3
- 17
Hellow guys,
Mimi ni Mwanamke wa miaka 25 mpaka sasa, nina mume na nampenda sana.
Tabia ya kujichua niliianza mwaka 2019 nikiwa Chuo mwaka wa kwanza ambapo Ex-boyfriend wangu aliniambia “anahisi anatumia nguvu sana na sifiki kileleni.” Hivyo nikaamua kuanza kujaribu kama uwezo ninao au lah!
Nilipofanya siku ya kwanza nilihisi raha sana, ikawa mchezo wa kila siku, nilikuwa nikijichua hadi mara nne au tano kwa siku, nmejaribu sana kuacha mchezo huo lakini nashidnwa kabisa
Kwa mwezi lazima nijichue hata mara nne au tano, hata kama nimetoka kufanya mapenzi lazima basi nijichue tena ili nijifikishe.
Naombeni msaada jinsi gani naweza kuacha kujichua, sababu anashindwa kabisa, kufika kwa kusex kawaida
Mimi ni Mwanamke wa miaka 25 mpaka sasa, nina mume na nampenda sana.
Tabia ya kujichua niliianza mwaka 2019 nikiwa Chuo mwaka wa kwanza ambapo Ex-boyfriend wangu aliniambia “anahisi anatumia nguvu sana na sifiki kileleni.” Hivyo nikaamua kuanza kujaribu kama uwezo ninao au lah!
Nilipofanya siku ya kwanza nilihisi raha sana, ikawa mchezo wa kila siku, nilikuwa nikijichua hadi mara nne au tano kwa siku, nmejaribu sana kuacha mchezo huo lakini nashidnwa kabisa
Kwa mwezi lazima nijichue hata mara nne au tano, hata kama nimetoka kufanya mapenzi lazima basi nijichue tena ili nijifikishe.
Naombeni msaada jinsi gani naweza kuacha kujichua, sababu anashindwa kabisa, kufika kwa kusex kawaida