Tujifunze Kutoka Libya

Tujifunze Kutoka Libya

Kwa lugha yoyote ambayo tunaweza kutumia,iwe vijana wasio jielewa,wenye hasira kali,wakurupukaji,haiondoi ukweli kwamba walijazwa upepo na watu ambao hawapo front kwenye maandamano
Huu ndio upuuzi ninaokueleza tangu mwanzo, kujifanya wewe na Samia kuwa ndio wenye akili kuzidi hao wengine wote.
Hao vijana hawana akili, tena zaidi yenu na huyo Samia. Kwa nini mnataka waonekane kama wao ubinaadam wao ni hafifu kuliko nyinyi?
Wao hawaitakii nchi yao mema, kuwa na viongozi watakaoleta umoja na fursa kwa waTanzania wote, tena hasa kwao hao vijana ambao ndiyo kwanza wanajenga maisha yao?

Wewe na Samia ni akina nani hadi muwaone kuwa wamepungukiwa, kuwa watu wa kurubuniwa tu!

Kwenye fikra kama hizi ninakudharau kabisa.
 
Umekwepa swali kiaina ndugu yangu "Kalamu"
Swali gani nililokwepa. Huwa sina konakona hata kidogo.
Kama hutaki kusoma na kuelewa kilichoandikwa hilo siyo tatizo langu.

Sina sababu yoyote ya kukwepa chochote katika mijadala inayohusu ustawi wa taifa letu.
 
hii ya kuingiziwa gawio (ela bure ) ni story zavijiweni..
 
Kama unataka kujuwa, jibu langu ni rahisi sana.
"Uislam" kama dini siyo shida kwangu; shida kwangu ni watu wa aina yako mnaopenda kujificha ndani ya uislam huku mkifanya maovu kwa binaadam wengine. Hilo ni shida kubwa sana kwangu.

Sasa basi, kama unapenda kuelewa, nielewe hivyo; vinginevyo endelea kujificha huko kwenye dini huku ukiitumia vibaya; kama inavyotumika CCM wakati huu.
CCM kama chama kimegeuzwa kuwa cha kishetani kabisa; kumbe ni hao viongozi wenye matendo maovu ndio wanaoharibu.

Najuwa vyema maana ya swali lako hilo, na wala siyo mtu wa kwanza kutumia njia hiyo kupenyeza maana unayotaka wewe ionekane kuwa ndiyo shida yangu. Hii ni njia inayotumika kila mara na watu kama wewe.
Katika hili ngoja tukubaliane kutokukubaliana

Naweza kuwa na maswali mengi sana juu yako juu ya haya madai yako

Asante
 
Katika hili ngoja tukubaliane kutokukubaliana

Naweza kuwa na maswali mengi sana juu yako juu ya haya madai yako

Asante
Huwa sina konakona zozote katika maoni yangu; ukitaka kuweka hayo mapindopindo yako hilo ni shauri lako.

Sasa unataka kunilazimisha niwe nisivyokuwa kwa kuwa hali hiyo ndiyo inayokusumbua wewe?

Imani yako ni yako; na imani ya wengine ni yao' kwa nini tulazimishane juu ya hilo.

Lakini ukitafuta kulazimisha kwenye uTanzania wangu; hapo hatutaelewana kamwe.

Elewa hivyo, kama unaweza kuelewa.
 

View attachment 3515158

My people,​


15 - February -2011

Benghazi, Libya

Ghasia zilianza rasmi baada ya Utawala wa Muammar Gaddafi kumkamata mwanasheria anayejulikana kwa jina la Fathi Terbil ambaye alikuwa mtetezi wa haki za binadamu

Baada ya wananchi kujua hilo tukio walikasirishwa sana,na hapo ndipo Maandamano rasmi yalianza viunga vyote vya Libya

Baadae Serikali ilitumia nguvu kubwa kwa kuwapiga risasi waandamanaji,baadae wandamanaji nao wakapora silaha na kuunda vikundi wa uasi dhidi ya Serikali

