Tujikumbushe shangwe zilizotawala kufurahia jaribio la kuiteka na kuua waisrael wote (river to sea) October 7, Leo hii vilio vimewageukia wao

Matusi ya nini Maalim?
Taratibu shekhe,
Kwani al-Aqsa si ipo ndani ya Jerusalem?!
Jerusalem wanaoidai wao si washapewa!?
Au hujui kama kuna Jerusalem mbili!?
Hiyo West Jerusalem ambapo kuna Al aqsa/Baytul maqdis panawahusu waislam kizazi na kizazi.
Ulitaka wapaache!?

Bado nadai majibu ya maswali yangu.
1)Je Gollan heights ni Jerusalem?
2)Je Shebah farms ni Jerusalem?
3)Je Gaza ni Jerusalem?
4)Je Sinai ilikua Jerusalem?

Nipatie majibu ya hayo maswali mkuu.
 
Ila Israel imefanya ukatili mbaya sana, ukatili huu ni mbegu za harakati zaidi kwa Palestine kudai taifa huru. Vita sio muafaka ya mgogoro huu wanaweza kushinda leo lakini hawataweza kuipata amani mpaka siku litakapoundwa taifa huru la Palestine.
Hivi vita sio vya kidini kama waswahili wanavyodandia na kupandikizana chuki

 
OCTOBER 7.....

Raia wa Israel waliotekwa wakiingizwa Gaza, wapalestina wameachiwa wawapige kama sehemu ya kusherekea

View attachment 2977589

Mitaa ya Gaza waplestina wakifurahia jaribio lilioanza la kuisafisha israel


View attachment 2977582te
Shangwe mitaa ya London, Uingereza

View attachment 2977575

Fataki zilipigwa huko Iran

View attachment 2977577

Iraq

View attachment 2977578

Kahawa ya bure mitaani na pipi kusherekea kuanza kwa zoezi la kuiteka Israel

View attachment 2977581

ISRAEL IKAJIBU

Israel ilianza kwa kuwaambia wapalestina wote waondoke Gaza ya Kaskazini ili wapigane uso kwa uso na magaidi wa Hamas japo ilichukua muda kukamilisha zoezi sababu Hamas hupenda kutumia raia kama ngao, Hata nchi jirani za kiarabu kama Misri ziliwafungia mipaka wapalestina wapambane na hali yao ! .

Vita ikaanza, Israel ililenga zaidi kulipua mahandaki ambayo hujengwa chini ya mitaa


View attachment 2977755

Mataifa ya nje yaliingilia kati na kuomba maridhiano ya kusitisha vita, vilidumu basi !! Hamas akaanza kushambulia upya ndipo Israel akaapa muda huu atatoa Disiplin hakuna mfano


Muda huu Israel alienda kazini, magaidi wa Hamas wakaanza kujisalimisha

View attachment 2977747a

Navyosema Israek aliingia kazini tuelewane, hii ni Gaza kwa sasa, inakadiriwa itachukua miaka zaidi ya 10 kuondoa vifusi.

View attachment 2977742

Kwa sasa vilio vya wale waliofurahia October 7 vimetawala, maandamano kila kukicha kuwabembeleza Israel kwamba "Imetosha", wengine kuilalamikia Israel, n.k.

View attachment 2977756
Kumbukumbu nzuri binadamu tumeumbwa kusahau.
 
Hii
Sikuwa na haja ya kusoma maana umeandika UPUUZI NA UONGO MWINGI.
Hamas kufanya toofan Aqswa kuanzia oktoba 7 2023 hawakulenga kuua waisrael wote.Hii kitu ifute akilini mwako usidanganye kiasi hiki.
Hamas ilivamia kusini mwa Israel kwa sababu zifuatazo;
1)Kuzuia mashambulizi yaliokua yakifanyika West bank ya walowezi wa kiyahudi dhidi ya mabedui kwa kuwavunjia nyumba na kuwaharibia mashamba huku wakisaidiwa na IDF,na hili tukio lilianza kufanyika tangia mwezi Julai.
2)Kutaka mabadilishano kwa ajili ya kuwakomboa watoto wa kipalestina ambao kila mwaka Israel hukadiriwa kukamata watoto 300-400 walio chini ya umri wa miaka 14 na kuwaeka jela ya jeshi kwa kisingizio ni tishio kwa usalama wa Israel,mtoto miaka 14 kwenda chini analeta tishio gani?Ndio maana UN human rights watch ilitoa ripoti kuwa Israel ni taifa pekee duniani kuwa na ukatili kwa watoto kwa kuwaeka jela za watu wazima tena jela za jeshi.
3)Kuzuia Gaza blockade and expansion,Gaza ukuta ulikua unataka kusogezwa zaidi na blockade kuongezeka ardhini na majini kiasi mpaka wa maji watu wa Gaza waliokua wanaruhusiwa kuutumia ni wa kuogelea tu hata wa kuvua samaki hautoshi.Bereta zilifungwa juu ya ukuta ku monitor Gaza,Gaza ilizidi kuwa gereza lililo wazi.
4)Kuzuia expansion of jewish settlements huko Ramallah na Jenin West bank.

Hamas haikukusudia kuua raia wote wa Israel kama udaivyo,acha udini na acha ufala wa kuokoteza propaganda za uongo.
Hamas walishasema ili amani ipatikanike Israel iache ukandamizaji na Palestina iwe nchi huru.
Hivi una habari kuwa kila mwaka nyumba sio chini ya 100 huvunjwa za WaPalestina ili kutanua makazi ya walowezi wa kiyahudi!?
Je ungelikua wewe ungekaa kimya!?

Fala kabisa wewe,wewe mpumbavu wastahili kutusiwa sio mjinga ambae anastahili kufunzwa.
Haya ya mwisho naona inakuhusu ww mwenyewe maana umeandika ujinga mtupu, acha na mamia ya raia wa Israel waliouliwa na Hamas hivi wale watanzania wawili ambao ni miongoni mwa waliouliwa walikuwa wanyama ama?
 
Sikuwa na haja ya kusoma maana umeandika UPUUZI NA UONGO MWINGI.
Hamas kufanya toofan Aqswa kuanzia oktoba 7 2023 hawakulenga kuua waisrael wote.Hii kitu ifute akilini mwako usidanganye kiasi hiki.
Hamas ilivamia kusini mwa Israel kwa sababu zifuatazo;
1)Kuzuia mashambulizi yaliokua yakifanyika West bank ya walowezi wa kiyahudi dhidi ya mabedui kwa kuwavunjia nyumba na kuwaharibia mashamba huku wakisaidiwa na IDF,na hili tukio lilianza kufanyika tangia mwezi Julai.
2)Kutaka mabadilishano kwa ajili ya kuwakomboa watoto wa kipalestina ambao kila mwaka Israel hukadiriwa kukamata watoto 300-400 walio chini ya umri wa miaka 14 na kuwaeka jela ya jeshi kwa kisingizio ni tishio kwa usalama wa Israel,mtoto miaka 14 kwenda chini analeta tishio gani?Ndio maana UN human rights watch ilitoa ripoti kuwa Israel ni taifa pekee duniani kuwa na ukatili kwa watoto kwa kuwaeka jela za watu wazima tena jela za jeshi.
3)Kuzuia Gaza blockade and expansion,Gaza ukuta ulikua unataka kusogezwa zaidi na blockade kuongezeka ardhini na majini kiasi mpaka wa maji watu wa Gaza waliokua wanaruhusiwa kuutumia ni wa kuogelea tu hata wa kuvua samaki hautoshi.Bereta zilifungwa juu ya ukuta ku monitor Gaza,Gaza ilizidi kuwa gereza lililo wazi.
4)Kuzuia expansion of jewish settlements huko Ramallah na Jenin West bank.

Hamas haikukusudia kuua raia wote wa Israel kama udaivyo,acha udini na acha ufala wa kuokoteza propaganda za uongo.
Hamas walishasema ili amani ipatikanike Israel iache ukandamizaji na Palestina iwe nchi huru.
Hivi una habari kuwa kila mwaka nyumba sio chini ya 100 huvunjwa za WaPalestina ili kutanua makazi ya walowezi wa kiyahudi!?
Je ungelikua wewe ungekaa kimya!?

Fala kabisa wewe,wewe mpumbavu wastahili kutusiwa sio mjinga ambae anastahili kufunzwa.
Lengo la hamas lilikua kuuwa raia wengi kadri walivyoweza na ndio maana walifanikiwa kuuwa raia 1400 ikiwa ni pamoja na Watanzania wenzetu wasokua na hatia, wanajeshi zaidi ya 200 pamoja na kuteka na kubaka wanawake.
Kumbuka pia walirusha makombora zaidi ya elfu 5 kwa siku.
Ilikua ni tangazo la vita na ndio maana myahudi anajibu accordingly.
 
Hamas wa mchambawima walikuja hapa baada ya lile shambulio Oktoba 7 wakisherehekea na kufurahia

Baada ya Israel wazee wa kazi kuanza kujibu mashambulizi, kwanza walianza mashambulizi ya anga wafuasi wa allah wakasema hawawezi kufanya mashambulizi ya ardhini, wamefanya mashambulizi ya ardhini na wameingia huko ghaza ndani ndani mpaka wafuasi wa allah wamepoteana

Kwa sasa zile takiibir zimeisha vimebaki vilio kama vya mbwa koko.
 
Back
Top Bottom