TUJIKUMBUSHE: Kifo cha Rais wa Malawi wahaini sita usiku wa manane" The Midnight Six" na Njama za kutaka kumpora Urithi wa Urais Joyce Banda

So what is really your message or lesson in that gabbage? Are you trying to tell us Tanzanians that that is the situation that we are in or what is in your message?? You are sick and shame on you, you will regrete or feel embarassed for this article and in fact you are doomed
In fact I'm failing to find a way of replying or commenting on this only to say that you and all the opposition groups are evil people beyong imagination,, Poleni sana na mtakula ugali na picha ya samaki for avery very very long time na hata hao mabeberu wenu wawatumieni kuja kunyunyiza hizo biological shit Tanzania lakini jua hata ndugu zenu watakufa pia kutokana na hizo biological shit SAD
:D :D :D :D :D
 
Habari za leo ndugu wasomaji wa JamiiForums.

Kisa hiki cha Rais wa Malawi Pres Bingu wa Mutharika na Makau wake Joyce Banda chaweza kuwa na funzo namna taasisi za nchini humo zilivyokuwa na maadili kwa maslahi ya wana Malawi.

Twende pamoja.

Ni usiku wa kuamkia tare 5 aprili 2012, Rais Bingu wa mutharika akiwa na kikao cha siri akiwa na wabunge wawili Mh Patricia na Mh Agnes ndipo Rais Mutharika alipata shambulio la Moyo (Heart attack) na kupelekwa hospitali ya jirani akagundulika kuwa ameshapoteza uhai.

Hata hivyo serikali ya Malawi ikishirikiana pamoja na Daktari wa Rais hawakutaka kutangaza kifo cha Mutharika ili kutoa mwanya wa kugeuza mambo kinyume cha Katiba.

Ikumbukwe kwa Muda Mrefu Rais Mutharika alikuwa amemwandaa Mdogo wake Peter Mutharika kuja kuwa mrithi wake wa urais hapo baadaye. Ndipo makuwadi na wapiga makofi wa Chama cha DPP cha Rais walipata fursa ya kugeuza mambo watakavyo.

Mwili wa Mh Rais Bingu wa Mutharika ulilazimika kubebwa ukiwa na mipira mdomoni na puani ili kuhadaa umma na wananchi kuwa Rais bado yuko hai ispokuwa yuko mahututi. Ulikimbizwa Nchini Afrika kusini.

Huku akiwa kaka yake amefariki na uvumi nchi nzima na nje ya nchi kupitia mitandao ya kijamii redio na tv Peter Mutharika hakusindikiza (kaka yake mgonjwa) akabaki nchini na mbinu za kupindua katiba ili Joyce Banda asiapishwe kuwa Rais.

TAR 6 APRILI
Mwili wa marehemu ukiwa nchini Afrika Kusini huku viongozi waandamizi wakisambaza taarifa kuwa Rais huyo hali yake ni mbaya sana na yuko mahututi.

Peter Mutharika alimwita haraka sana Mkuu wa Majeshi General Henry Odillo, lengo la wito huo ni kumuomba Kachero huyo asaidie namna ya kuhamisha madaraka na kumruka Joyce Banda. CDF huyo alitupilia mbali ombi haramu la Peter Mutharika na kumwambia kuwa siwezi kufanya hivyo na ni muhimu katiba ya nchi iheshimiwe "the constitution must be respected". Hapo Peter wa Mutharika aligonga mwamba na hakutarajia kama ingekuwa hivyo. Bado hakuridhika akatafuta ushauri haraka ndani ya masaa machache kutoka kwa Mwanasheria mkuu wa Serikali ambaye naye alimweleza bayana kuwa jambo hilo haliwezekani.

Peter mutharika alitamani muda ule CDF atangaze kuwa serikali ya malawi iko mikononi mwa Jeshi huku akijipanga namna ya kupata nafasi ya umakamu wa Rais na hatimaye aapishwe yeye kulinda maslahi ya kaka yake na MATAGA wa malawi.

TAREHE 7 APRILI 2012
Ikiwa ni usiku wa manane huku maharamia wa kidemokrasia nchini Malawi wakiwa hawajui la kufanya na muda ukizidi kuyoyoma na uvumi ukiwa unazidishamiri kila mtaa yakuwa Rais kafariki waliitisha kikao cha kupindua Umakamu wa Joyce Banda na wakakaa usiku ule bila Joyce banda kushirikishwa.

Walioshirikia walioonekana kwenye tv usiku wa manane (The Midnight Six) ni pamoja na

1. Peter Mutharika - Waziri wa Mambo ya nje wakati huo na mdogo wake Marehemu Bingu wa Mutharika

2. Patricia Kaliati- Waziri wa Habari na Elimu ya Uraia (huyu ndiye alikuwa na Raia kikao vha siri siku ya kifo chake)

3. Henry Mussa - Waziri wa serikali na mamlaka za mitaa

4. Dr Jean Kalilani - Waziri wa Afya

5. Simon Vuwa Kaunda - waziri wa michezo

6. Nicholas Dausi - Naibu waziri Ofisi ya Rais

Ikiwa giza nene linazidi kusonga huku kunakaribia kucha usiku wa kuamkia tar 7, zilisikika habari za kiintelijensia zilizomfikia Rais wa A. Kusini Jacob Zuma kuwa kuna mkakati wa hovyo na ovu unaoratibiwa na baadhi ya wanachama wa baraza la mawaziri wanataka kumpora Joyce Banda haki ya kuapishwa kupitia mbinu za kuchelewesha kutangaza kifo cha raia kupisha mwanya wao kujipanga.

Ndipo Jacob Zuma akalipua taarifa kuwa endapo ikifika mchana wa tar 7 serikali ya Malawi haitatangaza kifo cha Bingu basi yeye atachukua jukumu la Kutangaza na kuusafirisha mwili (repatriation) wa Bingu nchini Malawi.

The midnight six wakaona saaa mpango umeshakwama wakakubali yaishe na wakatangaza kuwa Rais amefariki hapo hapo wakamwapisha Joyce Banda kuwa rais.

Nini kilitokea hapo baadae.

The midnight Six wote walishtakiwa ka kosa la uhaini na kufungwa Jela.

Nini umejifunza kutokana na kisa hiki?
Hatari
 
Aisee...nimewaza kijasusi kwa makini sana. Mama samia usijali tunakuombea na hakuna mshenzi yoyote atajaribu kufanya ushenzi katika nchi hii haswa kuvuruga katiba
 
Habari za leo ndugu wasomaji wa JamiiForums.

Kisa hiki cha Rais wa Malawi Pres Bingu wa Mutharika na Makau wake Joyce Banda chaweza kuwa na funzo namna taasisi za nchini humo zilivyokuwa na maadili kwa maslahi ya wana Malawi.

Twende pamoja.

Ni usiku wa kuamkia tare 5 aprili 2012, Rais Bingu wa mutharika akiwa na kikao cha siri akiwa na wabunge wawili Mh Patricia na Mh Agnes ndipo Rais Mutharika alipata shambulio la Moyo (Heart attack) na kupelekwa hospitali ya jirani akagundulika kuwa ameshapoteza uhai.

Hata hivyo serikali ya Malawi ikishirikiana pamoja na Daktari wa Rais hawakutaka kutangaza kifo cha Mutharika ili kutoa mwanya wa kugeuza mambo kinyume cha Katiba.

Ikumbukwe kwa Muda Mrefu Rais Mutharika alikuwa amemwandaa Mdogo wake Peter Mutharika kuja kuwa mrithi wake wa urais hapo baadaye. Ndipo makuwadi na wapiga makofi wa Chama cha DPP cha Rais walipata fursa ya kugeuza mambo watakavyo.

Mwili wa Mh Rais Bingu wa Mutharika ulilazimika kubebwa ukiwa na mipira mdomoni na puani ili kuhadaa umma na wananchi kuwa Rais bado yuko hai ispokuwa yuko mahututi. Ulikimbizwa Nchini Afrika kusini.

Huku akiwa kaka yake amefariki na uvumi nchi nzima na nje ya nchi kupitia mitandao ya kijamii redio na tv Peter Mutharika hakusindikiza (kaka yake mgonjwa) akabaki nchini na mbinu za kupindua katiba ili Joyce Banda asiapishwe kuwa Rais.

TAR 6 APRILI

Mwili wa marehemu ukiwa nchini Afrika Kusini huku viongozi waandamizi wakisambaza taarifa kuwa Rais huyo hali yake ni mbaya sana na yuko mahututi.

Peter Mutharika alimwita haraka sana Mkuu wa Majeshi General Henry Odillo, lengo la wito huo ni kumuomba Kachero huyo asaidie namna ya kuhamisha madaraka na kumruka Joyce Banda. CDF huyo alitupilia mbali ombi haramu la Peter Mutharika na kumwambia kuwa siwezi kufanya hivyo na ni muhimu katiba ya nchi iheshimiwe "the constitution must be respected". Hapo Peter wa Mutharika aligonga mwamba na hakutarajia kama ingekuwa hivyo. Bado hakuridhika akatafuta ushauri haraka ndani ya masaa machache kutoka kwa Mwanasheria mkuu wa Serikali ambaye naye alimweleza bayana kuwa jambo hilo haliwezekani.

Peter mutharika alitamani muda ule CDF atangaze kuwa serikali ya malawi iko mikononi mwa Jeshi huku akijipanga namna ya kupata nafasi ya umakamu wa Rais na hatimaye aapishwe yeye kulinda maslahi ya kaka yake na MATAGA wa malawi.

TAREHE 7 APRILI 2012

Ikiwa ni usiku wa manane huku maharamia wa kidemokrasia nchini Malawi wakiwa hawajui la kufanya na muda ukizidi kuyoyoma na uvumi ukiwa unazidishamiri kila mtaa yakuwa Rais kafariki waliitisha kikao cha kupindua Umakamu wa Joyce Banda na wakakaa usiku ule bila Joyce banda kushirikishwa.

Walioshirikia walioonekana kwenye tv usiku wa manane (The Midnight Six) ni pamoja na

1. Peter Mutharika - Waziri wa Mambo ya nje wakati huo na mdogo wake Marehemu Bingu wa Mutharika

2. Patricia Kaliati- Waziri wa Habari na Elimu ya Uraia (huyu ndiye alikuwa na Raia kikao vha siri siku ya kifo chake)

3. Henry Mussa - Waziri wa serikali na mamlaka za mitaa

4. Dr Jean Kalilani - Waziri wa Afya

5. Simon Vuwa Kaunda - waziri wa michezo

6. Nicholas Dausi - Naibu waziri Ofisi ya Rais

Ikiwa giza nene linazidi kusonga huku kunakaribia kucha usiku wa kuamkia tar 7, zilisikika habari za kiintelijensia zilizomfikia Rais wa A. Kusini Jacob Zuma kuwa kuna mkakati wa hovyo na ovu unaoratibiwa na baadhi ya wanachama wa baraza la mawaziri wanataka kumpora Joyce Banda haki ya kuapishwa kupitia mbinu za kuchelewesha kutangaza kifo cha raia kupisha mwanya wao kujipanga.

Ndipo Jacob Zuma akalipua taarifa kuwa endapo ikifika mchana wa tar 7 serikali ya Malawi haitatangaza kifo cha Bingu basi yeye atachukua jukumu la Kutangaza na kuusafirisha mwili (repatriation) wa Bingu nchini Malawi.

The midnight six wakaona saaa mpango umeshakwama wakakubali yaishe na wakatangaza kuwa Rais amefariki hapo hapo wakamwapisha Joyce Banda kuwa rais.

Nini kilitokea hapo baadae.

The midnight Six wote walishtakiwa ka kosa la uhaini na kufungwa Jela.

Nini umejifunza kutokana na kisa hiki?
Nimekuelewa mkuu but Dar kuna mtu atakaepachikwa kuwa VP itabidi mama awe nae makini Sana maana ni mtu wa genge
 
kwa mazingira ya kwetu ya kutangaza kifo cha mh mama kawaacha mbali wengi sana, maana ukiangalia vizuri tangazo kalitoa bila wakuu wa vyombo na ulinzi na usalama kuwepo, na pia amelitoleo nje ya mjii mkuu dodoma/dar
Seems walimficha ila wenye nia njema wakamtonya ndio maana katangaza akiwa Tanga Ili kuwazima na pia ile kukosea kutangaza siku 14 za maombolezo alikuwa hajasoma sheria ya viongozi .

Amshukuru aliyemtonya watu wa genge bado wanasuka mbinu.

Mara kumpangia ziara mara nini Ili tuu wapuuzi wa buy time,Dunia ina mambo na madaraka sio mchezo
 
So what is really your message or lesson in that gabbage? Are you trying to tell us Tanzanians that that is the situation that we are in or what is in your message?? You are sick and shame on you, you will regrete or feel embarassed for this article and in fact you are doomed
In fact I'm failing to find a way of replying or commenting on this only to say that you and all the opposition groups are evil people beyong imagination,, Poleni sana na mtakula ugali na picha ya samaki for avery very very long time na hata hao mabeberu wenu wawatumieni kuja kunyunyiza hizo biological shit Tanzania lakini jua hata ndugu zenu watakufa pia kutokana na hizo biological shit SAD
UMEJIFUNZA NINI KUTOKANA NA KISA HIKI?
WHY POVU?
 
Seems walimficha ila wenye nia njema wakamtonya ndio maana katangaza akiwa Tanga Ili kuwazima na pia ile kukosea kutangaza siku 14 za maombolezo alikuwa hajasoma sheria ya viongozi .

Amshukuru aliyemtonya watu wa genge bado wanasuka mbinu.

Mara kumpangia ziara mara nini Ili tuu wapuuzi wa buy time,Dunia ina mambo na madaraka sio mchezo
Ndio lengo. Yeye mwenyewe angekuwa poyoyo kama aaingeelewa mambo haya. Ni mzoefu kwenye system sidhani kama angapuzia.
 
Back
Top Bottom