Kutoka maandamano ikaja kuwa vita ya wenyewe kwa wenyewe, nchi yote ikachafuka hatimaye NATO ikaingilia kati na kufunga anga na kuanza kuwapiga au kuwashambulia askari au wanajeshi wa jeshi la libya,mwisho wa siku Utawala wa Gaddafi ukaanguka

Kilichofuatia baadae nchi haikutawalika tena,uasi ukawa mwingi na machafuko ikawa sehemu ya maisha ya kila siku ya Libya

Watu ambao walikuwa hawajui kulipa bill za maji au umeme,watu ambao walikuwa wanaingiziwa gawio kwenye account zao kutoka kwenye uchumi wa mafuta,leo hii hawana amani,wengi wanakufa baharini huko katika jitihada za kueleka Ulaya.

Wananchi jua kwamba nasi ikifikia hatua hiyo ya machafuko,wazungu wataingilia kati ,si kwakuwa wanatupenda ila kwa ajili ya Kuja kuvuna rasilimali za Tanzania

Ndio maana baadhi yetu tunapoamua kuwa mabalozi wa amani tunajua nini maana ya kukosa amani,tunajua si ushujaa kuwa wakimbizi

Kwahiyo tujue kwamba AMANI NI TUNU YETU BASI TUILINDE KWA WIVU MKUBWA

Tunashukuru na kufurahi kuona kwamba kuna members wengi wanatuunga mkono kwenye hii kampeni itakayodumu hadi 31 Dec 2025

Tanzania ni yetu basi tudumishe amani ya nchi yetu

Ni hayo tu!
Huna jipya,heri tuwe kama Libya tu na tukifika huko ujue ccm ndio chanzo na si wananchi
 
Tanzania tuna rasilimali nyingi sana ambazo zInawavutia wazungu, tukifanya kosa moja la kiufundi utawaona hawa hapa
Acheni ujinga hakuna kitu kama hicho, kwamba wazungu ndio walisababisha haya machafuko, hapa ndio ujinga wa mwafrika ndio unathirika, inawezekana vipi migogoro ilikua chanzo sisi kushindwa kuelewa jambo la uchaguzi huyu anataka hivi na huyu anataka hivi, na tena kwa akili yetu finyu tunarudi tena kulaumu wazungu bila kulekebisha, tatizo lilitufanya tuuane hivi! na ingawa inasikitisha sana na waliofanya maauji binadamu na watanzania wezao hakuna aliyewajibika!!
 
Hizo habar potofu ndio propaganda kubwa zIlizo fanywa dhidi ya Utawala wa Gaddafi

Gaddafi alisema sitamjengea mama yangu nyumba mpaka wananchi wangu wapate makazi,je hilo linasemwa?

Wanandoa kupewa nyumba na pesa ya kuanzia maisha je inasemwa?

Nchi haikuwa na deni hata shilingi,je inasemwa?

Gaddafi kaacha nchi ina reserve ya kitu kama dola million 300,je inasemwa?
Hili jambo la libya na gaddafi imekua kitu cha kulingasha mfano kwenye tawala za mabavu ili kuuaminisha, wananchi kwa haki wanayotaka kuidai.
 
Hili jambo la libya na gaddafi imekua kitu cha kulingasha mfano kwenye tawala za mabavu ili kuuaminisha, wananchi kwa haki wanayotaka kuidai.

Unajua sisi waswahili ni Motherfucker Sana

Yaani MTU anaamini kuwa wazungu wapo kuzisaidia nchi za Africa !!

Huu ni -umotherfucker mkubwa Sana .


Hao wazungu ni wajinga na wezi ambao hawafai hata kupewa sikio kusikilizwa


Na wamekuwa wakipenyeza ajenda zao Kama dini, siasa, elimu n.k mifumo ya kibepari ili kuzikandamiza nchi za Africa


So Mimi nawashangaa Sana waswahili wenzangu kukosa kulielewa hili
 
Bila hiki kilichofanyika mazungumzo ilikuwa ni kupotezeana muda. Tena inatakiwa tupate silaha ili tukiingia kwenye mazungumzo ifahamike nini tunaongea. Haya mambo ya kutuambia wazungu sijui uchafu gani, kawaokoteni waliolala.
Hapo ndio mmeanza kuamka watanzania hata heshima itakuwepo nchini, nashangaa kumbembeleza mwenye kosa, nikumpa kichwa tu aendelee kurudia matendo mabaya??
 
Unajua sisi waswahili ni Motherfucker Sana

Yaani MTU anaamini kuwa wazungu wapo kuzisaidia nchi za Africa !!

Huu ni -umotherfucker mkubwa Sana .


Hao wazungu ni wajinga na wezi ambao hawafai hata kupewa sikio kusikilizwa


Na wamekuwa wakipenyeza ajenda zao Kama dini, siasa, elimu n.k mifumo ya kibepari ili kuzikandamiza nchi za Africa


So Mimi nawashangaa Sana waswahili wenzangu kukosa kulielewa hili
Wewe kwa akili yako bila mzungu unazani mswahili atakua na maisha haya, ya Teknolojia ndio itakua hali mbaya zaidi sema waswahili huwa mnasahau, mlikotoka??
 


View attachment 3515158

My people,​


15 - February -2011

Benghazi, Libya

Ghasia zilianza rasmi baada ya Utawala wa Muammar Gaddafi kumkamata mwanasheria anayejulikana kwa jina la Fathi Terbil ambaye alikuwa mtetezi wa haki za binadamu

Baada ya wananchi kujua hilo tukio walikasirishwa sana,na hapo ndipo Maandamano rasmi yalianza viunga vyote vya Libya

Baadae Serikali ilitumia nguvu kubwa kwa kuwapiga risasi waandamanaji,baadae wandamanaji nao wakapora silaha na kuunda vikundi wa uasi dhidi ya Serikali

Kutoka maandamano ikaja kuwa vita ya wenyewe kwa wenyewe, nchi yote ikachafuka hatimaye NATO ikaingilia kati na kufunga anga na kuanza kuwapiga au kuwashambulia askari au wanajeshi wa jeshi la libya,mwisho wa siku Utawala wa Gaddafi ukaanguka

Kilichofuatia baadae nchi haikutawalika tena,uasi ukawa mwingi na machafuko ikawa sehemu ya maisha ya kila siku ya Libya

Watu ambao walikuwa hawajui kulipa bill za maji au umeme,watu ambao walikuwa wanaingiziwa gawio kwenye account zao kutoka kwenye uchumi wa mafuta,leo hii hawana amani,wengi wanakufa baharini huko katika jitihada za kueleka Ulaya.

Wananchi jua kwamba nasi ikifikia hatua hiyo ya machafuko,wazungu wataingilia kati ,si kwakuwa wanatupenda ila kwa ajili ya Kuja kuvuna rasilimali za Tanzania

Ndio maana baadhi yetu tunapoamua kuwa mabalozi wa amani tunajua nini maana ya kukosa amani,tunajua si ushujaa kuwa wakimbizi

Kwahiyo tujue kwamba AMANI NI TUNU YETU BASI TUILINDE KWA WIVU MKUBWA

Tunashukuru na kufurahi kuona kwamba kuna members wengi wanatuunga mkono kwenye hii kampeni itakayodumu hadi 31 Dec 2025

Tanzania ni yetu basi tudumishe amani ya nchi yetu

Ni hayo tu!
Kwanini mnakikimbia chanzo cha ghasia zote? Ambacho ni Haki.
Ukiangalia utawala wa Ghadafi na WA ccm hakuna tofauti, wote ni waminyaji wa haki na uhuru wa kujieleza na uhuru wa vyombo vya habari.
Libya ilikuwa ukimsema vibaya Ghadafi unapotezwa, sawa SAWA TU na Tanzania.
Serikali ilishauriwa sana kufanya maridhiano kabla ya uchaguzi lakini ilikataa kwa kujua biashara itaendelea kama kawaida, lakini mambo yakuwa tofauti na Sasa inahangaika kuirudisha nchi ilipokuwa, hesabu zikikosewa kidogo TU nchi inakwenda kuparagany'ika.
 
