Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 12,332
- 36,416
Nilisikia habari zako!Hahaha 😂😂🤣.
Umejuaje?
Nilisikia habari zako!Hahaha 😂😂🤣.
Umejuaje?
Zifiche hizo habari maana vipepeo watanimiminikia.Nilisikia habari zako!
Kina bwana mjusiZifiche hizo habari maana vipepeo watanimiminikia.
Hapana wa kik 😂.Kina bwana mjusi
Hata huyo tahira mandazi hana shida🙄Hapana wa kik 😂.
Nani huyooo!Hata huyo tahira mandazi hana shida🙄
Jina kapuni simtajiðŸ«Nani huyooo!
Haya, we njoo tujenge ya kwetu. Tusiwaruhusu vikaragosi.Jina kapuni simtajiðŸ«
ZilipendwaAiseeee! Joto la dsm ni kali sana kiasi kwamba ukiweka buku mfukoni ukitoa unakuta Nyerere kavua shati.
Kweli madhari ilikua nzuri tulivu na ya kuvutia sanaNatamani kurudisha muda nyuma mpaka 1999-2000
dunia ilikuwa na rangi nzuri sana
Mpumzike kwa amani masela na ndg zangu wote
Bado napambana.
Umeandika kitu kikubwa mnoNatamani kurudisha muda nyuma mpaka 1999-2000
dunia ilikuwa na rangi nzuri sana
Mpumzike kwa amani masela na ndg zangu wote
Bado napambana.
Na bongo fleva ya mwaka 2000 ilikuwa na ujumbe na mafunzo, siyo bongo fleva ya sasa, matusi matupu yanayoharibu maadili ya watoto wetu.Ndio miaka ambayo muziki wa bongo fleva unashika hatamu kwenye anga la Tanzania na kuishusha miziki ya congo, dansi na taarabu. Mdj wakali wakali kama kina sebastian maganga, abubakary sadiki wanaibuka kuupiga sana muziki wa bongo fleva katika vituo vya redio
Sisi baba alinunua TV mwaka 1995 iliitwa Hitachi, ya chuma. Ikaja kufa mwaka 2008, eneo tulilloishi, ni familia mbili tu ndo zilikuwa na TV, kwahiyo majirani wrote wakawa wanakuja kutazama, watu wanajaa hadi kero.Basi ulikuwa wakishua wajuba tulikuwa enzi hizo games na movies mpaka vibanda umiza , majirani Wenye Tv masharti kibao wanavimba
Sani nilikuwa nalinunua kila jumamosi, pia kaka yangu alikuwa mchora katuni gazeti la Alasiri, katuni anaitwa dogo, mfupi halafu kichwa chake kimepigwa pasi juu.Kulikua na bifu la kibonzo Zena na betina gazeti la sani.
Hujakutana na 20% wewe