msomi uchwara
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 4,712
- 8,854
Miaka hiyo Mr nice na Dudubaya wametupa sana burudani. Nakumbuka Songea miaka hiyo kuna chimbo moja lilikua linaitwa Buhemba. Bata zote zipo hapo. Ujambazi ulikua wa kutosha miaka hiyo songea. Watoto tulikua tunainjoi sana maisha ukiamka asubuhi unaenda unaenda uwanjani tunaanza kucheza mpira..mchana tunaenda kuogelea jioni kuruka sarakasi kwenye mapumba ya mpunga, tunaporudi tunapitia makaburini kwenda kutikisa maembe hatujali makaburi wala nini