ELI COHEN
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 9,467
- 28,901
- Thread starter
- #121
Aisee dudubaya alichana sana mulleeehuyu dudubaya aliibukia kwenye kipindi cha hawavumi lakini wamo cha wakati huo unaenda kama ulivyo pale ITV unakutana na mtangazaji wa kipindi hicho wa wakati huo, si huyu zomboko, unarekodiwa kipindi kinaenda hewani. Hichi cha zomboko unaenda tayari una video yako, cha zamani ilikuwa unaenda kavukavu na makopokopo yako unaonesha kipaji chako tu siyo kuonesha kazi kama sasa. Dudu baya aliibuka na goma lake la Mwanangu huna nidhamu
Akaja na ile akiwa na nyandu tozi, toka sitoki
🤣🤣 Ila maisha