ERTUGRUL BEY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 11,532
- 21,533
- Thread starter
- #81
Amani kwanza,kama maji tangu uhuru bado ni shida kwanini liwe tukio la kustaajabisha sàsa hivi?Maji yanatoka kwako?
Amani Amani Amani
Amani kwanza,kama maji tangu uhuru bado ni shida kwanini liwe tukio la kustaajabisha sàsa hivi?Maji yanatoka kwako?
Unaongea huu upuuzi kwa vile haujawa mhanga wa madhila ya uhalifu uliofanywa na hii serikali haramu na bado unaendelea kufanyika dhidi ya RAIA , ukipatwa na madhila ya huu udhalimu wa serikali haramu hutakuja hapa kuandika huu upumbavu wakoBwana Kalamu,
Hilo liko wazi juu ya mtazamo wako kwangu mimi,binafsi halinipishida
Sisi hapa tunapigania amani ambayo kama wananchi tunaweza kuendelea na maisha yetu ya kila siku,tukalima,tukafanya biashara,tukasoma,na kushiriki katika shughuli mbali mbali za uchumi
Hayo mambo ya haki nyingine nyingi ni mambo mtambuka,ni process,sasa wakati inatafutwa namna ya kukaa mezani na kutatua changamoto ambazo nyingine ni za kikatiba,basi mwananchi huyu wa kawaida aendelee na maisha ya kila siku
Nakukumbusha tu Humphrey Pole pole ,Job ndugai , magufuri , Jenister Mhagama walikuwa ni machawa wa mfumo dhalimu kuliko wewe na walipata benefits mara milioni kuliko nyinyi wapumbavu makapuku msio na akili mnaosambaza propaganda mfu humu za serikali haramu ya kigaidi ya com Ila Leo hawapo hai na wamemalizwa na mfumo dhalimu huo ,sasa we ngoja Muda si mrefu litakukuta jamboAmani kwanza,kama maji tangu uhuru bado ni shida kwanini liwe tukio la kustaajabisha sàsa hivi?
Amani Amani Amani
Nakukumbusha tu Humphrey Pole pole ,Job ndugai , magufuri , Jenister Mhagama walikuwa ni machawa wa mfumo dhalimu kuliko wewe na walipata benefits mara milioni kuliko nyinyi wapumbavu makapuku msio na akili mnaosambaza propaganda mfu humu za serikali haramu ya kigaidi ya com Ila Leo hawapo hai na wamemalizwa na mfumo dhalimu huo ,sasa we ngoja Muda si mrefu litakukuta jamboHawa vijana safari hii wakiingia road kupinga serikali wakishikwa wawekwe nondo za moto makalioni.
Amani gharama yake kubwa kuliko haki.
Haki unaweza kuijenga kwa siku moja but amani hujengwa kwa miaka ming
Ni heri mchague aidha nyie wapumbavu muhame nchi au mkubali kuwa Rais Samia ndiye Rais wenu.
Kinyume na hapo pressure itawaua maana matarajio yenu hayatafanikiwa hata kwa 05% .
Never
Iko hivi mara nyingi mtu hawezi ona neema ya kitu au mtu mpaka amputee au hicho kitu kipoteeHyo libya wamefeli sawa shda kubwa ilikuwa kwa gadafi huwenz kufuga watu km kuku wa kisasa.mabadiliko yanakipndi chake yakija hayazuiliki ukizuia matokeo yake unaleta machafuko.tunisia misri walipitia haya mbona hawana vita.vp kenya ghana wamekubali kuleta mabadiliko kwa wananchi na kuongoza cyo kutawala km ccm.
Ukifuatilia vizur historia ya Libya chini ya Colonel Muammar Gaddafi, nchi ilikuwa inaweka maslahi ya walibya mbele..umeeleza vizuri sana kwamba ukivunja HAKI unahatarisha AMANI.
..amani ya Libya ilitoweka baada ya Gadaffi kuanza kukanyaga HAKI za wenzake.
factKuitoa CCM sio jambo jepesi Kama unavyofikiria .
Nadhani ile 29/10 umejionea mwenyewe .
Lazima uwe na mikakati na haya maneno yenu mnayokuwa mnaandika kufarijiana.
Ile 29/10 inakupa picha kamili kuwa kelele , maandamano n.k bado ni njia dhaifu na duni.
Sisi tutatumia mazungumzo na nyie tumieni maandamano.
Sasa ebu wakati mwingine muwe mnayaangalia mambo kwa uhalisia wake basiSwali zuri kabisa.
Lakini yeye mwenyewe anafikiri mada yake inakidhi mahitaji ya propaganda potofu anayoieneza.
Hata hana mfano mmoja wa upande wa pili wa mada yake?
Ni nchi ngapi zimekombolewa toka kwa viongozi dhalimu, waovu kama Samia na kuendelea kuwa nchi za kutolewa mfano?
MAZUNGUMZO, ndiyo yaliyoondoa utawala wa Hitler na waovu wengine duniani?
Ukifuatilia vizur historia ya Libya chini ya Colonel Muammar Gaddafi, nchi ilikuwa inaweka maslahi ya walibya mbele
Na makapuni ya nje hayakuruhusiwa kuchimba mafuta na hata yalichimba basi yalikuwa kwa maslahi ya Libya zaidi,mwa maana Serikalli ilikuwa makini kuhakikisha Libya inanufaika na uchumi wake
Kama unavyojua,mabwana wakubwa hiki hawakulipenda hivvyo wakaanzisha fitina kupitìa wazawa ili Utawala wa Gaddafi uonekane una matatizo,ili mwisho wa siku wapate uhalali wa regime change
Haya ndio yanayotokea sasa hapa Tanzania, inasemekana baadhi ya wanaharakati wanafadhiliwa na makampuni ya nje kama Ford
Cha kujiuliza ni wangapi wapo nyuma ya Ford??
Je, dhumuni lao ni nini hasa?
Watanzania tutulize vichwa vyetu na kutafakari kwa kina sana,tusiingie kwenye anga za adui yetu
Sasa ebu wakati mwingine muwe mnayaangalia mambo kwa uhalisia wake basiSwali zuri kabisa.
Lakini yeye mwenyewe anafikiri mada yake inakidhi mahitaji ya propaganda potofu anayoieneza.
Hata hana mfano mmoja wa upande wa pili wa mada yake?
Ni nchi ngapi zimekombolewa toka kwa viongozi dhalimu, waovu kama Samia na kuendelea kuwa nchi za kutolewa mfano?
MAZUNGUMZO, ndiyo yaliyoondoa utawala wa Hitler na waovu wengine duniani?
Hakuna kurudi nyuma ni hakuna maandamano yasiyo kuwa na dira wala mwelekeoNyie mnaandika Ila hamuingii Field kupambana .
Mnafikiri CCM itatoka madarakani kwa maneno matupu ?
Sikia acheni hizi mambo za kuamini kuna MTU atakupambania .
Mnataka vijana warudi barabarani wauliwe tena au Mnataka nini
Nyie watoto wenu mnawalinda Ila mnataka watoto wengine wakaandamane .
Big NO tuta -push agenda hakuna maandamano nyie key body ni watu selfish
Halafu wanakuja watanzania wasio jitambua maskini ya mungu wanaongea upuuzi mtupuWazungu hawapo kumsaidia Mwafrika wao ni opportunity seeker
Mimi nina Shanganzi yangu kaajiriwa UN kituo cha Kazi SUDAN.
Wakati Ana re new contract yake Aliwahi kutuambia kuwa wale wasudani wakigombana wao wanapata hela
Anasema kwa sasa kipato kimeshuka kwakuwa hawagombani
Kwahiyo USA n.k huenda kuiba Mafuta kule
Kwahiyo ukisikia VITA zinakuwa zinadhaminiwa na hao Mabeberu na ndo UN na ndo huiba Mafuta , madini n.k
kwahiyo ninapokuwa nawaona hawa Chadema wanawasifu wazungu najua kabisa washalipwa
ni vile sisi hatuna Mali nyingi Kama Mafuta Ila tungekuwa nazo tungewapa wazungu na Kama tungewanyima basi wangeingiza nchi yetu katika machafuko
Utajiri wa USA ukiufatilia Unatokana na wizi
Halafu wanakuja watanzania wasio jitambua maskini ya mungu wanaongea upuuzi mtupWazungu hawapo kumsaidia Mwafrika wao ni opportunity seeker
Mimi nina Shanganzi yangu kaajiriwa UN kituo cha Kazi SUDAN.
Wakati Ana re new contract yake Aliwahi kutuambia kuwa wale wasudani wakigombana wao wanapata hela
Anasema kwa sasa kipato kimeshuka kwakuwa hawagombani
Kwahiyo USA n.k huenda kuiba Mafuta kule
Kwahiyo ukisikia VITA zinakuwa zinadhaminiwa na hao Mabeberu na ndo UN na ndo huiba Mafuta , madini n.k
kwahiyo ninapokuwa nawaona hawa Chadema wanawasifu wazungu najua kabisa washalipwa
ni vile sisi hatuna Mali nyingi Kama Mafuta Ila tungekuwa nazo tungewapa wazungu na Kama tungewanyima basi wangeingiza nchi yetu katika machafuko
Utajiri wa USA ukiufatilia Unatokana na wizi
Siwezi kusema chochote kuhusiana na comment yako kwamba sasa hivi hakuna CCM, maana hizo ni tuhuma tu,sasa huwezi kupoteza muda kuzungumzia porojoKwanza upotofu wako ni kudhani kuna CCM, kama chama. Huo ni udanganyifu ulio wazi.
Pangekuwa na CCM, Samia asingekuwa alipo sasa hivi. Kwa hiyo huo ni upotoshaji mnaoufanya kwa maksudi kabisa.
Kilichopo sasa hivi ni kundi la watu waovu kabisa, wachache sana wanaotumia jina la hicho chama; kundi lililoteka vyombo vya usalama kutumia mitutu ya bunduki kulinda maslahi yao.
Sasa wewe unajuawaje kuwa waTanzania hawana mikakati; na badala yake mnataka wakubali matakwa ya hao wanaowatuma kuja humu kueneza upotofu ili kulinda uovu.
JF IPO na watu wakumezeshwa taarifa Ila hawana uwezo kujua taarifa hii Kaileta nani na kwa lengo. GaniHalafu wanakuja watanzania wasio jitambua maskini ya mungu wanaongea upuuzi mtupu
Siwezi kuzungumzia kama kuna CCM au laa,kwasababu hizo ni tuhuma,maana siwezi poteza muda kujadili porojoKwanza upotofu wako ni kudhani kuna CCM, kama chama. Huo ni udanganyifu ulio wazi.
Pangekuwa na CCM, Samia asingekuwa alipo sasa hivi. Kwa hiyo huo ni upotoshaji mnaoufanya kwa maksudi kabisa.
Kilichopo sasa hivi ni kundi la watu waovu kabisa, wachache sana wanaotumia jina la hicho chama; kundi lililoteka vyombo vya usalama kutumia mitutu ya bunduki kulinda maslahi yao.
Sasa wewe unajuawaje kuwa waTanzania hawana mikakati; na badala yake mnataka wakubali matakwa ya hao wanaowatuma kuja humu kueneza upotofu ili kulinda uovu.
Siwezi kuzungumzia kama kuna CCM au laa,kwasababu hizo ni tuhuma,maana siwezi poteza muda kujadili porojoKwanza upotofu wako ni kudhani kuna CCM, kama chama. Huo ni udanganyifu ulio wazi.
Pangekuwa na CCM, Samia asingekuwa alipo sasa hivi. Kwa hiyo huo ni upotoshaji mnaoufanya kwa maksudi kabisa.
Kilichopo sasa hivi ni kundi la watu waovu kabisa, wachache sana wanaotumia jina la hicho chama; kundi lililoteka vyombo vya usalama kutumia mitutu ya bunduki kulinda maslahi yao.
Sasa wewe unajuawaje kuwa waTanzania hawana mikakati; na badala yake mnataka wakubali matakwa ya hao wanaowatuma kuja humu kueneza upotofu ili kulinda uovu.
Huo ndio ukweli haihitaji jambo hili uwe na elimu kubwa sana,kwa kuangalia mifano mingi kama uliyosema hapo yatosha kabisa kujua ukweli wa mamboJF IPO na watu wakumezeshwa taarifa Ila hawana uwezo kujua taarifa hii Kaileta nani na kwa lengo. Gani
Western countries hazijawahi kumsaidia Mwafrica .
Huwa nikikaa na hawa Diaspora unaona wapo na akili zile zile za kitumwa za kuamini wazungu wanawasaidia.
Mzungu anafanya biashara , mzungu analeta VITA ili auze silaha , mzungu anaiba Mali
Kama , una MTU ambaye anafanya Kazi UN katika nchi zenye apolitical instability anaweza akakukupa taarifa in details
Tuseme ndio CONGO kuna VITA Ila mbona sehemu madini yanapopatikana hakuna VITA ?
Au pale SUDAN sehemu mafuta yanapochimbwa hakuna VITA
Kwahiyo unaelewa kuwa hawa wazungu wanosifiwa na wanahaharakati hao wanaharakati wanakuwa wamelipwa
SSH kuhusu hilo alikuwa sahihi .
Haya ni matunda ya amani iliyopo nchini ndio maana unapata muda wa kutukana baada ya kushiba ugali wako na maharageKum@ LA mamako , ccm na mbwa koko wala makombo Kama wewe lazima mfutwe kwenye USO wa dunia ,worthless creatures ,mbwa takataka.......Ccm ni kikundi cha kigaidi na maharamia wauaji waliojipachika madarakani bila ridhaa ya wananchi
Siwezi kuzungumzia kama kuna CCM au laa,kwasababu hizo ni tuhuma,maana siwezi poteza muda kujadili porojo
Kwahiyo sehemu yenu ya mikakati ni kubadilisha tarehe za maandamano kila kukicha,na kutaka mpaka kuandamana kwenye sikukuu za dini
Sishangai nikisikia hata Mei Mosi mtaandamana
Acheni ujinga watanz
Huo ndio ukweli haihitaji jambo hili uwe na elimu kubwa sana,kwa kuangalia mifano mingi kama uliyosema hapo yatosha kabisa kujua ukweli wa mambo
Tatizo wabongo wengi tukipata taarifa huwa tunazimeza kama zilivyo bila kuitafakari,na kibaya zaidi tunazisambaza kana kwamba tuna uwakika na ukweli wake
Wanakuja wapuuzi fulani sijui shell za Lake ni za Kikwete,hao wakaenda kuzichoma
Mwenyewe juzi kasema leteni ushahidi,tunasubiri ushahidi upelekwe
Hatukatai kuna ufisadi lakini sio kila tuhuma ni za kwelli,mnawalisha vijana wetu upuuzi mwingi hao road wamepoteza maisha 29 Oct mko hapa jf mnaropoka tu
Maoni yako ni mazuriILI AMANI IWE ENDELEVU LAZIMA SERIKALI NAYO IKUBALI KUWA INAMAKOSA NA KUYAFANYIA KAZI.MFANO UTEKAJI LAZIMA IACHE.KAMA MTU ANAKOSA AKAMATWE KWA UWAZI NA SIYO KWA KUMTEKA.PIA IPUNGUZE UPENDELEO WA WAZIWAZI KWENYE NAFASI ZA UTEUZI NA KUKUTUMIA RASILIMALI TULIZONAZO KWA UFANISI ILI KUHAKIKISHA KILA MTANZANIA ANANUFAIKA NA RASILIMALI HIZO.
Tanzania tuna rasilimali nyingi sana ambazo zInawavutia wazungu, tukifanya kosa moja la kiufundi utawaona hawa hapaSudan kuna wazungu; Mali kuna wazungu; Nigeria kuna wazungu; Yemen, kuna wazungu? n.k., n.k.,
huoni kuwa ajenda yako ipo nje nje kabisa?