Optimistic Soul
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 204
- 21
mchezo mchafu sana pale unachezekaga, ticket zinanunuliwa na mtu mmoja kwa bei ya kawaida then yeye anaanza kuuza kwa bei yake anayoitaka, mie wananiudhi kweli, ukienda oficin gari imeaja, kwenye gari ticket zinauzwa!!!!
Yeah, sasa huu ndo uchaga kwenye practical, ukiangalia wanaofanya hivyo asilimia kubwa ni wachaga wenyewe, akishazikusanya nae anapanda basi anaenda kula ndafu na bia Moshiiiii.