Tujikumbushe

Hichi bwana kinanikumbusha mbali sana

img017.jpg
 
image.png


Hii ni Gari ya Bob Marley ambayo alikuwa anaitumia mpaka mauti yanamkuta, Kwa sasa Gari hiyo imepark kwenye makumbusho huko Kingston , Jamaica.

KWELI BOB wAS MTU WA MUNGU, SIO KWAMBA MAGARI MAZURI ALIKUWA HAYAJUI WALA HAYAONI, ILA ALIONA DUNIA NA FAHARI YAKE NI UBATILI MTUPU
 
ninacho mbaka leo tena kipyaa!! i love the book!!

mi pia ninacho,kuliko vitabu vyote hili nimelikubali sana.

Hiki kitabu nilikuwa nakipenda mno!!!!

Yaani nachunga Ng'ombe huku npiga riwaya!

Ujumbe wa kitabu hiki bado unanguvu hadi kwenye maisha tunayoishi.......kuna watu hawafanyi kazi kwenye familia

zetu, lkn ndiyo wa kwanza kumpiga vita yule anae jipatia kipato kwa jasho lake.
hii kitabu nayo ni nzuri sana,kazi zote za Shaban Robert nazikubali
 
Kwa udi na uvumba, kwa gharama yoyote, nakitafuta kitabu cha Juma na Roza, tulikisoma tukiwa darasa la pili

hapo utakaa sana....wakati ule tunajifunza muandiko.....a unasema tumbo bakora ya babu.....tayari unakuwa umeshaandika a......wacha bana.......

 
Nalisikitikia taifa langu la Tanzania, taifa lililokosa waandishi. Sijui ni wapi tunakoelekea kwa kweli.
Kitabu changu cha mwisho nilichokipenda na kiliandikwa na Mtanzania Prof. Chachage, MAKUWADI WA SOKO HURIA. Kina Shigongo hawajui wanachiokifanya, wanaandika kurasa nyingi zisizo na mvuto wala zisizoeleweka.

Nalisikitikia taifa langu la Tanzania, taifa lililokosa waandishi. Sijui ni wapi tunakoelekea kwa kweli.
Kitabu changu cha mwisho nilichokipenda na kiliandikwa na Mtanzania Prof. Chachage, MAKUWADI WA SOKO HURIA. Kina Shigongo hawajui wanachiokifanya, wanaandika kurasa nyingi zisizo na mvuto wala zisizoeleweka.
wakati ule waandishi walikuwa wanajituma kuandika,sasa hivi wamekaa kibiashara zaidi
 
mweny Rosa Mistika na Alan Quatemain(sijui nimepatia).....naomba aniwekee nikumbuke.......
 
Viko wapi? I mean link ziko wapi tuvisome? mbona mmeweka maganda tu?

Msinifanye nilie.

Ribosome vipo madukani vinauzwa,nadhani kuna mdau amesema mlimani city vipo,ila ukitaka vya online vinauzwa na itabidi ulipie online,nimeona vingi ni dola 9 na kuendelea

Hahahahaaaaaa Excellent umenikumbusha mbali sana aisee....dah
Nakumbuka nilikuwaga ndo msomaji mkuu wa vitabu darasani then wengine wasikilizaji.....Niliwasomea sana kitabu cha Vuta Nkuvute na Hiba ya Wivu plus zawadi ya ushindi....
Dah long time
Erickb52 mi kipindi kilikuwa kama hakifiki,ila inakuwa raha pale mnapoanza kitabu kipya na hujui story halisi
 
Last edited by a moderator:
Excellent mwaka 1973 nilikuwa nasoma uhaziri Tabora sijui wewe ulikuwa wapi miaka hiyo?
mwaka 1975 nilisoma kitabu cha Kovu la pendo / Casimiri Kuhenga. nimekitafuta sana sijapata
1981 nilisoma kitabu chaView attachment 53846 you can imagine ..sasa umri umeshaenda kwao....ukipata Copy hizi tafadhari niambie
FirstyLady1 duh huko mbona mbali,wakati huo mi bado sijazaliwa
 
Last edited by a moderator:
Na hizi wakuu!!





Said Ahmed Mohammed keshatoa zaidi ya vitabu 30 – Riwaya 11 (ikiwepo" Asali Chungu" kigongo chake cha kwanza kilichomwagika uwanjani mwaka 1976), Tamthiliya 7, mikusanyiko minne ya Ushairi na mikusanyiko Saba ya Hadithi fupi ambayo moja wapo ni "Kiti cha Moyoni" alichochangia na Ken Walibora na "Damu Nyeusi" (pia na Ken Walibora) kikatoka 2007. Mbali na vitabu, Profesa Said ambaye ni mhadhiri wa lugha za Kiafrika chuo kikuu cha Bayreuth, Ujerumani(toka 1997) na keshachapa vitabu vingi vya watoto wa shule za msingi ambavyo lengo lake kufundisha, kutukuza na kujenga lugha na fasihi ya Kiswahili.



 
View attachment 53817Walii na Bakari....unakumbuka Bakari alivyonenepa na baadaye kushitakiwa?unakumbuka mandazi madogo yalikuwa shilingi ngapi na makubwa shilingi ngapi?Nini kilitokea mpaka mfalme akanyongwa?
Ratili moja pesa moja!!!.......Mayai ya Ratili moja pesa moja,dhahabu ya Ratili moja pesa moja hahahah!!!!!!!....Mfalme juha ilikuwa Raha tupu!!
 
hapo utakaa sana....wakati ule tunajifunza muandiko.....a unasema tumbo bakora ya babu.....tayari unakuwa umeshaandika a......wacha bana.......

nadhani kuna baadhi ya bookshop hivi vitabu vinapatikana but pia vinauzwa online
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom