Tujifunze Kutoka Libya

Tujifunze Kutoka Libya

Mange kimambi alisema vijana watoke Jeshi kitawalinda na alivyojitokeza Tesha ndo wakaona Jeshi litachukua nchi .

Kweli wakaingia Front

Hii ilikuwa dark psychology ambayo haina utofauti na VITA ya majiji war ya Kinjekitile Ngware

nilitegemea baada ya 29/10 Hawa wanaharakati waombe Msamaha kwa kusababisha mauaji Ila bado wanawaambia vijana waandame


Nilienda kulebTiktok nikawasilikiliza wanafanya mjadala nikajua wanaofanya mjadala sio waandanaji Ila wanalitegemea lile kundi dogo la mtaani Kama bodaboda , hustlers n.k

Kwahiyo kundi ndo kwa kiwango kikubwa lilitoka na kuuliwa 29/10 na ndo lilichoma nchi


Hata ukitazama hakuna hata mtoto mmoja wa mwanaharakati au ndugu akiyeuliwa au viongozi wa Chadema .

So hawa keyboard 100% ni watu wabaya ambao wamejaa chuki kwahiyo wanataka kukitumia kundi dhaifu kiufahamu ili waliingize barabarani .

Na hawatoweza hata kidogo
Mikakati yao imeshafeli big time,hakuna maandamano na hakutakuwa na maandamano

Jana kuna sehemu nilipita vijana wanafanya mazoezi ya mpira,nje ya uwanja wapo kama wanajeshi 15 au 20

Kwa maana vyombo vya ulinzi na usalama vipo tayar kwa tahadhari

Na kikubwa zaidi wananchi sasa wameshaona madhara ya maandamano
 
Kwamba watu wakitekwa na kuuwawa tukae kimya tu kulinda amani sio?
Ni watu gani huwa wanatekwa? Ni mwananchi au kila anayejifanya Jabari kushindana na dola

Wanaharakati hao wapo nje ya nchi kwa kuhofia uhai wao,wewe unafanya harakati hapa Tanzania unatarajia nini?
 
Kwa hiyo tuachie kikundi kinachopora, kufira na kuua huku kikihujumu uchumi wa nchi kiendelee tu au una plan nyingine? Vipi na maiti zilizofukiwa pasipojulikana tusiulizie tena? Vipi tutulie tu huku watu wakizidi kubambikiwa kesi za uhaini?
According to you what's the way forward?
Way forward kwanza, tuache harakati ambazo zitazidi kutuweka hatarini,maana huku kutekwa unapokuzungumzia tunajua wazi ni kuzungumza dhidi ya dola,kama umechoka kukaa uraiani basi zungumza na ukitekwa usilalamike

Pili, njia ya mazungumzo,serikali haiongozwi na wanyama,ni wanadammu kama sisi,wanasikia na wanajua malalamiko ya wananchi ,tatizo njia tunayo tumia sio rafiki

Ila tukiwa na nia ya kutaka suluhu itapatikana,ndio maana imeundwa tume ya maridhiano,huu ni mchakato mkubwa kuelekea kwenye kuliponya taifa

Tusubiri taarifa yao,kisha tuhoji mbona kuna hili na hili halipo hapa kwenye taarifa yenu? Hapo tayar tunafungua uwanja wa mazungumzo

Kupitia mazungumzo tutarekebisha mengi na kutatua mengi
 
Mikakati yao imeshafeli big time,hakuna maandamano na hakutakuwa na maandamano

Jana kuna sehemu nilipita vijana wanafanya mazoezi ya mpira,nje ya uwanja wapo kama wanajeshi 15 au 20

Kwa maana vyombo vya ulinzi na usalama vipo tayar kwa tahadhari

Na kikubwa zaidi wananchi sasa wameshaona madhara ya maandamano
Zile zilikuwa Vurugu au machafuko na sio maandamano .

Hao GEN Z wa Tiktok wao waliratibu vurugu Ila hawakuandamana hata mmoja hii ni research nilioifanya

Zile Account zote before 29/10
Na mpaka sasa zipo zinapost

Sasa the question ikiwa account zote zipo active means hawa Kazi yao ni kuhamasisha vurugu kwa kundi dhaifu

Kundi dhaifu ndo lilikufa 29/10 kwa kuambiwa jeshi litawalinda.

Kundi hili sio wasomi , wala hata hawajui nini wanataka.

Juzi nimemchek Nanauka nikampa mikakati kuwa katika ziara zake alicheki hili kundi

Na naona anafanya hivyo kwa sasa Nanauka ameachana na mambo ya mtandaoni yupo Field.

Kwahiyo VITA hii iliratibiwa na activists, wasomi uchwara wa Tz na mission ikafanywa na laymen wa Tz.

Just imagine MTU unaambiwa hii sheli ya Ridhiwan wewe unapiga moto bila evidence yoyote.

VITA ya Ku- raise awareness kwa young generation sio VITA ndogo hapa JF watu ukileta movement Kama hii ujue unakuwa unahatarisha ugali wao so usitegemee waisapoti kirahisi

Tutashinda.
 
Ikiwa wazungu wanavuna rasilimali zetu si sawa kabisa. Nauliza inakuaje MTZ mwenzako anavuna na wewe hufaidiki vile unavyostahili?

Ndio maana mkaambiwa kabla ya kuhubiri AMANI hakikisheni mnawatendea mema na HAKI, hii Amani itakuja tu.
Mimi na wewe tunajua kwamba hakuna Serikalli ambayo haina ufisadi hapa duniani,na Tanzania ni moja wapo

Kwahiyo cha msingi kupigania amani kwanza kisha mambo mengine yanafuatia,Panapo kuwa na amani ndio watu watakaa na kupigania mambo mengine

Hivi kama yakitokea machafuko,kuna kukaa tena na kuzungumza? Kuna kakaa tena na kutafuta haki?
 
Zile zilikuwa Vurugu au machafuko na sio maandamano .

Hao GEN Z wa Tiktok wao waliratibu vurugu Ila hawakuandamana hata mmoja hii ni research nilioifanya

Zile Account zote before 29/10
Na mpaka sasa zipo zinapost

Sasa the question ikiwa account zote zipo active means hawa Kazi yao ni kuhamasisha vurugu kwa kundi dhaifu

Kundi dhaifu ndo lilikufa 29/10 kwa kuambiwa jeshi litawalinda.

Kundi hili sio wasomi , wala hata hawajui nini wanataka.

Juzi nimemchek Nanauka nikampa mikakati kuwa katika ziara zake alicheki hili kundi

Na naona anafanya hivyo kwa sasa Nanauka ameachana na mambo ya mtandaoni yupo Field.

Kwahiyo VITA hii iliratibiwa na activists, wasomi uchwara wa Tz na mission ikafanywa na laymen wa Tz.

Just imagine MTU unaambiwa hii sheli ya Ridhiwan wewe unapiga moto bila evidence yoyote.

VITA ya Ku- raise awareness kwa young generation sio VITA ndogo hapa JF watu ukileta movement Kama hii ujue unakuwa unahatarisha ugali wao so usitegemee waisapoti kirahisi

Tutashinda.
Yote uliyosema ni sahihi kabisa,tuna shida kubwa sana kwakweli

Umemalizia vizuri sana kwamba hii vita ya kuwafungua watu walifungwa kwa propaganda za kihuni ni kazi sana,inahitajia juhudi na kutokatishwa tamaa

Tuendelee kuraise awareness ni swala la muda watakuja kutuelewa

Kwa pamoja tutashinda
 
Hivi kwa nini humwambii mama abdul kutenda haki? Umekazana tu kutuhuburia amani fake.
Wapigania amani wa kwanza kabisa ni sisi Wananchi,sisi tukiwa sawa na kuwa kitu kimoja hapo sasa tunaweza kuwanyooshea viongozi kidole na kuwaambia sisi tunataka amani

Sasa tunaleta vurugu na machafuko,je hao viongozi watakuelewa?
 
Way forward kwanza, tuache harakati ambazo zitazidi kutuweka hatarini,maana huku kutekwa unapokuzungumzia tunajua wazi ni kuzungumza dhidi ya dola,kama umechoka kukaa uraiani basi zungumza na ukitekwa usilalamike

Pili, njia ya mazungumzo,serikali haiongozwi na wanyama,ni wanadammu kama sisi,wanasikia na wanajua malalamiko ya wananchi ,tatizo njia tunayo tumia sio rafiki

Ila tukiwa na nia ya kutaka suluhu itapatikana,ndio maana imeundwa tume ya maridhiano,huu ni mchakato mkubwa kuelekea kwenye kuliponya taifa

Tusubiri taarifa yao,kisha tuhoji mbona kuna hili na hili halipo hapa kwenye taarifa yenu? Hapo tayar tunafungua uwanja wa mazungumzo

Kupitia mazungumzo tutarekebisha mengi na kutatua mengi
Serikali ni bora ingekuwa inaongozwa na wanyama, these rulers are by far worse than animals, at least wanyama huwa wanaua viumbe wengine ili wawale lakini hawa wanaoua na kufukia miili kusikojulikana calling them animals it's a big insult to all animals.
Tume ya maridhiano ni ujinga na upumbavu na ni matusi na dharau kwa kila mwenye akili timamu, tatizo namba moja la yote haya ni Samia so she has not credible and she has no legitimacy kuunda hicho alichokiita tume. Tume yenyewe siyo inclusive ni ya watu wenye mrengo wa aliye wateua na ambaye kwa macho ya baadhi ya wananchi ndiye mtuhumiwa namba moja, we ain't fools.
Samia wakati anaongea na kilichoitwa wazee wa Dar es Salaam alikiri kwa kusema kuwa kuuawa kwa wale vijana waandamanaji kulikuwa halali nadhani hakukuwa na haja ya tume kuendelea kufuja pesa za walipa kodi wakati mteuzi wa wajumbe wa tume ameshamaliza kwa kukiri order ya shoot to kill na kuitetea kuwa ilikuwa order iliyostahili.
 
Serikali ni bora ingekuwa inaongozwa na wanyama, these rulers are by far worse than animals, at least wanyama huwa wanaua viumbe wengine ili wawale lakini hawa wanaoua na kufukia miili kusikojulikana calling them animals it a big insult to all animals.
Tume ya maridhiano ni ujinga na upumbavu na ni matusi na dharau kwa kila mwenye akili timamu, tatizo namba moja la yote haya ni Samia so she has not credible and she has no legitimacy kuunda hicho alichokiita tume. Tume yenyewe siyo inclusive ni ya watu wenye mrengo wa aliye wateua na ambaye kwa macho ya baadhi ya wananchi ndiye mtuhumiwa namba moja, we ain't fools.
Samia wakati anaongea na kilichoitwa wazee wa Dar es Salaam alikiri kwa kusema kuwa kuuawa kwa wale vijana waandamanaji kulikuwa halali ndhani hakukuwa na haja ya tume kuendelea kufuja pesa za walipa kodi wakati mteuzi wa wajumbe wa tume ameshamaliza kwa kukiri order ya shoot to kill na kuitetea kuwa ilikuwa order halali.
Asante kwa maoni yako mazuri, nakubaliana na wewe kuhusu wasiwasi wa tume hiyo na taarifa zake

Tunachokwama wengi wetu ni subira,ukitaka kumpata kobe vizur muache atoe kichwa chake kwenye gamba lake

Hii itume kwasasa ni kama kobe aliyeficha kichwa chake,tusubir wakusanye taarifa kisha watatoa kichwa nje ya gamba

Hapo sasa ndio tuhoji kuna hili na kuna ushahidi wa picha na kimazingira,mbona nyie mmetupa taarifa tofauti?

Je hapo hujafanikiwa kuanika uozo wowote uliofichwa?
 
Asante kwa maoni yako mazuri, nakubaliana na wewe kuhusu wasiwasi wa tume hiyo na taarifa zake

Tunachokwama wengi wetu ni subira,ukitaka kumpata kobe vizur muache atoe kichwa chake kwenye gamba lake

Hii itume kwasasa ni kama kobe aliyeficha kichwa chake,tusubir wakusanye taarifa kisha watatoa kichwa nje ya gamba

Hapo sasa ndio tuhoji kuna hili na kuna ushahidi wa picha na kimazingira,mbona nyie mmetupa taarifa tofauti?

Je hapo hujafanikiwa kuanika uozo wowote uliofichwa?
Let us agree to disagree on the approach of this very sensitive topic.
 
Hahaha hatuhitaji maji au umeme wa bure, haki na usalama wetu kwanza, na Libya naturally is very rich state, yeyote mwenye akili kidogo anayeelewa haki angeweza kuifanya nchi tajiri na nzuri sana , Gaddafi was good lakini aliifanya Libya kama mali yake binafsi na familia yake, acha watwangane tuu ili waheshimiane na kuheshimu haki ya kila mtu
Hizo habar potofu ndio propaganda kubwa zIlizo fanywa dhidi ya Utawala wa Gaddafi

Gaddafi alisema sitamjengea mama yangu nyumba mpaka wananchi wangu wapate makazi,je hilo linasemwa?

Wanandoa kupewa nyumba na pesa ya kuanzia maisha je inasemwa?

Nchi haikuwa na deni hata shilingi,je inasemwa?

Gaddafi kaacha nchi ina reserve ya kitu kama dola million 300,je inasemwa?
 
..Gadaffi alikuwa akiwafadhili silaha magaidi wa Sierra Leone kwa malipo ya almasi.

..Gadaffi pia alikuwa swahiba mkubwa wa Charles Taylor wa Liberia.

..hata Museveni wa Uganda alipokuwa muasi alikuwa akifadhiliwa na Gadaffi.

..kwa kifupi Gadaffi ana damu ya maelfu ya Waafrika mikononi mwake.
Acha upotoshaji
 
"Watu ambao walikuwa hawajui kulipa bill za maji au umeme,watu ambao walikuwa wanaingiziwa gawio kwenye account zao kutoka kwenye uchumi wa mafuta,leo hii hawana amani,wengi wanakufa baharini huko katika jitihada za kueleka Ulaya."

Vipi sisi tunafaidika na nini toka kwenye gesi, uranium, tanzanite, dhahabu, makaa ya mawe, almasi, chuma, kilimanjaro, serengeti, bandari salama,tanga na mtwara? Na nyinginezo chungumzima..
Bora hata tungekuwa tunafaidika basi na mali za nchini mwetu, maliasili kibao ila afya mbovu , maji tabu, elimu kipengele, miundombinu jau.. wakati mwingine bora mkae kimya tu.
 
Kijana una shangazi mjinga
Wazungu hawapo kumsaidia Mwafrika wao ni opportunity seeker

Mimi nina Shanganzi yangu kaajiriwa UN kituo cha Kazi SUDAN.

Wakati Ana re new contract yake Aliwahi kutuambia kuwa wale wasudani wakigombana wao wanapata hela


Anasema kwa sasa kipato kimeshuka kwakuwa hawagombani

Kwahiyo USA n.k huenda kuiba Mafuta kule

Kwahiyo ukisikia VITA zinakuwa zinadhaminiwa na hao Mabeberu na ndo UN na ndo huiba Mafuta , madini n.k

kwahiyo ninapokuwa nawaona hawa Chadema wanawasifu wazungu najua kabisa washalipwa

ni vile sisi hatuna Mali nyingi Kama Mafuta Ila tungekuwa nazo tungewapa wazungu na Kama tungewanyima basi wangeingiza nchi yetu katika machafuko

Utajiri wa USA ukiufatilia Unatokana na wizi
 
JF IPO na watu wakumezeshwa taarifa Ila hawana uwezo kujua taarifa hii Kaileta nani na kwa lengo. Gani

Western countries hazijawahi kumsaidia Mwafrica .

Huwa nikikaa na hawa Diaspora unaona wapo na akili zile zile za kitumwa za kuamini wazungu wanawasaidia.

Mzungu anafanya biashara , mzungu analeta VITA ili auze silaha , mzungu anaiba Mali


Kama , una MTU ambaye anafanya Kazi UN katika nchi zenye apolitical instability anaweza akakukupa taarifa in details


Tuseme ndio CONGO kuna VITA Ila mbona sehemu madini yanapopatikana hakuna VITA ?

Au pale SUDAN sehemu mafuta yanapochimbwa hakuna VITA

Kwahiyo unaelewa kuwa hawa wazungu wanosifiwa na wanahaharakati hao wanaharakati wanakuwa wamelipwa


SSH kuhusu hilo alikuwa sahihi .
Kwaiyo wazungu ndo waliwatuma
Kufanya uchaguzi wa ulaghai
Kuteka na kuuwa watu holela
Kubambikia watu kesi za uhaini na ugaidi
Kupora mamlaka ya mahakama na bunge
Tuache maneno, serikali isitafute chaka kusingizia wazungu
 
Kwaiyo wazungu ndo waliwatuma
Kufanya uchaguzi wa ulaghai
Kuteka na kuuwa watu holela
Kubambikia watu kesi za uhaini na ugaidi
Kupora mamlaka ya mahakama na bunge
Tuache maneno, serikali isitafute chaka kusingizia wazungu

Je nchi za Africa unahisi zilikuwa hivi kabla ya ukoloni?
 
Wewe unang'ang'ana na CCM. wakati mimi nakueleza kuwa hakuna CCM; kuna kundi la waovu, Samia akiwa miongoni mwao. Hakuna cha mfumo wala nini; ni kundi la majambazi walioteka taifa zima na kufanya uovu wao wakitumia dola.

Hata kama utaiita hali hiyo kuwa ni "mfumo"; sasa unataka waTanzania wabweteke tu kwa vile ni mfumo?
Watu wafanye "mazungumzo" na mfumo ili mfumo huo ndio uamue kuwahurumia waTanzania wanaonyimwa haki zao?
Mawazo yenu haya yatakuwa yana kasoro kubwa sana.

Kwa nini hutaki watafute njia za kujitoa kwenye hiyo hali ya umateka; huku ukitetea hali hiyo izidi kuimarika!

Hii inaingia akilini? Unayo maslahi gani na huo mfumo wewe?

Wewe hukuwahi kusikia uwepo wa "mazungumzo ya maridhiano"; na wala hujawahi kusikia waTanzania wakimsihi Samia awe na subira ili pawepo na marekebisho ya sheria za uchaguzi? Wewe na wenzako mnataka mazungumzo na Genge lilelile ambalo limekwisha onyesha wazi kabisa nia yake ni nini juu ya taifa hili!
Hicho wanachotafuta hao Genge ndicho mnachokuja humu JF kukipigania.

Halafu mnajivisha "uzalendo"!
Tuchukulie kwamba upo sahihi kwa maelezo yako

Je, kuondoa mfumo huu kandamizi ni kupitia maandamano ya fujo na vurugu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom