"Watu ambao walikuwa hawajui kulipa bill za maji au umeme,watu ambao walikuwa wanaingiziwa gawio kwenye account zao kutoka kwenye uchumi wa mafuta,leo hii hawana amani,wengi wanakufa baharini huko katika jitihada za kueleka Ulaya."
Vipi sisi tunafaidika na nini toka kwenye gesi, uranium, tanzanite, dhahabu, makaa ya mawe, almasi, chuma, kilimanjaro, serengeti, bandari salama,tanga na mtwara? Na nyinginezo chungumzima..
Bora hata tungekuwa tunafaidika basi na mali za nchini mwetu, maliasili kibao ila afya mbovu , maji tabu, elimu kipengele, miundombinu jau.. wakati mwingine bora mkae kimya tu.