Kwanini mnakikimbia chanzo cha ghasia zote? Ambacho ni Haki.
Ukiangalia utawala wa Ghadafi na WA ccm hakuna tofauti, wote ni waminyaji wa haki na uhuru wa kujieleza na uhuru wa vyombo vya habari.
Libya ilikuwa ukimsema vibaya Ghadafi unapotezwa, sawa SAWA TU na Tanzania.
Serikali ilishauriwa sana kufanya maridhiano kabla ya uchaguzi lakini ilikataa kwa kujua biashara itaendelea kama kawaida, lakini mambo yakuwa tofauti na Sasa inahangaika kuirudisha nchi ilipokuwa, hesabu zikikosewa kidogo TU nchi inakwenda kuparagany'ika.
Unapoint kubwa ndugu yangu,

Ccm pamoja na mambo mengine ina kasoro zake,hilo hatubishi na hatupo hapa kulikingia kifua,mambo yao watadili nayo wenyewe

Sisi tupo hapa kupigania amani ya nchi hii,na kulinda uhai wa vijana wetu ambao wanatumika kama daraja kufanikisha agenda za watu wengine
 
Unapoint kubwa ndugu yangu,

Ccm pamoja na mambo mengine ina kasoro zake,hilo hatubishi na hatupo hapa kulikingia kifua,mambo yao watadili nayo wenyewe

Sisi tupo hapa kupigania amani ya nchi hii,na kulinda uhai wa vijana wetu ambao wanatumika kama daraja kufanikisha agenda za watu wengine
Hizo ajenda za watu wengine ni zipi?
Kwani hujui mambo ambayo vijana wanayataka?
 

View attachment 3515158

My people,​


15 - February -2011

Benghazi, Libya

Ghasia zilianza rasmi baada ya Utawala wa Muammar Gaddafi kumkamata mwanasheria anayejulikana kwa jina la Fathi Terbil ambaye alikuwa mtetezi wa haki za binadamu

Baada ya wananchi kujua hilo tukio walikasirishwa sana,na hapo ndipo Maandamano rasmi yalianza viunga vyote vya Libya

Baadae Serikali ilitumia nguvu kubwa kwa kuwapiga risasi waandamanaji,baadae wandamanaji nao wakapora silaha na kuunda vikundi wa uasi dhidi ya Serikali

Kutoka maandamano ikaja kuwa vita ya wenyewe kwa wenyewe, nchi yote ikachafuka hatimaye NATO ikaingilia kati na kufunga anga na kuanza kuwapiga au kuwashambulia askari au wanajeshi wa jeshi la libya,mwisho wa siku Utawala wa Gaddafi ukaanguka

Kilichofuatia baadae nchi haikutawalika tena,uasi ukawa mwingi na machafuko ikawa sehemu ya maisha ya kila siku ya Libya

Watu ambao walikuwa hawajui kulipa bill za maji au umeme,watu ambao walikuwa wanaingiziwa gawio kwenye account zao kutoka kwenye uchumi wa mafuta,leo hii hawana amani,wengi wanakufa baharini huko katika jitihada za kueleka Ulaya.

Wananchi jua kwamba nasi ikifikia hatua hiyo ya machafuko,wazungu wataingilia kati ,si kwakuwa wanatupenda ila kwa ajili ya Kuja kuvuna rasilimali za Tanzania

Ndio maana baadhi yetu tunapoamua kuwa mabalozi wa amani tunajua nini maana ya kukosa amani,tunajua si ushujaa kuwa wakimbizi

Kwahiyo tujue kwamba AMANI NI TUNU YETU BASI TUILINDE KWA WIVU MKUBWA

Tunashukuru na kufurahi kuona kwamba kuna members wengi wanatuunga mkono kwenye hii kampeni itakayodumu hadi 31 Dec 2025

Tanzania ni yetu basi tudumishe amani ya nchi yetu

Ni hayo tu!
Tanzania sio nchi ya kiislamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom